The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,396
- 12,979
Kwanza Mjengwa ni mnafiki na mlamba viatu vya wapanga magogoni. Hana lolote huyu zaidi ya kutumiwa kama puto.
Ni tatizo la waandishi wetu wa habari ambao wajiingiza kwenye profession bila kuisomea halafu baada ya kugundua kuwa kuna mshiko ndiyo wanakimbilia kutafuta vyeti!! Na TZ waandishi njaa ni wengi kuliko waandishi wa taaluma!!