kuna uzi mmoja unawataja wawili hao, nadhani na manyerere jacton naye ahojiweKwani Ludovick alitaka kupst vitu MjengwaBlog toka lumande?
Nadhani ingekuwa uungwana kungoja atoke na aje kutangaza mwenyewe kujitoa. Hivi anakuwa kama amemhukumu.
Huu si uungwana unless Maggid aseme amepata taarifa mpya asizozitegemea juu ya kuhusika kwa Ludovick kwenye utekaji...