Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,117
- 26,596
unafiki mtupu
Kwanini umkane leo? Mnalo la kutuambia na lazima mtuambie
Mjengwa naye akamatwe atoe ushirikiano kwa jeshi la polisi. Kwanini umfukuze kazi ludovick haraka baada ya kuhusika kwenye utekaji na siku ya tukio la kibanda ludovick alikuwa na mjengwa maeneo ya kazini kwa kibanda muda wa saa tano 5 usiku tena muda ambao ndio kibanda aliteswa...kuna kitu hapa
Mjengwa ametudhihirishia kuwa naye yumo kwenye dili hapa anataka kujisafisha tu
Napata shida kuelewa uwezo wako wa akili! labda ututhibitishie iweje mtu akituhumiwa wewe utoe hukumu kubwa hivyo?Ikithibitika kuwa ameonewa wewe utafanya nini? Ushabiki mwingine ni wa kipumbavu kama ulivyo mpumbavu wewe!sasa mlitaka aendelee kumkumbatia muuaji! Kama kuhusika Ludovick na Lwakatare tusubili wataendelea kutaja waalifu wenzao!
we unajua kiswahili lakini au mnataka kila mtu aongee kichagga!amesema amesitisha,kusitisha na kufuka ni vitu viwili tofauti bwashee!alichokifanya mjengwa ndicho kinachofanywa kwenye nchi za wenzetu,haiwezekani mtu anaekabiliwa na tuhuma nzito kama hizo(hata kama sio kweli)uendelee kufanya nae kazi au umuacha kazini,kiungwana anatakiwa akae pembeni kwanza ili alimalize suala lake na kujisafisha then anarudi kazini,ni utaratibu wa kawaida tu sema haujazoeleka sana hapa kwetu,mtu ana mituhuma kibao lakini bado yumo tu,wenzetu kwanza ni yeye mwenyewe anaandika barua kuomba akae pembeni kwanza,hata huyu lwakatare kwa tuhuma zinazomkabili ilitakiwa ama aandike barua yeye mwenyewe kupitia lawyer wake kwamba ananchia ngazi nafasi zote chamani au chama kichukue hatua hiyo ili kujiweka kando na suala lake mpaka atakaposafishwa.tufike huko watz!maggid amechemka kumfuza Ludovick haraka kiasi hiki! Kwanza ilitakiwa mpaka mshikaji wake apatikane na hatia ndiyo angemtema! Je akiwa hana hatina na ulikuwa uzushi si itakuwa aibu kwa Mjengwa?
Sijalisapoti jambo hili kabisa.
Alisema hawakuwahi kumuajiri sio?
huwezi sitisha kama huna mkataba nae
A Friend in Need is a Friend Indeed..,
With Friends like maggid who needs an enemy ?, what happens to innocent until proven guilty ?
Hivi ikionekana amezingiziwa atamrudisha ?, nadhani angengoja kufanya haya pindi atakaposhitakiwa na sio tuhuma
TAARIFA RASMI KUTOKA Mtandao Wa Kijamii Wa MJENGWABLOG
Sunday, 17 March 2013 | Written by Mjengwa Blog
Ndugu zangu,
Kutokana na kuwepo kwa taarifa rasmi za kipolisi zenye kumtuhumu Ludovic Joseph kuhusika na matukio ya kigaidi.
Uongozi wa Mtandao wa Kijamii wa Mjengwablog unasitisha rasmi, kuanzia leo Jumapili, Machi, 17,2013, kuwa na Ludovick Joseph kama msaidizi wa Mtandao wa Kijamii wa Mjengwablog na website ya Kwanza Jamii.
Maggid Mjengwa,
Mmiliki wa Mjengwablog /Kwanzajamii
TAARIFA RASMI KUTOKA Mtandao Wa Kijamii Wa MJENGWABLOG
Sunday, 17 March 2013 | Written by Mjengwa Blog
Ndugu zangu,
Kutokana na kuwepo kwa taarifa rasmi za kipolisi zenye kumtuhumu Ludovic Joseph kuhusika na matukio ya kigaidi.
Uongozi wa Mtandao wa Kijamii wa Mjengwablog unasitisha rasmi, kuanzia leo Jumapili, Machi, 17,2013, kuwa na Ludovick Joseph kama msaidizi wa Mtandao wa Kijamii wa Mjengwablog na website ya Kwanza Jamii.
Maggid Mjengwa,
Mmiliki wa Mjengwablog /Kwanzajamii
Alisema hawakuwahi kumuajiri sio?
huwezi sitisha kama huna mkataba nae
Kwanini umkane leo? Mnalo la kutuambia na lazima mtuambie
Mjengwa naye akamatwe atoe ushirikiano kwa jeshi la polisi. Kwanini umfukuze kazi ludovick haraka baada ya kuhusika kwenye utekaji na siku ya tukio la Kibanda Ludovick alikuwa na mjengwa maeneo ya kazini kwa kibanda muda wa saa tano 5 usiku tena muda ambao ndio Kibanda aliteswa...kuna kitu hapa
Mjengwa ametudhihirishia kuwa naye yumo kwenye dili hapa anataka kujisafisha tu