Holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,717
- 13,704
Wakuu,
Mapenzi ni ugonjwa,Kuna wakati unaweza ukapenda mpaka ukaona Bora watu wote wafe ⚰️ili Dunia yote iwe Yako peke yako
Kuna kipindi nilimpenda mdada mmoja hivi black 🖤 ❤️ sana nilikuwa nahsi kama ndipo nimefika,hata kama nikiambiwa mabaya yake hakika nilikuwa naenda kumwambia
Nilikuwa siwezi kula,kunywa Wala kulala bila uwepo wakee
Ila kumbe alikuwa Malaya wa chinichini nilipogundua Hilo nilimchunguza na kumfumania
Nilimaliza karibu mwaka mmoja bado Lile kovu moyoni halijatoka
Hakika mapenzi yanauma
Mapenzi ni ugonjwa,Kuna wakati unaweza ukapenda mpaka ukaona Bora watu wote wafe ⚰️ili Dunia yote iwe Yako peke yako
Kuna kipindi nilimpenda mdada mmoja hivi black 🖤 ❤️ sana nilikuwa nahsi kama ndipo nimefika,hata kama nikiambiwa mabaya yake hakika nilikuwa naenda kumwambia
Nilikuwa siwezi kula,kunywa Wala kulala bila uwepo wakee
Ila kumbe alikuwa Malaya wa chinichini nilipogundua Hilo nilimchunguza na kumfumania
Nilimaliza karibu mwaka mmoja bado Lile kovu moyoni halijatoka
Hakika mapenzi yanauma