ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,050
- 49,733
Eeh ndio hivyo ,wanasema atasifiwa akiwa hai sio kuleta unafiki akiwa kaburini na hawezi kusikia.
Kazi iendelee
===
Alivyoulizwa na Mtangazaji wa Wasafi kuhusu Rais Samia kustahili kuitwa mama wa Taifa, Mbunge wa Dodoma Mjini na Waziri wa Madini, Antony Mavunde amesema anastahili na kumuunga mkono alichosema Diamond, kwa sababu Rais Samia Hassan ameandika historia Tanzania kwani amekuwa Makamu wa Rais wa kwanza mwanamke na sasa yeye ndio Rais wa kwanza mwanamke.
View: https://www.instagram.com/p/C4gcrIet7YG/?igsh=dzhoaHcyY20xN3Rw
Kazi iendelee
===
Alivyoulizwa na Mtangazaji wa Wasafi kuhusu Rais Samia kustahili kuitwa mama wa Taifa, Mbunge wa Dodoma Mjini na Waziri wa Madini, Antony Mavunde amesema anastahili na kumuunga mkono alichosema Diamond, kwa sababu Rais Samia Hassan ameandika historia Tanzania kwani amekuwa Makamu wa Rais wa kwanza mwanamke na sasa yeye ndio Rais wa kwanza mwanamke.
View: https://www.instagram.com/p/C4gcrIet7YG/?igsh=dzhoaHcyY20xN3Rw