ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,042
- 49,727
Askofu Mkuu wa KKKT Dayosis ya Singida Dk.Cyprian Hilint (PhD) amependekeza kwamba Rais Samia Aitwe Mama Wa Taifa.
My Take
Naunga mkono hoja, Samia anastahili hadhi hii.
Kama nawaona Machadema,TEC na Sukuma gang walivyojaa Chuki.
=====
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Singida, Mchungaji Dkt. Cyprian Hilint amependekeza Rais Samia Suluhu Hassan aitwe ‘Mama wa Taifa’ kwa kuwa ndiye mwanamke wa kwanza Tanzania kushika nafasi ya Urais.
Pia soma: Mwita Waitara: Rais Samia aitwe Mama wa Taifa
My Take
Naunga mkono hoja, Samia anastahili hadhi hii.
Kama nawaona Machadema,TEC na Sukuma gang walivyojaa Chuki.
=====
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Singida, Mchungaji Dkt. Cyprian Hilint amependekeza Rais Samia Suluhu Hassan aitwe ‘Mama wa Taifa’ kwa kuwa ndiye mwanamke wa kwanza Tanzania kushika nafasi ya Urais.
Pia soma: Mwita Waitara: Rais Samia aitwe Mama wa Taifa