Mizengo Pinda Waziri mkuu!

Mizengo Pinda Waziri mkuu!

-----------------------------------------------------------------

Hovyoooooo!
Dada acha uswahili....Unaingiza malani hapa JF unafikiri tuko mtaa wa Kongo? Hapa ni JF, jamani tustaarabike. Peace🙂!

You cant have it both ways! kama wewe kuna vitu unaviona vya kistaarabu na vizuri huko kwa mafisadi, mimi naona the other way around! Huwezi kudai kuheshimiwa maneno yako wakati ya wengine unayadharau!
 
You cant have it both ways! kama wewe kuna vitu unaviona vya kistaarabu na vizuri huko kwa mafisadi, mimi naona the other way around! Huwezi kudai kuheshimiwa maneno yako wakati ya wengine unayadharau!

-----------------------------------------------------------------

I don't get your point....I think my posts are very clear as far as MAFISADI are concerned. You are commenting that I should take my postings and give them to my family at the end of the day, when I go home?

Let me tell you something lady....I don't know you, and you sure as hell don't know me! So don't be sitting there, mentioning my family as if you know my family enough to be invited to have tea, lunch and dinner with us everyday!

I AM DONE with this women-hating-women issue. It is childish and unbecoming! We've established this....you don't like my comments and I don't agree with yours, so we are even. As adults, we can agree to disagree.

If you have any useful posts regarding this Topic of discussion (Mafisadi and the new PM), you are more than welcome.

wacha Uswahili!
 
Mimi, uteuzi huu umenikumba mshangao mkubwa lakini vile vile haikuwa ajabu kubwa hasa kama ningeliweza zingatia upeo wa Mdanganyika.
Sina sababu ya kumchukia ama kutopendelea uteuzi huo isipokuwa nabakia na maswali kem kem ambayo majibu yake sii mepesi hata kidogo.

Kwanza kabisa kutokana na uchaguzi huu inanipa picha ya kusema pengine Lowassa was right alipodai kuwa angehusishwa kwanza ktk uchunguzi uliofanyika kwa sababu - (Hypothetical question) - First, bare in mind kuwa Mh. Pinda alikuwa akifanya kazi ofisi ya waziri mkuu toka Sumaye hadi Lowassa tena wakati madudu haya na mengine mengi yakifanyika - What if he is one of them?..yaani alishiriki kikamilifu ktk hujuma za Tanesco. Na tukumbuke pia kwamba ni wakati wa Sumaye na Lowassa ofisi ya Waziri mkuu imetumika ktk hujuma nyingi sana na huyu mzee wetu alikuwepo. Yeye alifanya/ alijaribu nini kuhakikisha hujuma hizo hazikufanikiwa kama tulivyoona viongozi wa Tanesco?...Ni sifa gani toka wizara hiyo inayompa huyu mzee nafasi hiyo ikiwa madudu yalikuwa yakitokea mwaka hadi mwaka na akiwa ndani tena post kubwa.
Kisha Tanzania ya leo haihitaji waziri mkuu kwa sababu ya kurudisha heshima ya bunge, laa tunamtaka wazii mkuu ambaye ataweza kuondoa hujuma ndani ya wizara za serikali. Na sidhani kama kuteuliwa kwake kunaweza kujenga confidence ya wabunge mawaziri ambao ndio wao watuhumiwa. Labda confidence ya kuwa wameponea chupuchupu!...ndio maana haikuwa ajabu kubwa niliposikia wabunge walishangilia sana uteuzi huo wakati hawa hawa wabunge ndio mawaziri ambao sisi wananchi tunataka serikali iwawajibishe kutokana na hujuma walizokwisha kula.
Uteuzi wa Pinda uwe ndio mwanzo wa kufuatilia kwa ukaribu utendaji kazi wa serikali na sio Bunge kwani Bunge letu limetawaliwa na mawaziri wenye kiburi kama kina Karamagi ambao hutumia nafasi zao za Uwaziri kushushua hoja za msingi na pengine kuwaita wabunge wetu wajinga na wanahitaji kisomo zaidi yaani elimu yao finyu...Matusi kama hayo kwa mheshimiwa Zitto hayakuonekana matusi kwa sababu tu Karamagi ni waziri na Zitto ni mbunge hana nafasi serikalini hivyo hata ndani ya bunge bado Karamagi alibeba msahafu wake wa Uwaziri.
Mwisho nitasema kwamba hadi kapo hujuma za uchumi zitakapo tokomezwa, Tanzania bado haiwezi kuwa na sura. Sifa pekee ya waziri mkuu hasa wakati huu ilikuwa itokane na uwezo wake kusafisha yale aloyafukia Lowassa uvunguni, lakini kama tunaletewa Wazirimkuu ati kwa sababu ni mpole na mwadilifu hali uchafu bado umejazana uvunguni sidhani kama kuna mtu ataweza lala...Ni kipindi kifupi sana toka sasa hivi hadi 2010 kwa hiyo JK alitakiwa kumchagua waziri mkuu wa muda huu kuweza kusafisha machafu yote... kwani machafu hayo (uhujumu uchumi) ndio sababu pekee ilomlazimu yeye kuvunja baraza.
Swali nililobakia nalo ni - Je huyu Pinda ni mtaka cha uvunguni?...na anaweza kupindua kitanda! ama kazi yake ni kuupotosha Umma kuwa JK ameweza kumwondoa swahiba wake Lowassa madarakani, hivyo mabo yote ni shwari.....
 
It is bordering onsado masochism but I feel like that black guy from "Girfriends" shouting "Let's have a girl fight"

No I'm lying, it is so high schoolish!
 
It is bordering onsado masochism but I feel like that black guy from "Girfriends" shouting "Let's have a girl fight"

No I'm lying, it is so high schoolish!

-----------------------------------------------------------------

Pundit,

I totally agree with you. Let's keep JF free of negative forces. Peace ;-)!
 
-----------------------------------------------------------------

I don't get your point....I think my posts are very clear as far as MAFISADI are concerned. You are commenting that I should take my postings and give them to my family at the end of the day, when I go home?

Sio kila mtu ataelewa ninachosema kama vile unayosema yasivyoeleweka hapa..... so move on

Let me tell you something lady....I don't know you, and you sure as hell don't know me! So don't be sitting there, mentioning my family as if you know my family enough to be invited to have tea, lunch and dinner with us everyday!

Hizi bangi tu..... usianze kulialia hapa mzee na hiyo family yako coz hapendwi mtu hapa........

I AM DONE with this women-hating-women issue. It is childish and unbecoming! We've established this....you don't like my comments and I don't agree with yours, so we are even. As adults, we can agree to disagree.

If you have any useful posts regarding this Topic of discussion (Mafisadi and the new PM), you are more than welcome.

wacha Uswahili!

Usianze kulia basi utanunuliwa ice cream pale DQ kama unapenda!
 
Mimi, uteuzi huu umenikumba mshangao mkubwa lakini vile vile haikuwa ajabu kubwa hasa kama ningeliweza zingatia upeo wa Mdanganyika.
Sina sababu ya kumchukia ama kutopendelea uteuzi huo isipokuwa nabakia na maswali kem kem ambayo majibu yake sii mepesi hata kidogo.

Kwanza kabisa kutokana na uchaguzi huu inanipa picha ya kusema pengine Lowassa was right alipodai kuwa angehusishwa kwanza ktk uchunguzi uliofanyika kwa sababu - (Hypothetical question) - First, bare in mind kuwa Mh. Pinda alikuwa akifanya kazi ofisi ya waziri mkuu toka Sumaye hadi Lowassa tena wakati madudu haya na mengine mengi yakifanyika - What if he is one of them?..yaani alishiriki kikamilifu ktk hujuma za Tanesco. Na tukumbuke pia kwamba ni wakati wa Sumaye na Lowassa ofisi ya Waziri mkuu imetumika ktk hujuma nyingi sana na huyu mzee wetu alikuwepo. Yeye alifanya/ alijaribu nini kuhakikisha hujuma hizo hazikufanikiwa kama tulivyoona viongozi wa Tanesco?...Ni sifa gani toka wizara hiyo inayompa huyu mzee nafasi hiyo ikiwa madudu yalikuwa yakitokea mwaka hadi mwaka na akiwa ndani tena post kubwa.
Kisha Tanzania ya leo haihitaji waziri mkuu kwa sababu ya kurudisha heshima ya bunge, laa tunamtaka wazii mkuu ambaye ataweza kuondoa hujuma ndani ya wizara za serikali. Na sidhani kama kuteuliwa kwake kunaweza kujenga confidence ya wabunge mawaziri ambao ndio wao watuhumiwa. Labda confidence ya kuwa wameponea chupuchupu!...ndio maana haikuwa ajabu kubwa niliposikia wabunge walishangilia sana uteuzi huo wakati hawa hawa wabunge ndio mawaziri ambao sisi wananchi tunataka serikali iwawajibishe kutokana na hujuma walizokwisha kula.
Uteuzi wa Pinda uwe ndio mwanzo wa kufuatilia kwa ukaribu utendaji kazi wa serikali na sio Bunge kwani Bunge letu limetawaliwa na mawaziri wenye kiburi kama kina Karamagi ambao hutumia nafasi zao za Uwaziri kushushua hoja za msingi na pengine kuwaita wabunge wetu wajinga na wanahitaji kisomo zaidi yaani elimu yao finyu...Matusi kama hayo kwa mheshimiwa Zitto hayakuonekana matusi kwa sababu tu Karamagi ni waziri na Zitto ni mbunge hana nafasi serikalini hivyo hata ndani ya bunge bado Karamagi alibeba msahafu wake wa Uwaziri.
Mwisho nitasema kwamba hadi kapo hujuma za uchumi zitakapo tokomezwa, Tanzania bado haiwezi kuwa na sura. Sifa pekee ya waziri mkuu hasa wakati huu ilikuwa itokane na uwezo wake kusafisha yale aloyafukia Lowassa uvunguni, lakini kama tunaletewa Wazirimkuu ati kwa sababu ni mpole na mwadilifu hali uchafu bado umejazana uvunguni sidhani kama kuna mtu ataweza lala...Ni kipindi kifupi sana toka sasa hivi hadi 2010 kwa hiyo JK alitakiwa kumchagua waziri mkuu wa muda huu kuweza kusafisha machafu yote... kwani machafu hayo (uhujumu uchumi) ndio sababu pekee ilomlazimu yeye kuvunja baraza.
Swali nililobakia nalo ni - Je huyu Pinda ni mtaka cha uvunguni?...na anaweza kupindua kitanda! ama kazi yake ni kuupotosha Umma kuwa JK ameweza kumwondoa swahiba wake Lowassa madarakani, hivyo mabo yote ni shwari.....

Mkuu Mkandara,

Kama mtu mwenyewe kapendekezwa na kupitisha fasta fasta bila hata kutoa nafasi ya kuulizwa maswali na wabunge kujua this guy ni nani amefanya nini na atalifanyia nini taifa!, basi ujue kuwa usanii umeingia the next stage hapa.
 
Mwafrika wa Kike,

Ni kweli tupu, sijui Mwanakijiji ataandika nini. Huenda ikamsaidia kupata muda wa kutafuta mke.

Mkjj hana choice, itabidi mke atafutiwe na taasisi ya ujasusi ya JF ikimshirikisha our own jasusi. Sifa moja wapo ya mke mtarajiwa ni kuwa lazima awe - Mnyamwezi kwa kabila -
 
JK amteua pinda kuwa waziri mkuu na wabunge wanashangilia sana uteuzi huo.

Kweli Siasa ni Mchezo Mchafu!huwezi amini jinsi Lowasa alivyo nyongea Leo hii Bungeni,kawa mdogo kama jicho la njiwa vile!ilikuwa kama mchezo wa Kuigiza vile:

Wakampeleka kwa SPIKA, Wakamuuliza je wewe ni RICHMOND?
Hakujibu neno.
SPIKA akaomba MWONGOZO ndipo LOWASA akasema NAJIUZULU!!
Wabunge wakapiga kelele wakisema ASULUBIWE!!
SPIKA akasema Mpelekeni Golgota,hata yapata saa11 Wakamsulubisha LOWASA,kulia kwake akiwa mfuasi KARAMANGI,kushoto MSABAHA.
KARAMANGI akamwambia LOWASA,wewe si ni MORANI wa kimasai,jiokoe wewe na sisi pia!
LOWASA akalia kwa kimasai:OONGAI PAPALAI!,yaani JK Mbona UMENIACHA?,kisha akainua Mkono akautema uPM.

Politics: such a Thin line Btwn. Happiness & Sadness.
 
Je wanaweza kubakisha mafisadi kidogo kwenye Baraza jipya ili tuwe na pa kuanzia.. this is not fun!!

On the other hand though, nadhani umefika wakati wa kutilia mkazo lile "jiko" (msinijie juu mababu ndivyo walivyoita). Tatizo niliyekuwa nampigia mahesabu dingi yake ndiyo na yeye kakumbwa na na kimbunga cha kujiuzulu!

So, basically hiyo imevunja uhusiano and I'm back to square one. Hivi kuna "Wanyamwezi" huku maana nilipokuwa nyumbani walituambia tunaenda "Unyamwezini"..

Bash inakuja.. only by invitation, sometime in April ukitaka kuwa invited holla at me.. !! will be elegant and classy!
 
SWAHIBA KANDARA
Mimi ninaungana kabisa ndugu inaonyesha hapa tumeshachezewa Karata TATU,Punda ndio yuleyule, Kwani ninakumbuka muungwana aliwahi kuulizwa pale LONDON Kuhusu mauwaji yaliotekea kule Visiwani [PEMBA]Akasema yeye hawezi kuyaangalia ya mwengine aliye pita watu watizame ya kwake, Naleo mh mizengwe anasema kuwa yaliyo yamepita sasa mbele kwa mbele hivi kweli huyu au hawa wanayo nia nzuri ya Injihii? Hatuoni kuwa kunajengeka hii tabia ya kwamba hata kama ni boronga nitaomba kujiuzulu kwa vile ataka kuja atakuwa ni mtu nina jua nimemlea nimemfunza kazi hatoweza kunifanya lolo zaidi yakuniita MZEE mkapa, MZEE LOWASSA,nk au tuwaacheni wazee wapuumzike.
 
"wakamPeleka Kwa Spika Wakamuuliza Wewe Ni Richmond hakujibu Neno. Spika Akaomba Muongozo Ndipo Lowassa Akasema Najiuzulu Wabunge Wakapiga Kelele Wakisema Asulubiwe Spika Akasema Mpelekeni Golgota Yapata Saa 11 Wakamsulubisha Kulia Karamangi, Kushoto Msabaha, Karamangi Akamwambia Umefanya Usanii Mwingine Jiokoe,wewe Basi Na Sisi Pia. Lowassa Akalia Kwa Kimasai Oongai Papalai Yaani Rais Mbona Umeniacha?, Kisha Akakata Roho

You made my day lol!
 
.............................Wakampeleka kwa SPIKA, Wakamuuliza je wewe ni RICHMOND?
Hakujibu neno.
SPIKA akaomba MWONGOZO ndipo LOWASA akasema NAJIUZULU!!
Wabunge wakapiga kelele wakisema ASULUBIWE!!
SPIKA akasema Mpelekeni Golgota,hata yapata saa11 Wakamsulubisha LOWASA,kulia kwake akiwa mfuasi KARAMANGI,kushoto MSABAHA.
KARAMANGI akamwambia LOWASA,wewe si ni MORANI wa kimasai,jiokoe wewe na sisi pia!
LOWASA akalia kwa kimasai:OONGAI PAPALAI!,yaani JK Mbona UMENIACHA?,kisha akainua Mkono akautema uPM.

Politics: such a Thin line Btwn. Happiness & Sadness.

..............yaani mzee hauxtable you made my day hahaha!!......hiyo hapo juu ni kali
 
Back
Top Bottom