Mizengo Pinda Waziri mkuu!

Hongear Sana Mzee Pinda Kazi Kubwa Mbele Yako Bunge Limamka Kumbuka Hilo::::::ujinga Hawataki Tena Wala Kuburuzwa Ukijua Hilo
Utaishi Maisha Mema Sana Na Kwa Kukusaidia Kumbuka Kusoma Jamboforums Kila Uamkapo Uone Nini Cha Kufanya Na Nani Watakuwa Wakkusaliti Ujue Wapi Pa Kuanzia...endelea Kuwa Serious Ila Usiwe Sana Wakaogopa.....

************hongera Sana **********
 
Pinda anazungumza na anaanza kwa kusema kuwa yeye ni mtoto wa mkulima na kwenye familia yao yeye ni wa kwanza .

Anasema kuwa anajua hata nyumbani kwake wazazi wake wakisikia amepewa wadhifa mkubwa kiasi hicho watakuwa wamepata taabu sana .

Alifanya kazi na Chenge 1974-76 , kama mwanasheria , na baada ya hapo aliitwa ikulu kufanya kazi chini ya uongozi wa Butiku akiwa katibu wa rais msaidizi, akawa na mwinyi kwa miaka kumi kama katibu wake , na pia alifanya kazi na mkapa .

Anasema kuwa alijifunza kufanya kazi kwa nidhamu ya Ikulu, na pia anakiri kuwa yeye sio mwanasiasa ila ndio anajifunza siasa kwa kuwa karibu na viongozi wa kisiasa haswa ikulu.

Anasema kuwa alijaribu kuingia kwenye siasa ila Mkapa akamwambia ataweza kwenda kufanya kazi ya siasa na haswa ubunge?

Anasema kufanya kazi kama mwanasiasa amefanya kwa kipindi cha miaka saba tuu.

Ila anasema kuwa ukifanya kazi TAMISEMI hata ukiwa nani lazima utakomaa tuu, anawashukuru viongozi waliomsaidia kumkomaza akianza na mkapa ,Ngwilizi na Lowassa na kusema kuwa viongozi hao ndio ambao walimlea.

Anamshukuru sana Lowassa kwani ndani ya kipindi kifupi amemkomaza sana , anasema kuwa Lowassa ni kiongozi mzuri sana kwa maana ya utendaji wa kazi za kila siku.

Anamshukuru Lowassa kwa kumsaidia sana kumjenga kisiasa na kiutendaji, na pia anaomba kura kwa kusema kuwa maelezo aliyotoa ndio.

Anasema kitu kipya ni kuwa ni madaraka tuu ila kwa maana ya Pinda kamam mbunge ,na kama walivyomzoea ataendelea kubakia yuleyule , na atafanya kazi na wabunge na haswa kujenga mahusiano baina yao.

Atajitahidi sana kujenga bunge moja litakalokuwa linasimamia masilahi ya taifa hili, na anatamani sana kufanana na mabunge ya uingereza, marekani na israeli kwani wao kwenye kusimamia masilahi ya taifa huwa wanasimama pamoja hakuna tofauti za vyama ,na hicho ndicho ambachoa anakitamani sana sana kukijenga.

Jamani pamoja na haya yote, si kazi ya waziri mkuu kujenga bunge kwa sheria za Tanzania! bunge ni chombo kinachojitegemea nje ya serikali kuu na waziri mkuu ingawa ni mbunge lakini ni msimamizi wa serikali kuu bungeni - kazi ya kujenga bunge inaweza kujenga na wabunge wenyewe na spika "asiyekurupuka" kama .......
 
Watu bwana huwa kila wakati wanafanana na majina yao ,ndio maana huyu kasheshe anaandika kitu caha ajabu juu yangu .

Nini kinakufanya unione kuwa sijafurahia wewe Kasheshe? ama unafikiri kila mtu anapaswa kupiga makofi?
 
I am going to go on record for saying that I DO NOT SUPPORT the choice of Mizengo Pinda as the new Prime Minister, for the following reasons:

1) He is being cited as someone who is responsible and accountable? On what basis is he being given this credit? If we take a cursory look at his Ministry, TAMISEMI, how many cases of embezzlement, fraud and pilferage of public funds have there been in the Municipalities and District Councils all over Tanzania, with the perpetrators getting off with impunity?

2) More on TAMISEMI... a lot of public funds allocated towards the construction of schools, under the TASAF, MMEM programmes, which were diverted to non-existing municipality/district programmes, as a result, wananchi are being forced to fork out their meager funds out of pocket... the poor getting poorer...

3) There was a case where a very poor woman was forced to give birth at the office of a Ward Executive Officer, simply because she was under "custody" for having failed to pay her "contribution" towards the construction of secondary school classrooms... todate nothing has been heard about the woman, not even an apology or compensation has been given to her, for the traumatic experience she underwent... the Ward Executive Officer? Most certainly he/she is still in place...

So, what kind of responsibility or accountability are we talking about when we shower Pinda with those praises?

In my view, our President, Jakaya Kikwete, and his advisors, did not do their due dilligence on Mizengo Pinda... also, the very short time taken to choose a "valid" PM was not enough.

Hate me for my opinion, differ with me if you must, but we are headed for gloomier times...

No, I am not a fan of ANY CCM Members of Parliament, and I look at opposition MPs with a very careful magnifying glass...

But, at least, Laurence Masha could have been a valid candidate.

./Mwanahaki
 
Watu bwana huwa kila wakati wanafanana na majina yao ,ndio maana huyu kasheshe anaandika kitu caha ajabu juu yangu .

Nini kinakufanya unione kuwa sijafurahia wewe Kasheshe? ama unafikiri kila mtu anapaswa kupiga makofi?

Mkuu usijali sana maneno ya kasheshe ndizo zake hizo. Wewe endelea tu kutupatia nyeti za Dodoma maana so far unafanya kazi nzuri sana hapa.

Keep it up!
 
Wacha Wapongezane wanavyotaka, najua chombo kimoja ambacho hawawezi kukipongeza ni JF.

JF ni watumishi wa umma, hatuhitaji kupongezwa, tutaendelea kuwakoma Nyani Giladi.
 
Kura zinapigwa sasa na jumla ya wabunge waliopo ni 281.

Wasiwasi wangu ni pale anaposema alifanya kazi na fisadi CHENGE -hicho hadi sasa kimenistua sana mimi binafsi kwani nilikuwa sikijui.
 
Hongera Pinda kwa kupewa u EL.
Rukwa oyeee!
Chapa kazi mh,ili tupate kodi za kukulipa uwapo hapo kwa ofisi iliyokataa kuhojiwa na Kamati teule.
Naamini utamwambia sasa Maji ya Tanga Mzindakaya lile sakata la BOT ni kweli kulikuwa na upotevu wa mapesa.Na zile alizokusanya aturudishie
Na pia mh Paul Kimiti alisahauliwa na mtandao,neema ya uwaziri itamzukia angalau naye aanzishe Rich Rukwa.

Congrants
 
Another "no threat" PM kama Sumaye.

The guy is shooting himself in the foot given half a chance, he invoked all the wrong people from Chenge, Mwinyi, Mkapa, Ngwilizi etc.I think his speech had "too much information"

Mkapa must be laughing out loud, the guy he thought couldnt be MP is now PM.

Spika anachemsha kichizi kwa kumpigia kampeni waziwazi.

At least he did not cringe in a chair like Sumaye.Lets wait and see.
 
Fuatilia pesa za wizi BoT na kashfa za madini Tanzania uone zinaishia wapi..... kumbuka pia kuwa sijasema kuwa Mizengo ni fisadi katika hili so far! but fuatilia kashfa Tanzania uone uchunguzi utakomea wapi!

Mpe muda mamaa!!!! Mengine tusubiri muda!!!
 
kasheshe:::::::

usalama Ndio Pitishio La Pesa Za Epa Kaka,,,ndio Maana Wanaogopa Watu
bin Maryam:::::lisemwalo Lipo Na Kama Alipo Tyusubiri Walisema Lowassa Mwizi Awakusikia,,,,tumwombee Heri Na Kazi Kubwa
lolote Afanyalo Ajue Jf Iko Nyuma Yake Kama Yeye Usalama Wa Taifa
sisi Usalama Wa Wananchi
 
Spika anamteua SAID NKUMBA CCM NA FATUMA FEREJI CUF kwenda kuangalia zoezi la kuhesabu kura.

Hapa ni kuwa TISS wameshasema hakuna noma jamaa atashinda labda ndio maana wanamweka mwanama wa CUF kwenda kushuhudia zoezi la kuhesabu kura humo.

Tuendelee ...
 
Wacha Wapongezane wanavyotaka, najua chombo kimoja ambacho hawawezi kukipongeza ni JF.

JF ni watumishi wa umma, hatuhitaji kupongezwa, tutaendelea kuwakoma Nyani Giladi.

Mtanzania,

Asante kwa kukumbushia hilo hapa! JF members wanafanya kazi bure bila kulipwa na mtu na vitu vingi vinaanzia hapa na kufika kwa wananchi......... ni vyema Lowasa ameondoka na usalama wa taifa na mzee wao wamechukua nchi sasa!

Tuombe Mungu yote yawe na mwisho mwema..... ila hakuna pongezi toka kwa mwafrika wa kike kwa uteuzi wa this guy ingawa hili pia halimaanishi kuwa ndio mwisho wa mapambano!

Kazi ndio imeanza hivyo na ni vizuri kama Kikwete na wenzake watabadili mwelekeo sasa.
 
I am going to go on record for saying that I DO NOT SUPPORT the choice of Mizengo Pinda as the new Prime Minister, for the following reasons:

..........So, what kind of responsibility or accountability are we talking about when we shower Pinda with those praises?

.................
Hate me for my opinion, differ with me if you must, but we are headed for gloomier times...

.......
But, at least, Laurence Masha could have been a valid candidate.

./Mwanahaki

Mwanahaki,
Ulichosema kinaweza kuwa kweli, jamaa anaonesha pia kuwa karibu sana na kina EL. JK nadhani ni vigumu sana kuchagua mtu from outside his circle.
Ila kwa kweli ni heri Pinda kuliko huyo Laurence Masha, sipingi ujana, ila twahitaji watu ambao atleast wana proven records na wasio wafanya biashara. Masha ni mfanya biashara kwa kuwa partner IMMA advocates, hilo hatuwezi kulipinga.
 
Mwana haki kumbe ulikuwa na wa kwako mfukoni....duhh mtandao bwana ----

Nasubiria matokeo nami nitawapa pindi yakitangazwa hapa ukumbini.
 
Back
Top Bottom