mokala1989
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 2,236
- 730
waziri mkuu awe wazi kidogo labda anataka serikali moja, iweje aitambue nchi ya zanzibar ambayo ilidumu chini ya mwezi mmoja baada ya mapinduzi na kutoitambua Tanganyika iliyodumu kwa muda wa miaka mitatu? lazima kuna walakini hapa.