wabara
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,500
- 706
Iliyokuwa Tanganyka! Hivi hujui kweli au unatania tu?
Duuh ...!
Huu mjadala mwangine tena!
Iliyokuwa Tanganyka! Hivi hujui kweli au unatania tu?
Iliyokuwa Tanganyka! Hivi hujui kweli au unatania tu?
WW ndo msemaji wa Watanzania?Hongera Pinda. Watanzania tupo nyuma yako
Namuunga mkono moja kwa moja eti mtu ana miaka 25 eti kwa sababu kapata tiketi ya kuingia bungeni kama mjumbe unasikia anasema serikali Tatu wakati hata wakati Tanganyika inapata uhuru hakuwepo,Pinda nakupongeza kwa msimamo wako thabiti
Na sisi tunamrudishia swali.
Je,Tanganyika ilikufa tarehe 26 April 1964?
Kama jawabu ni ndiyo basi hatutaki longolongo atuonyeshe tu hiyo document ya kifo cha Tanganyika.
Nafikiri katika uchaguzi ujao CCM wanahitaji kupumzishwa angalau kwa miaka mitano ili tuwaone wapinzani nao wana nini cha kutupatia katika miaka mitano hiyo.
Namuunga mkono moja kwa moja eti mtu ana miaka 25 eti kwa sababu kapata tiketi ya kuingia bungeni kama mjumbe unasikia anasema serikali Tatu wakati hata wakati Tanganyika inapata uhuru hakuwepo,Pinda nakupongeza kwa msimamo wako thabiti
Hii nchi inakoelekea sio kuzuri, serikali bila aibu inalazimisha serikali 2 wakati wanajua wazi serikali ya Tanganyika haisurvive? Mbona Zanzibar wanakatiba yao, bendera yao na kila kitu cha msingi wanacho na bado wanatunyonya kwa kutumia raslimali zetu? Tunaitaka Tanganyika yetu! Wala hatuna haja na muungano wenu rudini pemba/unguja na waliopo zenj warudi kwao Tanganyika!
Umesema vyemaNa sisi tunamrudishia swali.
Je,Tanganyika ilikufa tarehe 26 April 1964?
Kama jawabu ni ndiyo basi hatutaki longolongo atuonyeshe tu hiyo document ya kifo cha Tanganyika.
Nafikiri katika uchaguzi ujao CCM wanahitaji kupumzishwa angalau kwa miaka mitano ili tuwaone wapinzani nao wana nini cha kutupatia katika miaka mitano hiyo.
Nilisema mapema kabisa kuwa sitaki longolongo!Nchi zikishaungana kuzaliwa nchi mpya huwa hazibaki zile zile kisheria, hata kama majina ni yale yale! Kwa mfano, Jamhuri ya Watu wa Zanzibar haipo kisheria (ie Sheria za Kimataifa) ndio maana wakienda UN kwa jina la Zanzibar Ban Ki Moon anawashangaa wanatafuta nini na wametoka wapi! Pia Jamhuri ya Tanganyika haipo kisheria za kimataifa! Zilikufaje? Soma Sheria ya Muungano, Na. 22 ya mwaka 1964. Kama utakuta maneno Zanzibar au Tanganyika ujue si kwa maana ya nchi! Hata mabadiliko ya 10 ya Katiba ya Zanzibar kuifanya Zanzibar kuwa "nchi" ni kujifurahisha tu (ni symbolic)! Hata Wapalestina nao siku hizi wanajiita "State," japokuwa kwa upande wao ni tofauti kidogo maana wao wana "Observer Status" huko UN!
Wazenj kama wana "nchi" kwa nini kila siku wanadai eti "tunataka nchi yetu?"
Umri si hoja na si lazima uwepo ndio uweze kuchambua mambo. Watu wanachambua mambo kila wakati na ndiyo sababu ulimwengu unasaonga mbele. Uingereza imeungana kwa miaka 300 lakini mwaka huu Scotland watapiga kura kubaki au kutoka kwenye muungano. Mabadiliko ni lazima ktk historia ya binadamu
Nilisema mapema kabisa kuwa sitaki longolongo!
Kama Tanganyika ilikufa basi tuonyeshwe document yoyote ile ya kifo cha Tanganyika.
Namuunga mkono moja kwa moja eti mtu ana miaka 25 eti kwa sababu kapata tiketi ya kuingia bungeni kama mjumbe unasikia anasema serikali Tatu wakati hata wakati Tanganyika inapata uhuru hakuwepo,Pinda nakupongeza kwa msimamo wako thabiti
sajosojo..Zanzibar nao wanaitaka Nchi yao iwe na Mamlaka kamili..Je Wanajikomoa?well said pinda we really don't need Tanganyika right now, we only need strong Tanzania...wanaotaka Tanganyika hawaitakii mema hii nchi wanafanya hivyo kwa ajiri ya kuikomoa Zanzibar bila ku analyze faida na hasara zake
Mentor kwa uwelewa wako tu, unadhani Wazanzibar watakubaliana na hilo?
Aisee hili Pinda halifi tu?
Ni yeye ndie alietibua mambo afu anataka kujikosha na pumba zake!
Pambaf sake mwache akafie mbele huko!
Namchukia kama mavi ya jirani!