Mizengo Pinda: Mnaitaka Tanganyika ipi?.

Mizengo Pinda: Mnaitaka Tanganyika ipi?.

..kwani kuna tofauti gani kati ya Tanganyika ya mkoloni na Tanganyika yenye uhuru wa miaka mitatu?kwani jina la Kenya au Uganda la sasa lina tofauti gani na jina lililokuwepo wakati wa ukoloni? kwani watu wanaposema wanataka Tanganyika wanamaanisha utawala wa Tanganyika wa kikoloni au ule wa miaka mitatu baada ya uhuru? mi binafsi napendeleo serikali moja lakini si kwa hoja dhaifu kama hii..

Dr.kitila mkumbo amewahi kuwa na msimo huu miaka ya nyuma na nilikuwa nashindwa kumshangaa kwa msomi kama yeye kuwa na msimamo uliokosa mantiki,baadae akaubadilisha.
Tujifunze kufikiri kwa kuzingatia mantiki..tusiwasikilize hawa wanasiasa wao wana maslahi juu ya hili..
 
Anakuwa disapointed mtu asiyejua,anayejua ndo keshajua kuwa so and so ni hivi au vile sasa ni uamuzi wake tu kuamua kwa utashi na sio hear says za kuwa mtapata matatizo sijui prevention is better na kama hayo ya Sudan mmewaona!!!!!!

Halafu unajua kurubuniwa na kudhulumiwa ni tofauti eeenh,sasa ajuaye harubuniwi ila hudhulumiwa tu!!!!!! Upo mkuuu??????

Hayo mawazo ni kukuamsha tu kuwa kazi ipo hata ikija serikali moja sasa watu ni alert and apt!!!!

Hata Wasudani walikuwa wanabisha hivi hivi kama wewe, kwa hiyo sishangai unapodai unatishiwa!
 
Acha kumdharau PM wetu bwana! Ina maana haruhusiwi kutembelea kambi za JWTZ zilizoko Zanzibar au Ofisi ya TRA au pia hata Uhamiaji? Ngoja nijinoe kupiga Shule ya Uraia kwa baadhi ya watu humu!
Uliwahi kumuona lini huko ? Tangu awe Pm 2008 mpaka leo hajawahi kufanya ziara yeyote ya kikazi Zanzibar , sasa anasimamiaje majukumu ya Muungano kama hawezi kwenda upande mmoja wa Muungano? Huku Tanganyika yule mzee wa Nkataba aka Maalim Seif huwa anatembelea huko Tunduru ....Pinda mwisho wake ni Chumbe .....
 
Kuna maneno sio mazuri ila kuna kipindi inabidi tukumbushane!!!!!!
Wazee tunawaheshimu sana ila heshima ni pamoja na kuyapa uzito mawazo ya huyo unayemuona mdogo!!!!!

Maneno yenyewe ni haya; wazee wenu wamekufa mnafanya yenu sasa,na nyie mtakufa nasi tutafanya yetu kwa muda wetu!!!!!!

Much as sisi vijana tupo wengi na hatutaki muungano huu wa sasa basi ipo siku tutaupasua tu na kama kuna umuhimu wa kushirikiana tutafanya hivyo ila mtaondoka tu! !!!!!!!Sasa ni juu yenu kuondoka na heshima au muziache humo maofisini mkitoka mtoke watupu!!!!!!!!

Kuna mmoja wenu humo alikuwa na nguvu sana lakini sasa si anateuliwa tu kwa ridhaa na heshima huo ni mfano kuwa nguvu kitu cha kupita!!!!!!

Hivi jmn nani muanzilishi Wa hoja ya Tanganyika? Lengo lake ilikuwa nini?
 
Generally,,,all tanzanian politicians are corrupt thats the disease affecting our nation. Even if Tanganyika government is back things wont change either.
 
..kwani kuna tofauti gani kati ya Tanganyika ya mkoloni na Tanganyika yenye uhuru wa miaka mitatu?kwani jina la Kenya au Uganda la sasa lina tofauti gani na jina lililokuwepo wakati wa ukoloni? kwani watu wanaposema wanataka Tanganyika wanamaanisha utawala wa Tanganyika wa kikoloni au ule wa miaka mitatu baada ya uhuru? mi binafsi napendeleo serikali moja lakini si kwa hoja dhaifu kama hii..

Dr.kitila mkumbo amewahi kuwa na msimo huu miaka ya nyuma na nilikuwa nashindwa kumshangaa kwa msomi kama yeye kuwa na msimamo uliokosa mantiki,baadae akaubadilisha.
Tujifunze kufikiri kwa kuzingatia mantiki..tusiwasikilize hawa wanasiasa wao wana maslahi juu ya hili..

Labda majina ya Kenya na Uganda ambayo hayakubadilishwa tangu ukoloni yamewasaidia kuleta maendeleo mkuu! Sisi na Zambia (Northern Rhodesia), Zimbabwe (Southern Rhodesia), Malawi (Nyasaland), Ghana (Gold Coast), Botswana (Bechuanaland), Namibia (South Western Africa), nk tuliobadili majina ndio maana tumeshindwa kupata maendeleo!
 
Uliwahi kumuona lini huko ? Tangu awe Pm 2008 mpaka leo hajawahi kufanya ziara yeyote ya kikazi Zanzibar , sasa anasimamiaje majukumu ya Muungano kama hawezi kwenda upande mmoja wa Muungano? Huku Tanganyika yule mzee wa Nkataba aka Maalim Seif huwa anatembelea huko Tunduru ....Pinda mwisho wake ni Chumbe .....

Ana wawakilishi wake baba sio lazima aje huko! Mbona jambo dogo tu linakupa shida?
 
Ana wawakilishi wake baba sio lazima aje huko! Mbona jambo dogo tu linakupa shida?
Wawakilishi wapi wakati ambao walipaswa kuwa wakuu wa mikoa sasa hao si jambo la Muungano , kwani kwa Zanzibar mamlaka ya uteuzi ni Rais wa Zanzibar na wanawajibika kwa Seif Idd ......Pinda anawakilishwa na nani? Waziri mkuu asiyejua mamlaka yake ya utawala ....
 
Hivi jmn nani muanzilishi Wa hoja ya Tanganyika? Lengo lake ilikuwa nini?

Lengo KUU lililojificha ambalo hakuna mwanasiasa atakayethubutu kunyanyua mdomo kuliongelea ni UDINI! Hiyo ndo siri iliyopo! Baadhi ya wanasiasa wamelibeba tu hilo suala utafikiri wamebeba jeneza ila pa kuzika ndo hawajui!
 
Wawakilishi wapi wakati ambao walipaswa kuwa wakuu wa mikoa sasa hao si jambo la Muungano , kwani kwa Zanzibar mamlaka ya uteuzi ni Rais wa Zanzibar na wanawajibika kwa Seif Idd ......Pinda anawakilishwa na nani? Waziri mkuu asiyejua mamlaka yake ya utawala ....

Hizo Ofisi za Muungano kwa Zanzibar hazina watu ni majengo tu?
 
Mimi naona jambo la muhimu kwa sasa ni kuangalia upya mfumo huu wa serikali mbili na kuufanyia marekebisho
You have had 50 years to do that!

Miaka 50 ya kurekebisha hizo serikali mbili umejaribu, you failed abjectly! Ume feli division sufuri! Please!

Wizara ngapi za kushughulikia Muungano zimeundwa na vi kamati na vi ripoti na mapendekezo na bado tatizo liko pale pale? Kuufanyia marekebisho mfumo wa serikali mbili, marekebisho gani, nani kwenye nchi hii ama huko CCM in particular ana idea mpya ya kurekebisha serikali mbili really? Hebu pisheni idea za wengine nazo zijaribiwe pia.


Ningemsifu ka ma angeuliza swali hilohilo kwa Zanzibar. Unafiki ni mbaya sana. Anawaogopa?
Yes anawaogopa. Look what he said, kadai kuna matatizo mawili, la Zanzibar la utambulisho kasema tunaweza kulisahihisha, presumably meaning they gonna expand their identity even more, I guess watawaombea kiti UN, because what else is left ambacho Zanzibar hawana identity-wise? Halafu tatizo la upande wa pili, analoliona yeye, la kwamba Tanganyika haturuhusiwi kumiliki ardhi huko Zanzibar kasema tujiulize kama ardhi yao inatosha! Yani unasuluhisha watu wawili, mmoja unamwambia tatizo lake litatatuliwa mwingine unamwambia akale mawe! Kwa hiyo obviosly huyu mzee kawa senile.

I will take a bullet for Tanganyika
Anybody that will have you take a bullet for Tanganyika I will put one in them.
 
Generally,,,all tanzanian politicians are corrupt thats the disease affecting our nation. Even if Tanganyika government is back things wont change either.

Tungekuwa tunajadili namna ya kuondoa corruption ingekuwa vema! Badala yake tumekalia kumjadili Pinda tuuu kuanzia asubuhi mpaka jioni!
 
Labda majina ya Kenya na Uganda ambayo hayakubadilishwa tangu ukoloni yamewasaidia kuleta maendeleo mkuu! Sisi na Zambia (Northern Rhodesia), Zimbabwe (Southern Rhodesia), Malawi (Nyasaland), Ghana (Gold Coast), Botswana (Bechuanaland), Namibia (South Western Africa), nk tuliobadili majina ndio maana tumeshindwa kupata maendeleo!

Kenya na Uganda inamaendeleo gani kuliko bongo yetu. Achane akili ya kuambiwa
 
Matatizo ya Muungano hayawezi kutatuliwa na Serikali 3 hata siku moja! Tena kwa Rasimu ya Pili italeta kero zaidi za Muungano kuliko ulivyo sasa! Nikipata muda nitaelezea hili!
Kuvunja Muungano nako sio solution kwa kuwa tutakuwa na external problems za kufa mtu! Watu wanakimbilia tu kwenye namba 3 utafikiri wabunge wetu wanavyokimbilia posho!
 
Kenya na Uganda inamaendeleo gani kuliko bongo yetu. Achane akili ya kuambiwa

Kuna watu wanaamini katika majina: akiitwa John anaamini atakuwa na maendeleo zaidi kuliko akiitwa Masawe! Yaani we acha tu!
 
TRA, Uhamiaji na JWTZ hawapo huko?
Tafuta kama kuna mkuu wa brigade huko ambaye ni mtanganyika na pia tafuta Tanganyika kama kuna mkuu wa Brigedi ambaye ni mzanzibar......then let's hoja .....
 
Matatizo ya Muungano hayawezi kutatuliwa na Serikali 3 hata siku moja! Tena kwa Rasimu ya Pili italeta kero zaidi za Muungano kuliko ulivyo sasa! Nikipata muda nitaelezea hili!
Kuvunja Muungano nako sio solution kwa kuwa tutakuwa na external problems za kufa mtu! Watu wanakimbilia tu kwenye namba 3 utafikiri wabunge wetu wanavyokimbilia posho!

Toa hoja kwanini serikali mbili zinafaa zaidi ya tatu au moja .....sio kuishia kuishi kwa Mazoea .......Tanganyika ikiwemo itakuwa na madhara gani ? Mbona Zanzibar ipo ?
 
Back
Top Bottom