Mizengo Pinda: Mnaitaka Tanganyika ipi?.

Mizengo Pinda: Mnaitaka Tanganyika ipi?.

Ndio inayotakiwa sasa "the core" sio hii sublimating country "Tanzania" isiyokuwa hata na tarehe ya uhuru wake!!!!!!!

Tulishaizika, Hilo jina Tanganyika hata asili yake haijulikani! Wengi walizaliwa Tanzania lakini wanavyoshabikia "Utanganyika" utafikiri wametumwa aiseee!
 
Mbona hatujifunzi mambo ya Sudani Kusini ambao walirukaruka na kusherehekea "uhuru" toka Sudani? Dhambi ya kujitenga huwa haina mipaka, mkumbukeni Mwalimu Nyerere!


Sudani Kusini wamepasua nchi moja kama.hivi sie tuamue kuigawa Tanganyika yetu sisi hapa tunafumua muungano wa nchi mbili ili kupata uhuru wa kweli kila upande na kama huo muungano ni muhimu basi hitaji litajitokeza tu kwa nini mna magnify na ku amplify hitaji kabla ya kuwepo????!!!!


Dhambi ya kujitenga eeeenh ndo akumbukwe Nyerere, huu ufisadi huuoni, ukarabati 8.2bn na posho laki 3 kwa siku, wiki sasa wanafanya nini huko,mkutano wa wazazi Dodoma kipindi cha Bunge la Katiba ndio mambo ya Nyerere hayo????!!!!!

Yeye unayemtaja akiamka leo mtakula viboko mchana kweupe!!!!!!!!

Rest in eternal peace Julius Kambarage Nyerere!!!!!
 
Hoja yako ni ya kitoto! Unamaanisha huwezi kudai kitu ambacho hujawahi kukiona? Kwa hiyo unataka kumaanisha kwamba wakati mwalimu nyerere anadai uhuru aliwahi kuiona tanganyika huru hapo kabla?

Mkuu kwani Nyerere alipopatiwa "Uhuru" akauona na kuushika? Mifano mingine hata hailingani!
 
Sudani Kusini wamepasua nchi moja kama.hivi sie tuamue kuigawa Tanganyika yetu sisi hapa tunafumua muungano wa nchi mbili ili kupata uhuru wa kweli kila upande na kama huo muungano ni muhimu basi hitaji litajitokeza tu kwa nini mna magnify na ku amplify hitaji kabla ya kuwepo????!!!!


Dhambi ya kujitenga eeeenh ndo akumbukwe Nyerere, huu ufisadi huuoni, ukarabati 8.2bn na posho laki 3 kwa siku, wiki sasa wanafanya nini huko,mkutano wa wazazi Dodoma kipindi cha Bunge la Katiba ndio mambo ya Nyerere hayo????!!!!!

Yeye unayemtaja akiamka leo mtakula viboko mchana kweupe!!!!!!!!

Rest in eternal peace Julius Kambarage Nyerere!!!!!

South Sudan walipojitenga toka Sudan hawakuishia hapo tu bali waliendelea kugawanyika kimakabila na baadaye dini zitafuata...!
Na sisi tukimaliza huu wimbo wa Utanganyika na Uzanzibari siku-remind nini kinafuata...!
 
Tulishaizika, Hilo jina Tanganyika hata asili yake haijulikani! Wengi walizaliwa Tanzania lakini wanavyoshabikia "Utanganyika" utafikiri wametumwa aiseee!
Wamezaliwa Tanganyika under the Label of Tanzania bara ila kika 9 Disemba wanaambiwa ni uhuru day wa Tanganyika yao sasa wanataka hiyo nomenclature ya Tanganyika irudi ili 9 Disemba ipate heshma na hadhi yake!!!!!

Ukisoma will power ya kudai Tanganyika ndio utaona kuwa hawa watu "hawajatumwa" sababu wako persistent pande zote na hii ni true whim sasa ni suala la busara based on reality na muda ndio huu!!!!

Hii inawagharimu nini kwani in real sense??!!!
 
Namuunga mkono moja kwa moja eti mtu ana miaka 25 eti kwa sababu kapata tiketi ya kuingia bungeni kama mjumbe unasikia anasema serikali Tatu wakati hata wakati Tanganyika inapata uhuru hakuwepo,Pinda nakupongeza kwa msimamo wako thabiti
haya tunataka serikal moja, mkitamka serkal ya zenj tunadai ya tanganyika na kwa vyovyote itavyoitwa hata km Tanzania bara
 
South Sudan walipojitenga toka Sudan hawakuishia hapo tu bali waliendelea kugawanyika kimakabila na baadaye dini zitafuata...!
Na sisi tukimaliza huu wimbo wa Utanganyika na Uzanzibari siku-remind nini kinafuata...!


Kama ni natural order then hata Tsunami yaweza kutokea na tukaingia matatizoni!!!!
Principally,matukio ya kijamii na kisiasa huwa yana sababu ambazo ni either spontaneous au man made sasa hili la kuendelea kubaguana genesis yake ni nini?????!!!!

Usisahau kuwa serikali ipo na ina nguvu sana so wakiamua kulinda amani inawezekana kabisa kwa nchi yetu ya Tanganyika sababu hakuna kundi lenye mrengo wa kidini wala kikabila litakaloshinda serikali nguvu!!!!!!!

Kama kuna potential danger iweke iwe adressed parallel na ujio wa takwa la wananchi
 
Tulishaizika, Hilo jina Tanganyika hata asili yake haijulikani! Wengi walizaliwa Tanzania lakini wanavyoshabikia "Utanganyika" utafikiri wametumwa aiseee!
Umelizika vipi wakati una jina la Tanzania? (Tanganyika na Zanzibar).

Ziwa Tanganyika nalo lina asili ya wapi?
 
Wamezaliwa Tanganyika under the Label of Tanzania bara ila kika 9 Disemba wanaambiwa ni uhuru day wa Tanganyika yao sasa wanataka hiyo nomenclature ya Tanganyika irudi ili 9 Disemba ipate heshma na hadhi yake!!!!!

Ukisoma will power ya kudai Tanganyika ndio utaona kuwa hawa watu "hawajatumwa" sababu wako persistent pande zote na hii ni true whim sasa ni suala la busara based on reality na muda ndio huu!!!!

Hii inawagharimu nini kwani in real sense??!!!

Swali toka kwa PM Pinda, Tanganyika ipi uitakayo mwenzetu?
 
Kama ni natural order then hata Tsunami yaweza kutokea na tukaingia matatizoni!!!!
Principally,matukio ya kijamii na kisiasa huwa yana sababu ambazo ni either spontaneous au man made sasa hili la kuendelea kubaguana genesis yake ni nini?????!!!!

Usisahau kuwa serikali ipo na ina nguvu sana so wakiamua kulinda amani inawezekana kabisa kwa nchi yetu ya Tanganyika sababu hakuna kundi lenye mrengo wa kidini wala kikabila litakaloshinda serikali nguvu!!!!!!!

Kama kuna potential danger iweke iwe adressed parallel na ujio wa takwa la wananchi

Mkuu matatizo yakianza, kama tunavyoyatafuta sasa hivi kwa udi na uvumba, yanaweza kuchukua muda mrefu au hata yasiishe kabisa!

Better prevention than cure!
 
South Sudan walipojitenga toka Sudan hawakuishia hapo tu bali waliendelea kugawanyika kimakabila na baadaye dini zitafuata...!
Na sisi tukimaliza huu wimbo wa Utanganyika na Uzanzibari siku-remind nini kinafuata...!
Hivyo ni vitisho tu.
Historia ya Sudan ya Kaskazini na Kusini ni tofauti kabisa na historia ya Tanzania.

Ninakuhakikishia kabisa SABABU zilizooiingiza Sudan ya kusini katika machafuko haziwezi kabisa kuziingiza Tanganyika au Zanzibar katika machafuko.
 
Umelizika vipi wakati una jina la Tanzania? (Tanganyika na Zanzibar).

Ziwa Tanganyika nalo lina asili ya wapi?

Sasa kama issue ni majina kuwepo tu anywhere (whether ni Ziwa, Mkoa, "nchi," nk) kelele zote za nini?
 
Watanzania hivi tuna shida gani na Tanganyika sisi?

Athari gani tuzipatazo kutokea kwenye huu muungano wa sasa ambazo zinapelekea kutaka kuuvunja?

Hiyo Tanganyika itakuwa na faida zipi ambazo haziwezi kutokea kwenye huu muungano wa sasa?

Badala ya kuing'ang'ania Tanganyika, nadhani tungetumia hii fursa ya katiba kutatua zile kero za muungano.
 
kwa mtizamo huu wa pm namshauri raisi avunje hilo bunge la katiba make tunatumia pesa nyingi for nothing, ukweli ni kuwa katiba mpya haindikiki labda chama changu ccm wabadili mtizamo wawachie watanzania waamue kuandika katiba waitakayo wenyewe.
 
Hivyo ni vitisho tu.
Historia ya Sudan ya Kaskazini na Kusini ni tofauti kabisa na historia ya Tanzania.

Ninakuhakikishia kabisa SABABU zilizooiingiza Sudan ya kusini katika machafuko haziwezi kabisa kuziingiza Tanganyika au Zanzibar katika machafuko.

Sio vitisho ni reality! Tena huu mfano ni perfect kabisa. Siku mtakapopewa kanchi kenu ndo mtaelewa somo practically! Kazeni buti kudai, karibu mtafanikiwa, then muanze kuonja "matunda ya uhuru!"
 
Watanzania hivi tuna shida gani na Tanganyika sisi?

Athari gani tuzipatazo kutokea kwenye huu muungano wa sasa ambazo zinapelekea kutaka kuuvunja?

Hiyo Tanganyika itakuwa na faida zipi ambazo haziwezi kutokea kwenye huu muungano wa sasa?

Badala ya kuing'ang'ania Tanganyika, nadhani tungetumia hii fursa ya katiba kutatua zile kero za muungano.

Kama watu hawataki kwa nn mnawalazimisha? Demokrasia inataka wengi wape na watu wengi ndo washaukataa huu muungano. Huwezi kaa na mke anakupigia kelele kila siku ukamvumulia tu. Kero za muungano zisizotatulika kwa miaka 50 hatuezi zitatua kwenye siku 70 hapo dodoma. Waacheni watanzania wapate haki yao ya kuamua. TUNAITAKA TANGANYIKA YETU. PERIOD
 
Pinda , hajui watanzania wanataka Tanganyika ipi, sasa yeye ni waziri mkuu wa akina nani ? Mbona hajawahi kufika Zanzibar kikazi au kwa vile yeye ni waziri mkuu wa Tanganyika ? Huyu naye bure kabisa , hujitambui mzee wangu Pinda you better keep kimya please as u don't know...
 
Swali toka kwa PM Pinda, Tanganyika ipi uitakayo mwenzetu?

Swali gani hili sasa???!!! Yaani ukivaa koti na suruali iwe suti halafu ukiambiwa uvue koti unauliza ntabaki na suruali gani???!!!!

Well ile ilopata uhuru 9 Disemba!!!!!
 
Ningemsifu ka ma angeuliza swali hilohilo kwa Zanzibar. Unafiki ni mbaya sana. Anawaogopa?

pinda anatuona sisi wapumbavu sana, wapi penye mshangao? Tanganyika iliyodumu kwa miaka mitatu au Zanzibar ambayo haikufikisha hata mwezi?
 
kwa mtizamo huu wa pm namshauri raisi avunje hilo bunge la katiba make tunatumia pesa nyingi for nothing, ukweli ni kuwa katiba mpya haindikiki labda chama changu ccm wabadili mtizamo wawachie watanzania waamue kuandika katiba waitakayo wenyewe.

Usisahau kuwa wanaCCM nao ni Watanzania na pia wameaminiwa kuwawakilisha Watanzania! After all Rasimu ya 3 itarudishwa kwa wananchi hao hao kuikubali ama kuikataa!
 
Back
Top Bottom