Mitungi 100 ya gesi ya January Makamba kwa ufafanuzi wa Spika Tulia ilikuwa siri, Salma Kikwete karopoka bila kujua?

The Supreme Conqueror

JF-Expert Member
Feb 13, 2017
324
909
Leo katika uwasilishaji wa bajeti ya Wizara ya nishati na Madini Mama Salma Kikwete alimpongeza Waziri January Makamba kwa kutoa zawadi ya mitungi 100 ya gesi kwa kila Mbunge sintofahamu ikaanza pale Spika wa Bunge alipoanza kutoa ufafanuzi mwingi zaidi ya mwasilisha hoja juu ya ugawaji wa mitungi hiyo mia moja kwa kila Mbunge na zaidi alipoenda mbali zaidi kwa kusema kuwa Fedha za kuwanunulia Wabunge mitungi hiyo zimetoka katika bajeti ya mwaka jana.

My Take haya maigizo hayana faida kwa Watanzania wa hali ya chini hizo Fedha mitungu100xbeikwakilamtungi50000xidadi ya Wabunge wasiopungua300=B1.5 Tsh na Kuna vijiji hadi leo umeme haujafika bajeti ya Wizara Wabunge wanagawana tena kipindi ambacho Bunge linatakiwa kupitisha Bajeti ya Wizara husika hapa Makamba Kama Taasisi lazma akubali kubeba lawama na kashafa ya Aina yoyote.

MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA 🇹🇿🤲
 
Yaani hii nchi kuna mambo ukiyasikia hadi yanatia hasiranila wenyewe kama hawasiikii vile tuje tupigane tu ili viongozi waheshimu wananchi kuwa ndio wenye nchi

NB: nawasubiri kwa hamu wale watakao kuja na hoja ya usiombe vita ni mbaya sana

Siku nchi ikiingia kweny machafuko na mimi nitakuwa miongoni watakaoingia barabarani kutembeza kichapo kuanzia kwa mtendaji mpka huko juu ni kichapo kisawasawa alaaaa
 
Sasa rushwa inaingia mpaka bungeni wazi wazi, Spika Tulia anaona huo ujinga nae anajaribu kuuficha, hii ni kashfa iliyolichafua bunge inayostahili Tulia ajiuzulu, Makamba mtoa rushwa nae ajiuzulu.

Akili ndogo za wabunge wasiojua nini cha kuongea sasa zinasababisha wajivue nguo wenyewe, aibu kwao, na mamlaka ya uteuzi ndio ipo kimya kama haijui kinachotokea, hii awamu taifa limepata hasara sana.
 
64e741dc599ac7b7cc4452085c77445d.jpg
 
Yaani hii nchi kuna mambo ukiyasikia hadi yanatia hasiranila wenyewe kama hawasiikii vile tuje tupigane tu ili viongozi waheshimu wananchi kuwa ndio wenye nchi

NB: nawasubiri kwa hamu wale watakao kuja na hoja ya usiombe vita ni mbaya sana
Tukifika hatua hiyo me nifungieni chumba kimoja na nape , makamba jr, mwigulu na yule fala Anaitwa maharage.

Nitatembeza za chembe nitawatandika hapo ndani tuloe damu mbwa wale watasanda nitawakung'uta aiseeee nitapiga kisawa sawa.
 
Leo katika uwasilishaji wa bajeti ya Wizara ya nishati na Madini Mama Salma Kikwete alimpongeza Waziri January Makamba kwa kutoa zawadi ya mitungi 100 ya gesi kwa kila Mbunge sintofahamu ikaanza pale Spika wa Bunge alipoanza kutoa ufafanuzi mwingi zaidi ya mwasilisha hoja juu ya ugawaji wa mitungi hiyo mia moja kwa kila Mbunge na zaidi alipoenda mbali zaidi kwa kusema kuwa Fedha za kuwanunulia Wabunge mitungi hiyo zimetoka katika bajeti ya mwaka jana.
My Take haya maigizo hayana faida kwa Watanzania wa hali ya chini hizo Fedha mitungu100xbeikwakilamtungi50000xidadi ya Wabunge wasiopungua300=B1.5 Tsh na Kuna vijiji hadi leo umeme haujafika bajeti ya Wizara Wabunge wanagawana tena kipindi ambacho Bunge linatakiwa kupitisha Bajeti ya Wizara husika hapa Makamba Kama Taasisi lazma akubali kubeba lawama na kashafa ya Aina yoyote.

MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA
Ulitolewa ufafanuzi Jana Wala haikuwa Siri hata kidogo

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Mbona sasa na nyinyi mnatembelea chopa wakati ofsi hamna. hamuoni Kama hyo mitungi ya ges itapunguza matumizi ya kuni na mkaa na kufanya mazingira yetu yabakie Salama kwa MAISHA yetu na viumbe wengine.
Achaneni na pinga pinga ya kila kitu
 
Leo katika uwasilishaji wa bajeti ya Wizara ya nishati na Madini Mama Salma Kikwete alimpongeza Waziri January Makamba kwa kutoa zawadi ya mitungi 100 ya gesi kwa kila Mbunge sintofahamu ikaanza pale Spika wa Bunge alipoanza kutoa ufafanuzi mwingi zaidi ya mwasilisha hoja juu ya ugawaji wa mitungi hiyo mia moja kwa kila Mbunge na zaidi alipoenda mbali zaidi kwa kusema kuwa Fedha za kuwanunulia Wabunge mitungi hiyo zimetoka katika bajeti ya mwaka jana.
My Take haya maigizo hayana faida kwa Watanzania wa hali ya chini hizo Fedha mitungu100xbeikwakilamtungi50000xidadi ya Wabunge wasiopungua300=B1.5 Tsh na Kuna vijiji hadi leo umeme haujafika bajeti ya Wizara Wabunge wanagawana tena kipindi ambacho Bunge linatakiwa kupitisha Bajeti ya Wizara husika hapa Makamba Kama Taasisi lazma akubali kubeba lawama na kashafa ya Aina yoyote.

MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA 🇹🇿🤲
Hahahaha alafu unategemea Bunge lisiwe dhaifu! Labda bi mkubwa hakuwa sehemu ya huo ufisadi.
 
Yaani hii nchi kuna mambo ukiyasikia hadi yanatia hasiranila wenyewe kama hawasiikii vile tuje tupigane tu ili viongozi waheshimu wananchi kuwa ndio wenye nchi

NB: nawasubiri kwa hamu wale watakao kuja na hoja ya usiombe vita ni mbaya sana
Mbona hamjapigania hela zenu za join the chain...mbona hamjapigania matumizi ya Ruzuku na hela alizowapaga SABODO.
 
Siku nchi ikiingia kweny machafuko na mimi nitakuwa miongoni watakaoingia barabarani kutembeza kichapo kuanzia kwa mtendaji mpka huko juu ni kichapo kisawasawa alaaaa
Endelea kuota ndoto Cha mchana...wekeza nguvu zako kwenye uzalishaji...syo badae mje kulalamikia Bei za maharage
 
Back
Top Bottom