Hell is real
JF-Expert Member
- Aug 14, 2021
- 204
- 364
Hata kwangu haifunguki
Imezidi kwa uzushi...😀😀Mimi ni mpenzi sana wa Youtube, mbona leo haifunguki?.
Na wasiwasi yule wa twitter ni mjukuu tu mwenyewe kafa nahisi kama JPM ndio alikuwa mwenyewe maana baada ya kuondoka tu mjukuu yuko busy na umbea wa mipira nahisi kama ana depression fulani hivi anarukia topic za kina Mwinjaku, hata Mwinjaku afadhali kumsoma...Yule bwana wa kule twitter hana lolote siku hizi ,labda wanataka kufanya maamuzi mazito kuhusu Mbowe kwahiyo wanapima upepo
Hakuna wa kufanya mapinduzi hapa nchini kwa zama hizi.Au kuna jaribio la mapinduzi ila najua hawajazima mazima watakuwa wamesitisha kwa muda kwa sababu ya kumuhofia bwana yule kule twitter
Wapinduliwe kibabe na kunyongwa hadharani ?Kwaviongozi hawa ni ngumu sana afrika kuendelea wamejaa roho mbaya zaidi.
Wamelewa kinywaji kiitwacho CCM.Hivi huaga mnasoma content kweli? Kabla hamjachangia nyuzi
Endelea kujidanganyaJF tumejibanza sehemu ambayo ni ngumu kufunga
Wewe unajua ?Hivi hamjui hiyo account inatumiwa na nani? Chadema bana iadha mnasafari ndefu sana au mnajitoa ufahamu
Wewe unajua ?
Jikite kwenye swali mama, acha kuruka ruka kama popcornKama hujui pole hujaiva ktk uchambuzi
sijaelewa alikuwa anapataje siri wakati wa JPM ,Sasa hivi unaona kabisa na yeye pia anategemea connectionNa wasiwasi yule wa twitter ni mjukuu tu mwenyewe kafa nahisi kama JPM ndio alikuwa mwenyewe maana baada ya kuondoka tu mjukuu yuko busy na umbea wa mipira nahisi kama ana depression fulani hivi anarukia topic za kina Mwinjaku, hata Mwinjaku afadhali kumsoma...