Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
kwanini mpenzi?kama vile siamini.
kwanini mpenzi?kama vile siamini.
kama mnabadilishana pesa kwa mwili unasemaje pesa za bure wakti huduma imeuzwa hapo. hakuna cha bure dunia hii.[/COLOR]
Dada zanguni fanyeni kazi kwa bidii hata kuuza vocha za simu kunaweza kukupa pesa halali kuliko hizi za burebure huku ukibadilishana kwa kukodisha mwili wako utumiwe na mtoa pesa wakati hata moyo wako hauko kwake kimapenzi ila tu ni kuufanya mwili wako bidhaa ya kukodisha kwa watumiao kama ilivyotokea wiki hili habari za wakodisha miili kwa wapita njia huko Mbagala. Huku ni kujidhalilisha mno akina dada msijenge mno utetezi ukweli upo.
kwanini mpenzi?
yaani siamini mtu anaweza kuomba namba leo, na huyu mkaka alivyo mwepesi katoa chapchap na mzinga juu siku hiyo hiyo.
Hata hapa JF wapo kibao huko PM...
Vinapiga piga tu wanaume mizinga kama vimalaya vile...
Hata mi nashangaa sana na wengine actually humu wanaona ni sahihi kabisa kutoa namba kirahisi hivo....labda im the wierd one!
Kimsingi nimekuelewa ila thread kuna wakati kama zinajichanganya kwa nature ya watu walivyo.Hata hatujatofautiana kifikra my dear ila tupo katika level tofauti za precaution kwako wewe unaona ni rahisi kuwa na marafiki na kuexchange phonenumber while kwangu mm nipo slow and i prefer it to be that na huko international nod hakuna matatizo ndio maana mpaka wengine wanauzwa .Ni hatari sana aieee hii teknolojia inarahisisha mambo mengi mno lakini kuna consenquences!!
Unakula zako ball cone Kando ya ziwa Victoria, nakuoneaje wivu....
Naona umenikurupukia tu, ila ungeanza kwa kumshauri mwanaume mwenzio[/COLOR]Ukweli unauma na lisemwalo si laja tu ila lipo. Kuna watu wameamua kuingia mitandaoni kwa utafiti na wameliona hilo. Mengi wamesema na kushuhudia ukiongea na wengi wanaeleza mbinu wanazotumia akina dada kuomba kama ifuatayo:
Na mengineyo mengi, hata tutetee namna gani hii biashara ya mitandaoni ipo na wanaeleza kabisa young money maker.
- Simu yangu imeharibika naomba nitumie pesa ninunue
- Nina birthday naomba pesa ya zawadi na kufanyia party
- Nadaiwa pesa za pango la nyumba
- Nimeishiwa nauli ya kwenda shule au kazini naomba pesa
- Nimefiwa nahitaji nauli ya kwenda msiba
- Nimeishiwa matumizi chuo na wazazi wangu hawana uwezo
- Tumecheleweshewa mkopo nisaidie pesa
- Naanzisha biashara niongezee mtaji
Kuna wanaodiriki kutumia zile sabuni za mchina kurudisha njia iwe ndogo aonekane ni kama bikra, kisha anatangaza kwa anaowafahamu wana pesa kwa ni bikra anataka dau kubwa wa kumtoa bikra.
Dada zanguni fanyeni kazi kwa bidii hata kuuza vocha za simu kunaweza kukupa pesa halali kuliko hizi za burebure huku ukibadilishana kwa kukodisha mwili wako utumiwe na mtoa pesa wakati hata moyo wako hauko kwake kimapenzi ila tu ni kuufanya mwili wako bidhaa ya kukodisha kwa watumiao kama ilivyotokea wiki hili habari za wakodisha miili kwa wapita njia huko Mbagala. Huku ni kujidhalilisha mno akina dada msijenge mno utetezi ukweli upo.
Kaka coca mbona paref sanaaa!!!... hahaa apa ni "maj ya kuchemsha"...
Bg up kwa discover iyo
kama mnabadilishana pesa kwa mwili unasemaje pesa za bure wakti huduma imeuzwa hapo. hakuna cha bure dunia hii.
Naona umenikurupukia tu, ila ungeanza kwa kumshauri mwanaume mwenzio
Kimsingi nimekuelewa ila thread kuna wakati kama zinajichanganya kwa nature ya watu walivyo.
kuna mwingine anakuja na thread eti hakuna urafiki wa mwanamke na mwanaume hapa panashingaza kidogo, kwa sababu mimi nakaa hotel mara nyingi na wanawake tofauti ambao sina wala sihitaji uhusiano nao kimapenzi na tunadiscuss business manner na kula pamoja tu.
Labda nilikigunduwa kuna wanaume labda hawajielewi au hawajui wanahitaji nini na bado Wabongo tunahitaji kupigwa msasa kuwa na know how ya social network.
ha hahaha wakifika kumi basi mpe nauli mmoja
Naona umenikurupukia tu, ila ungeanza kwa kumshauri mwanaume mwenzio