Mwenyewe nmekumiss jamen....
Vipi pasaka utakwua wapi, mie Full moon party at Jembe ni Jembe itanihusu shostito!!!
Una uhakika kama ni changudoa? kwa nini usiamini ni wasanii wapo kinondoni na line yao ya mpesa wanakusanya pesa za wajinga?
Naamini huo ni mtandao wa wanaume stuka.
Nanguo zake?
Heh! Inawezekana kuwa wanamme?
haya usilalame ukiombwa hela toa sadaka
Mi ntakuwa huku huku kwenye mchakato wa katiba
huko hadi december nikijaaliwa Uzima
we vunja mifupa bibie meno si ikoo bana teh
Ni wapi mimi nilipolalama kuombwa hela? unajuwa kusoma lakini?
Nilichoandika na ninachoamini kwenye social network nahitaji zaidi marafiki ambao sifahamiani nao I need new things everyday.
Bado uwepo wa internet nadhani unawanufaisha Watanzania wachache sana kwa sababu ya mindset na kutokuwajuwa kutumia fursa za connection.
Zamani kabla ya mapinduzi ya tekinolojia tulikuwa tunasoma tu kwenye magazeti na kupata marafiki ulaya mpaka inafikia hatuwa unawaalika kwetu anakuja na yeye anakualika nchini kwao unakwenda, sasa leo kuna internet kwenye Facebook friends wako kwanini wajae kina mwajuma mke jina chausiku shida and likes? to me no way.
Oooh jamani... Haya bana nitakuwa zangu na mtasha tu!
Kwani mleta mada anaongelea nini?kila mtu anatumia hizi social networks kwa matakwa yake kuna matapeli,wezi,malaya,watu wenye nia njema n.k kwahio unapaswa kuwa makini kukubali friend request za watu usowafahamu au kubali friend request ujuane na mtu taratibu kabla hamjabadilishana namba za simu kwa sababu hapo mmenda next level unampa urahisi huyo mhusika mwengine wa mawasiliano!mfano hapa JF ukianza kujuana na mtu mnajuana taratibu mnasomana kisha mnahamia next level...sio unaombwa namba ya sim mbiombio ushaitoa kama ni jangili je kha!
Nawe upo cheap mnoooo khaaaaa
yani kimtu cha mtandaoni wala hukijui ushatoa namba
na hapo ni wa kiume ungekuwa mwanamke je?
Hio inaitwa "BEING PRECAUTIOUS" sio generalisation!Ushasema wewe ni mfanya biashara kwahio ndio maana unaona si tatizo kwako kwasababu ni njia mojawapo ya mawasilino ya biashara kwako sio njia ya kujenga urafiki!Kwasababu ukijenga urafiki kuna vitu lazima uvifikirie na consequences,ni kama useme nimejuana na leo Matola leo nikueleze kwangu while i know nothing abt you,C`mon dude!Hujui sehemu nyingine ukitoa namba yako mtu akikugoogle anapata mpaka address ya unapoishi we vp?!And if you need new things everyday that "ACCORDING TO YOU"!Tatizo lenu kubwa ni kugeneralise watu, mimi JF inbox yangu ni ya kibiashara zaidi kubadilishana namba za simu ndani ya siku moja na member kwangu siyo issue, si kila mtu anahitaji mawasiliano kwa negative issues.
Ndio maana siku hizi hata namba za viongozi zinapaswa ziwe wazi kwa public ili zitumiwe wanapohitajika.
Narudia tena I need new things everyday.
You mislead my point, mimi sijabase kwenye wapiga mizinga wala flirting kwenye Facebook ninachosisitiza mimi nahitaji zaidi marafiki ambao hatufahamiani nina mengi nahitaji kujuwa kutoka kwao na hapa unielewe very clear.Hio inaitwa "BEING PRECAUTIOUS" sio generalisation!Ushasema wewe ni mfanya biashara kwahio ndio maana unaona si tatizo kwako kwasababu ni njia mojawapo ya mawasilino ya biashara kwako sio njia ya kujenga urafiki!Kwasababu ukijenga urafiki kuna vitu lazima uvifikirie na consequences,ni kama useme nimejuana na leo Matola leo nikueleze kwangu while i know nothing abt you,C`mon dude!Hujui sehemu nyingine ukitoa namba yako mtu akikugoogle anapata mpaka address ya unapoishi we vp?!And if you need new things everyday that "ACCORDING TO YOU"!
Hata hatujatofautiana kifikra my dear ila tupo katika level tofauti za precaution kwako wewe unaona ni rahisi kuwa na marafiki na kuexchange phonenumber while kwangu mm nipo slow and i prefer it to be that…na huko international nod hakuna matatizo ndio maana mpaka wengine wanauzwa….Ni hatari sana aieee hii teknolojia inarahisisha mambo mengi mno lakini kuna consenquences!!You mislead my point, mimi sijabase kwenye wapiga mizinga wala flirting kwenye Facebook ninachosisitiza mimi nahitaji zaidi marafiki ambao hatufahamiani nina mengi nahitaji kujuwa kutoka kwao na hapa unielewe very clear.
Kwenye Facebook kuna kuomba na kuombwa urafiki, unapoombwa na mtu urafiki cha kwanza ni kuview profile yake itakupa majibu mazuri na kama settings zake amelock privacy basi wachache sana akili kichwani mwako.
Pili kuna kuomba urafiki hapo ndio fursa ya wewe kuchaguwa unahitaji marafiki wapya kutoka bara gani na siyo kusearch jina la next door umtumie friend request.
Mimi nadhani tunatofautiana sana kwenye fikra, wakati wewe unawaza mtu wa kujuwa kama unakaa mikocheni, mimi nawaza mtu ajuwe I have friend request from Africa.
Inshort wewe unawaza in local circumstances wakati niko international levels of friendship.
Okay nakusaidia kukuambia magombe junior usiwe unatoa toa namba hovyo kwa watu usowajua....