Wa apa c ndo wale kila mmoja anafanys bot wengne wako na bg investment....madai hamnaga njaa....tehe
Nawe upo cheap mnoooo khaaaaa
yani kimtu cha mtandaoni wala hukijui ushatoa namba
na hapo ni wa kiume ungekuwa mwanamke je?
Tehe..at first i thout of it coz prof ilikua ikinionyesha mtanashat...nikabadil nikamu-attach na bibie wang...kibom kipya tena...loooh
Hahahaha ooo so hua mnawa-pm ma bg boss sie vidagaa mnatusamehe.....niwashkuru kwa ilo
Tehe..at first i thout of it coz prof ilikua ikinionyesha mtanashat...nikabadil nikamu-attach na bibie wang...kibom kipya tena...loooh
Angekuwa mwanamke wangemkoma, gusa unate....angemuita kicheche
Angekuwa mwanamke wangemkoma, gusa unate....
Mi naonaga mauza uza na hainiingii akilinisaana, ila isingechukua muda angepata habari yake na wale majini wa fb plus wezi
Okay nakusaidia kukuambia magombe junior usiwe unatoa toa namba hovyo kwa watu usowajua....Ndo mana ikawa ww...wenzio wanatoa labda utusaidie kuwaambia
nawe upo cheap mnoooo khaaaaa
yani kimtu cha mtandaoni wala hukijui ushatoa namba
na hapo ni wa kiume ungekuwa mwanamke je?
aise umemchokaje dahhhhhhh!!!