Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
uache kukubali friend requests za watu usiowajua!
Umejitahidi kutunga hadithi yako ila ongeza bidii
Hii sio story ya kutunga personally imenikuta kunamdada aliniomba elfu30 akasema atm ATM yake imemezwa na ilikuwa jmo kwahiyo mpaka kuipata j3 anashda sna cjui nn
Changudoa hana lebo, stuka mjini hapa!
uache kukubali friend requests za watu usiowajua!
haya usilalame ukiombwa hela…toa sadakaNa wewe unaleta maajabu sasa, sasa mtu unayejuwana naye ana ulazima gani wa kuanzisha naye urafiki?
Mimi nahitaji connection na watu wapya wenye faida na siyo wale mnaopiga soga pamoja muda wote kuna jipya gani?
Hhahhaha...yan kuna wadada wanajirahisi kushinda ata maana yenyewe ya neno..
Wadau niwasalimu kwa heshima zote,
Pia niitumie fursa hii kutoa shukrani zangu za dhati kwa ushauri murua kuhus namna nzuri ya kubana matumizi na kuepuka madeni,,kwa kweli mmenifaa..
Back to the topic..juzi wkend nkiwa nimejipumzisha kwangu naperuzi fb nikapata frend request ya mdada....nkamkubali,, baada ya mda akantuma msg kua nimtumie no zangu..na mimi sikua nimeona tabu nikampa nkajisemea may b she knew me!..
Kidogo nikabipiwa napiga anajitambulisha kwa jina lile nikasema ooh nambie vipi..
Akaanza ooh kaka angu mimi sikufahamu wala we hunijui ila nina shida la elfu 45 niko kigoma nataka nije na ndege ya jion my mam anaumwa yupo mwanza..heee nikasema makubwa!!...
nikajisemea dada ungejua metoka kupata shule ya ubahil aka kubana matumiz!...nikamwambia dada samahan sina!!!!!!!!....
Leo tena nikaombwa urafiki na mrembo nikamkubali...badae naingia nakuta msg kaka angu samahan naomba elfu 25 nihudhurie mazishi ya mama angu mm nipo ddma msiba upo Dar...
haaaaa!!!! helll noooo!!!!awa wamelogwa??nani kawaambia mimi mengiii!!!!
Sio kila thread inahitaj ushauri...
Na hilo si wewe tu
wengine wanaomba
1. pesa ya saloon
2. pesa ya kumalizia ada ya chuo
3. kuongezea kumalizia kodi ya chumba
4. vocha
5. kununua dawa anaumwa malaria
6. kununua chakula ana njaa
7. kusafiri- kuhudhuria mazishi
8. anakopa kwa ajili kuongezea mtaji
9. mtoto ada - wale single mums
na hata mtu hmjui wala hujawahi kukutana naye!! they have guts!!! sasa ole uoneshe yuko interested!! umekwisha na usipotuma mawasiliano anakata hheheeee
Mkubwa kwa ufahamu wangu ndege kigoma ipo moja tu na ni ya saa sita hadi tisa. Alidhani shamba la bibiWadau niwasalimu kwa heshima zote,
Pia niitumie fursa hii kutoa shukrani zangu za dhati kwa ushauri murua kuhus namna nzuri ya kubana matumizi na kuepuka madeni,,kwa kweli mmenifaa..
Back to the topic..juzi wkend nkiwa nimejipumzisha kwangu naperuzi fb nikapata frend request ya mdada....nkamkubali,, baada ya mda akantuma msg kua nimtumie no zangu..na mimi sikua nimeona tabu nikampa nkajisemea may b she knew me!..
Kidogo nikabipiwa napiga anajitambulisha kwa jina lile nikasema ooh nambie vipi..
Akaanza ooh kaka angu mimi sikufahamu wala we hunijui ila nina shida la elfu 45 niko kigoma nataka nije na ndege ya jion my mam anaumwa yupo mwanza..heee nikasema makubwa!!...
nikajisemea dada ungejua metoka kupata shule ya ubahil aka kubana matumiz!...nikamwambia dada samahan sina!!!!!!!!....
Leo tena nikaombwa urafiki na mrembo nikamkubali...badae naingia nakuta msg kaka angu samahan naomba elfu 25 nihudhurie mazishi ya mama angu mm nipo ddma msiba upo Dar...
haaaaa!!!! helll noooo!!!!awa wamelogwa??nani kawaambia mimi mengiii!!!!
Sio kila thread inahitaj ushauri...
Nakusapoti kwa hio sera yako ya ubahili nami naiadapt maana naona hela yangu inaishia kwenye bia na nyamachoma tu. Sasa hivi Coca itahusika sana.