Ukiwa moshi kuna mtaa wa mashenzini nyuma ya coffee curing kuanzia lang'ata mpaka daraja la bunda bar ni wazee wa kunywa wanzuki bangi na roba za mbao hapo ndo kwenyewe naona Kwa pembeni wameanzisha open university
.
Magogoni palipo na ikulu ya rais.
Imefumbia macho wizi wote kiasi cha kutukosesha hata msaada wa kutibiwa tunapougua.
Hebu piga picha ebola ikipiga hodi wakati hospitali hazina hata panado?
.