Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
Tarime makanisani na misikitini ndio salama
hahahaaaa
Tarime makanisani na misikitini ndio salama
Ifike wakati hata wezi watz wawe wa kisasa, mambo ya kuiba sim,roba,fatuma,kuuwa kwenye tukio,yamepitwa na wakati
mtwara, kuna mdenganamadi na likonde ni noma ingawa sasa ivi wale jamaa walikua wanajiita (tukale wapi) ni madereva wa bodaboda.
du kumbe bodaboda makes life better
Kwa utapeli kila sehemu unatapeliwa, kwa nondo za usiku kila mtaa sio Salama ila hatari zaidi ni mtaa wa tukuyu/mangurueni kuliko maporomoko.!!Hahaaa habari ya hapa tulipo mkuu, Tunduma kila mtu ni mjanja dhidi ya mwenzie!
Mwanza road/ Singida road na AreaB karibu na makaburi eneo hatari pale mjini Dodoma!
Tarime makanisani na misikitini ndio salama
Dodoma, ni area D, Hazna, kikuyu.
Sehemu nyngne Wenyewe wataongezea
Dar pale mtaa magogoni-Ikulu
dar_ikulu
dodoma ni chango'mbe (gwasa),mji mpya na majengo
Pia Kizota kule ni noma.
pia swaswa mnarani ,daraja la wajenzi area d ,chaduru shule ya ipangara nooma
wewe unaifahamu moro vizuriMorogoro manzese, chamwino,,mjimpya, mafisa, kichangani, msamvu