EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,702
FaizaFoxy, We ni sawa na bibi yangu kulingana na maoni mbali mbali ya wanajukwaa je naweza kuwa mjukuu anekula tunda la bibieeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo tulikuwa tunakungojea wewe umbandue huyuHivi kweli hakuna mwanaume alie fanikiwa kumnyandua huyu ajuza...!!??
Wanaume wa Daslam mnatuangusha sana aiseeee...
Sent using Jamii Forums mobile app
Assalaam Alaykum ndugu katika imanWale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM. Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Popote ulipo dreamliner, ma air bus na mabombadia yanafika mpandishe ndege bibie
Sawa mkuu, nitawaletea mrejeshoPopote ulipo dreamliner, ma air bus na mabombadia yanafika mpandishe ndege bibie
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi Wasukuma tukipendaga ndio tulivyo tena ni afadhali yangu mimi ni Msukuma wa mjini, ingekuwa ni yule wa kijijini, nini ngonjera, anakuimbia kabisa!.
Swali la pili nimekujibu para ya mwisho.
Wewe mwanaume rijali, ukituhumiwa kwenye public kuwa hujafanyiwa sunna, vipi utatoa ili uonyeshe kukwepa aibu au?
Naomba nipatie fursa to prove them wrong!.
Hapa nilipo kwanza kwa idadi tuu ya wale wa damu yangu kwa mujibu wa mama zao, walio rasmi ni 8!, unofficial sijahesabu!. Kwenye hao 8, ili kutowachosha wamama, ni 3 wamesaidiana. Bi mkubwa 2, wakati 3, na huyu bi mdogo 3, na kwa vile idadi ya dini yako mwisho 4, nafasi yako ipo.
Kiukweli Faiza kupendwa ni jambo jema tena ili uniamini kuwa nakupenda kweli, nakuapia kwa Mwenyeenzi Mungu mwenyewe Allah Subhanahu wa ta'ala mwenyewe kabisa.
P
Mbona kama mna bifu hivi?unajua nilipotokea usitake kujitoa ufahamu, unadhani nilipotoka mimi ni sawa na kwako hapana, kwako naweza kupatemea mate ili nifanye yangu, na nitakuwa naupa mazoezi tu uume wangu wala si kukuweka akilini
Kinyume kabisa na maamrisho ya uislamu.... mmmmh. Kumbe kwenye ulimwengu huu wa matusi na wewe pia upo?Uliipotokea hapakutemewa mate? Umewahi kumuuliza mama'ko?
Wewe si ndiyo wale kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa mwamkie baba'ko.
Wewe ni zao la mtaji kiuno tu, huna zaidi.
Mim ninayo hela ..Una hela?
acha kutugombanisha wenyewe tunaelewana,Mbona kama mna bifu hivi?