Nicole
JF-Expert Member
- Sep 7, 2012
- 4,274
- 2,520
Kipipi utawaweza watu wa chugga ww!!! wazoee tu....nilipendekezwa then nikapigiwa kura...kwani wandemand nn??? siwaelewi....
Ciello my dear,
Niliogopa kukusemea sana.
Nakumbuka hata ulivyotua kule kwetu kanda ya ziwa, ila nilihofia kaconfidentiallity principle!
Nashukuru umeverify mwenyewe!
Haya waambie na hili, uliteuliwa au uilipendekezwa then ukapigiwa kura?
Last edited by a moderator: