Miss Chit Chat haiko Fair

Miss Chit Chat haiko Fair

Hahahaaa...
Mwanangu Erickb52 umamua kujilipua?! Kisije kuwa kilio cha samaki lakini...
GeeCee
 
Last edited by a moderator:
Nimekuwa nikifuatilia haya mashindano ya miss chit chat nashangaa sana sijawahi kuona mshiriki toka Arusha hata mara moja...imeniboa sana kila siku Dar au kwa kuwa mwendeshaji ni wa Dar?
Au Arusha mnaona sisi sio wa Chit-Chat????
Hata km hatuna wadada kwanini hao wachache wasipewe nafasi hata moja?
Im so bored lazma uandaaji uwe fair bhana.

Copy kwa Arusha Wing
Lily Flower Filipo marejesho sweetlady PakaJimmy Arushaone LiverpoolFC Blaki Womani Preta Mamzalendo Mungi Mzee wa Rula Tonykp IGWE Loner Mr Rocky Kabakabana


duuu.
i just dont beleive it.
 
Mpwapwa napo mbona hamtufikirii? Kuna mamiss wengi huku wa ukweli!

Ni kweli mamito huko wapo wazuri wengi ukiwemo wewe, lakini kwa leo nakuomba umpigie kura yako charminglady...nitamleta Mpwapwa kuwatembelea!
 
Back
Top Bottom