Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,554
- 11,485
- Thread starter
- #81
Msiwe na haraka sasa....siunajua hata darasani ticha huwa anakagua kwanza ndio paper linaendelea? Atakuja ngoja nahisi amepandikizwa kusema yuko Ar ila hayuko huku.itabidi tumnunue kwa mkopo . Ciello sweetheart nakuomba ujoin wing yetu ya Dar maana huko wanakutenga...si unajua nabii hakubaliki kwao!
Siamini Ciello
Last edited by a moderator: