Miss Chit Chat haiko Fair

Miss Chit Chat haiko Fair

itabidi tumnunue kwa mkopo . Ciello sweetheart nakuomba ujoin wing yetu ya Dar maana huko wanakutenga...si unajua nabii hakubaliki kwao!
Msiwe na haraka sasa....siunajua hata darasani ticha huwa anakagua kwanza ndio paper linaendelea? Atakuja ngoja nahisi amepandikizwa kusema yuko Ar ila hayuko huku.
Siamini Ciello
 
Last edited by a moderator:
hivi wewe Kipipi hiyo tabia umeanza lini? inawezekana vipi nikupe hi! uuchune na kujifanya huoni post yangu? kama hutaki nikusalimie nambie niwasalimie wengine isije kuwa salamu yangu inakuharibia. mia

Nisamehe mpendwa wangu,
Ni bahati mbaya tu sikuiona..........nikuchunie mie nifaidike nini atii???

BTW, mi mzima figganigga,
Habari yako?
 
Last edited by a moderator:
Nisamehe mpendwa wangu,
Ni bahati mbaya tu sikuiona..........nikuchunie mie nifaidike nini atii???

BTW, mi mzima figganigga,
Habari yako?
Kanuna huyoo hadi kaenda kulala
 
Last edited by a moderator:
Usimjengee majibu Kipipi ngoja aseme mwenyewe

Would it suffice to seduce an adult person like Ciello?
Isitoshe disputed ideas zipo mbili kama ilivyoainishwa so kumtajia haiathiri lolote kwa sababu hakuna personal interest sote tunatafuta kuelewa!
 
Last edited by a moderator:
Mnamo tar 3 Novemba 2012 mheshimiwa Ruhazwe JR aliweka uzi ambao link yake ipo hapo chini, akiyatambulisha mashindano ya miss CC kwa wana CC wote. Kati ya watu walioombwa kutoa maoni yao katika lile bandiko mama la uzi husika ni huyu ndugu yetu Erickb52. Pamoja na kupewa heshima hiyo ya kipekee, bado ndugu huyu hakutoa mawazo yoyote ya kujenga na leo hii tar 21,22 Desemba 2012 ndio anaibuka na hizi tuhuma(kama Magamba wa Batlida). Wakati na mahali alipopewa nafasi hakuyasema haya, hivyo kwa kuyazungumza haya sasa anakiuka utaratibu elekezi uliowekwa wazi hapo awali.
Erickb52, haya tunayahesabu kama majungu!!! WALE WA MKODIBWE HEBU FANYENI MAZOEZI YA NYONGA, NA NYOOSHENI MISULI YA VIDOLE....hahahah!!!

Yafahamu haya kuhusu mashindano ya Miss CC
 
Last edited by a moderator:
Nisamehe mpendwa wangu,Ni bahati mbaya tu sikuiona..........nikuchunie mie nifaidike nini atii???BTW, mi mzima figganigga,Habari yako?
si ndo hapo hata mi nashangaa!!. mimi sijambo. nikajua wataka mwaka niumalize vibaya. hivi hizo avator wewe ni mdogoe sweetlady?. nafurahia uwepo wenu jf. thanx. mia
 
Last edited by a moderator:
si ndo hapo hata mi nashangaa!!. mimi sijambo. nikajua wataka mwaka niumalize vibaya. hivi hizo avator wewe ni mdogoe sweetlady?. nafurahia uwepo wenu jf. thanx. mia

Kweli kabisa,
Mi na we hatuzuriani!
sweetlady ni swahiba langu la ukweli na bahati nzuri tumejikuta tunashare interests ndo maana unaona kuna ufanano!
Tunafurahi pia kuvuta hewa alongside mzee wa mia figganigga!
 
Last edited by a moderator:
Mnamo tar 3 Novemba 2012 mheshimiwa Ruhazwe JR aliweka uzi ambao link yake ipo hapo chini, akiyatambulisha mashindano ya miss CC kwa wana CC wote. Kati ya watu walioombwa kutoa maoni yao katika lile bandiko mama la uzi husika ni huyu ndugu yetu Erickb52. Pamoja na kupewa heshima hiyo ya kipekee, bado ndugu huyu hakutoa mawazo yoyote ya kujenga na leo hii tar 21,22 Desemba 2012 ndio anaibuka na hizi tuhuma(kama Magamba wa Batlida). Wakati na mahali alipopewa nafasi hakuyasema haya, hivyo kwa kuyazungumza haya sasa anakiuka utaratibu elekezi uliowekwa wazi hapo awali.
Erickb52, haya tunayahesabu kama majungu!!! WALE WA MKODIBWE HEBU FANYENI MAZOEZI YA NYONGA, NA NYOOSHENI MISULI YA VIDOLE....hahahah!!!

Yafahamu haya kuhusu mashindano ya Miss CC
Haya watu8 naenda kupiga kura.
 
Last edited by a moderator:
nani kasema? unata nilale uniibie Kipipi wangu?. nawaangalieni kwa mbali..kama kulala baadae sana. mia
Haya bhana mi nililala nkawaaacha sijui km mlilala au mlikesha
 
Last edited by a moderator:
Nimekuwa nikifuatilia haya mashindano ya miss chit chat nashangaa sana sijawahi kuona mshiriki toka Arusha hata mara moja...imeniboa sana kila siku Dar au kwa kuwa mwendeshaji ni wa Dar?
Au Arusha mnaona sisi sio wa Chit-Chat????
Hata km hatuna wadada kwanini hao wachache wasipewe nafasi hata moja?
Im so bored lazma uandaaji uwe fair bhana.

Copy kwa Arusha Wing
Lily Flower Filipo marejesho sweetlady PakaJimmy Arushaone LiverpoolFC Blaki Womani Preta Mamzalendo Mungi Mzee wa Rula Tonykp IGWE Loner Mr Rocky Kabakabana

wivu ni kidonda ukishiriki utakonda
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom