Miss Chit Chat haiko Fair

Miss Chit Chat haiko Fair

Lakini si huwa wanashiriki?
Suala la kushinda jingine mi nataka washiriki tu figganigga
Kwanini wasimweke hata mmoja ashindwe mwenyewe????

hawana mvuto. hahahaaaaa....!!!. mkuu hii haikupangwa kimkoa but wamepanga kutokana na washindi walio vaa taji la miss chit chat. kama kungekuwepo wa arusha mwenye taji busi angekuwemo. kama vipi na mimi nilalamike kwanini Kipipi hayumo coz huyu ndo miss wa moyo wangu. mia
 
Last edited by a moderator:
Asprin hizo nomination labda zilikuwa za Dar si hatujaziona

Nakushauri rudi karudie homework yako vizuri. Utajaumbuka afu watakucheka watu.......!

Nominations zilifanywa na chit chatters wote na wale waliokuwa wamenominetiwa na members wengi zaidi ndo waliingia kwenye kinyang'anyiro cha kupigiwa kura.

We ulimnominate arachuga gelo yupi? Nakumbuka nlimnominate sweetlady lakini bht mby kura hazikutosha.
 
Last edited by a moderator:
hahahahah wananikana aseeee
By the time anaupata umiss wa Novemba, alikua anakaa pande hiyo...kama wakumbuka ndio kipindi alifanyiwa exclusive interview na Zinduna.
Ciello dear, kuja pande hii please...watu8 needs you sweetheart!!
 
hawana mvuto. hahahaaaaa....!!!. mkuu hii haikupangwa kimkoa but wamepanga kutokana na washindi walio vaa taji la miss chit chat. kama kungekuwepo wa arusha mwenye taji busi angekuwemo. kama vipi na mimi nilalamike kwanini Kipipi hayumo coz huyu ndo miss wa moyo wangu. mia
Hehehheeeee naona unaanza kumshika simba mkia...oooh angalia figganigga
Mia
 
Last edited by a moderator:
sio wenge by the tym zinduna ananihoji nilikuwa rwanda, nikaenda runzewe, chato, mwanza, tabora,then mwanza then arusha, dar...and now niko chugga...
Sasa hizo tour zako mbona zinaleta wenge Ciello ?
 
hahahahah wananikana aseeee

Am glad umefika dear, tena nakumbuka kipindi hicho tulikua tunabaki hapa CC hadi manane ya usiku tunachat, mimi wewe na Madame B...kama unakumbuka ile topic yetu ya mkeka hahahah "ukitaka unaukalia ukitqka unaulalia"
 
Jameni mbona miye nipo chugga??? Huku ndo kwangu kwingine nilikuwa tour tu....
Ciello my dear,
Niliogopa kukusemea sana.

Nakumbuka hata ulivyotua kule kwetu kanda ya ziwa, ila nilihofia kaconfidentiallity principle!
Nashukuru umeverify mwenyewe!

Haya waambie na hili, uliteuliwa au uilipendekezwa then ukapigiwa kura?
 
Last edited by a moderator:
Si hatukutambui meeeeen

Arusha kubwa kaka, sio Sakina, Kaloleni, Unga au Matejoo....kuna Ngulelo, Katiti kule juu Kiding'a, Akeri...nyie mnaokutana ni wa hapo mjini kati tu!
 
nakumbuka nilikuwa nimerelax kwa sana...nawashangaa wananikana...ila ndo tabia ya watu wa chugga kugoma na kuandamana ...nimewazowea....hhahahahah
Am glad umefika dear, tena nakumbuka kipindi hicho tulikua tunabaki hapa CC hadi manane ya usiku tunachat, mimi wewe na Madame B...kama unakumbuka ile topic yetu ya mkeka hahahah "ukitaka unaukalia ukitqka unaulalia"
 
Jameni mbona miye nipo chugga??? Huku ndo kwangu kwingine nilikuwa tour tu....

Umeona sasa chalii Erickb52 anaumbuka? Tatizo huyu chalii anafikiri kama mtu hayuko kwenye ile chama yao ya ndyof baridi basi mtu haezi kuwa mwana Apollo.
 
Last edited by a moderator:
Ciello my dear,
Niliogopa kukusemea sana.

Nakumbuka hata ulivyotua kule kwetu kanda ya ziwa, ila nilihofia kaconfidentiallity principle!
Nashukuru umeverify mwenyewe!

Haya waambie na hili, uliteuliwa au uilipendekezwa then ukapigiwa kura?
Usimjengee majibu Kipipi ngoja aseme mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom