Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,554
- 11,485
- Thread starter
- #21
Last edited by a moderator:
Hakuna hata moja Lily FlowerKuna thread ya mapendekezo iliyorushwa?
Kipipi hata kwenye ushiriki wa awali hawajawahi kuteuliwa tutawapigiaje kura?
Washiriki wote ni Dar ispokuwa Charminglady Mwanza na Arabera Tanga na Beibe nasty Mwanza
Nimekuwa nikifuatilia haya mashindano ya miss chit chat nashangaa sana sijawahi kuona mshiriki toka Arusha hata mara moja...imeniboa sana kila siku Dar au kwa kuwa mwendeshaji ni wa Dar?
Au Arusha mnaona sisi sio wa Chit-Chat????
Hata km hatuna wadada kwanini hao wachache wasipewe nafasi hata moja?
Im so bored lazma uandaaji uwe fair bhana.
Copy kwa Arusha Wing
Lily Flower Filipo marejesho sweetlady PakaJimmy Arushaone LiverpoolFC Blaki Womani Preta Mamzalendo Mungi Mzee wa Rula Tonykp IGWE Loner Mr Rocky Kabakabana
Lakini si huwa wanashiriki?nyie arusha hamna miss. nani wewe unaye muona ni miss hapo arusha? mabonge!. sisi twataka miss. siku tukihitaji miss bantu tutakuja. hata rundenga wa miss tanzania anajua, ushasikia miss tanzania kutoka arusha?. Poleni sana but sio makosa yetu kama vipi Arabela. mia
Kipipi hata kwenye ushiriki wa awali hawajawahi kuteuliwa tutawapigiaje kura?
Tatizo warembo wa Arusha wote wana vitambi utadhani wacheza miereka bana....................... mfano sweetlady yaani alivyo Bonge kama Umaga afu mnataka awe Miss Chitchat
Sasa nawee chaliangu, wakati wa kuwapata washindani mchakato si ulikuwa wazi kwa yeyote kumnominate mrembo anayeona anadeserve. Sasa kama machaliiangu hamkutaka kuwanominate arachuga lediz unamlaumu Lundenga huoni kuwa hii ni zambi?
Acha zako chalii angu.
Sasa nawee chaliangu, wakati wa kuwapata washindani mchakato si ulikuwa wazi kwa yeyote kumnominate mrembo anayeona anadeserve. Sasa kama machaliiangu hamkutaka kuwanominate arachuga lediz unamlaumu Lundenga huoni kuwa hii ni zambi?
Acha zako chalii angu.
sijasema kazaliwa wapi,
nakumbuka aliwahi sema kuwa anaishi arusha mpaka the time anaukwaa umiss.
Hapana sio wa JF Arusha HQ.
Kuna thread ya mapendekezo iliyorushwa?