katika maisha yangu sipendi kupoteza uaminifu wangu mbele za watu walioniamini nakunithamini labda mimi naishi SAYARI YA MARS lakini sidhani kama kun kitu kisichoelezeka mbele ya binadamu nawiwa kusema wewe ni mnafiki mkubwa ni bora anayemwambia mtu ukweli kuliko anayemng'onga pembeni .anyway kila mtu ana jinsi anavyochukulia mambo yake,mbona hakuna kilichotekelezeka kama sio gambling ile.usiteteee ujinga sio asili ya kiume hiyo
ill be the last one to judge the matter,sorry usinitafute ugomvi kanolee mdomo wako pengine:iamwithstupid:Ujinga upi Nivea?
Nini usicho elewa unapo ambiwa mtu yupo kwenye matatizo makubwa na "amefika mwisho kabisa"?
Mnataka hadi angekuja hapa na kusema tatizo langu ni A,B,C?
Hujui kuwa kuna matatizo mengine ni private,na hayana jinsi ya kujielezea kwa wengine?
Kwanini mnakosa utu kwa kiwango hicho?
sorry usinitafute ugomvi kanolee mdomo wako pengine:iamwithstupid:
Nimekusoma charminglady ingawa presidaa wa CHIT CHAT hukunitaja!! (Sijapenda)
Kwa niaba ya familia yangu ya wake 9 (natafuta wa kumi though ) nakupongeza kwa dhati kabisa.
:argue::argue:
We una matatizo.
Hebu tutolee stress zako hapa. charminglady achana na watu wa dizain hii. Ruhazwe JR ndio alipaswa kuwa wa kwanza kutoa samahani sio hadi aitwe.
We vip acha kukurupuka.
Mkiambiwa ukweli lazima povu liwatoke... "Na hiyo kweli itawaweka huru!!"
Kaka ulipokuwa na jina lile jingine wanalokuita hapo nyumbani ulikuwa mpole na mwenye busara sana.
Sasa hivi naona veve iko badilika sana...naona veve naleta ile maneno ya kule kwa politiki.
Hapana mkuu watu8!!!
Penye ukweli,ni lazima tuuseme ili tupone!!
Si vizuri jambo likakukera mtu na kubaki nalo rohoni!!
Haya brodaaa...nadhani walengwa watakua wamekusikia na kukuelewa, hata Ruhazwe JR nimemuona hapa ndani na kaonesha ukomavu, sasa ni vyema suala hili tuliache tu lipite kwa heshima ya rafiki yetu Lundenga.
Hata wakitokea watu wameku-quote ni vyema ukapiga kimya, hakika haitakupunguzia chochote....
watu8 wewe unafurahia haya?binafsi yananitia kinyaa....mi nadhani ni wakati sahih kwa yule mwenye tatizo na mimi anijie directHaya brodaaa...nadhani walengwa watakua wamekusikia na kukuelewa, hata Ruhazwe JR nimemuona hapa ndani na kaonesha ukomavu, sasa ni vyema suala hili tuliache tu lipite kwa heshima ya rafiki yetu Lundenga.
Hata wakitokea watu wameku-quote ni vyema ukapiga kimya, hakika haitakupunguzia chochote....
charminglady,wewe ni mnafiki!
Umeanzisha uzi kushukuru wana CC,na unatambua fika kuwa ndugu Ruhazwe JR ndiye aliye ratibu mashindano haya,tena zawadi amezitoa katika kipindi kigumu kabisa!
Hata hivyo,hujaona sababu ya kumtaja kwenye uzi wako kumshukuru!
MUNGU hamfichi mnafiki.
Siku njema,ubarikiwe na Yesu.