Miss Chit Chat 2012


Received with thanks
 

daaaaaaaaaaaaaah bado nakumbukwaa hehehehehhehe
 

We una matatizo.
Hebu tutolee stress zako hapa. charminglady achana na watu wa dizain hii. Ruhazwe JR ndio alipaswa kuwa wa kwanza kutoa samahani sio hadi aitwe.
We vip acha kukurupuka.
 
Last edited by a moderator:
:iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid:
 
:argue::argue:
 
:iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid:

Mkiambiwa ukweli lazima povu liwatoke... "Na hiyo kweli itawaweka huru!!"
 
Mkiambiwa ukweli lazima povu liwatoke... "Na hiyo kweli itawaweka huru!!"
katika maisha yangu sipendi kupoteza uaminifu wangu mbele za watu walioniamini nakunithamini labda mimi naishi SAYARI YA MARS lakini sidhani kama kun kitu kisichoelezeka mbele ya binadamu nawiwa kusema wewe ni mnafiki mkubwa ni bora anayemwambia mtu ukweli kuliko anayemng'onga pembeni .anyway kila mtu ana jinsi anavyochukulia mambo yake,mbona hakuna kilichotekelezeka kama sio gambling ile.usiteteee ujinga sio asili ya kiume hiyo
 

Ujinga upi Nivea?
Nini usicho elewa unapo ambiwa mtu yupo kwenye matatizo makubwa na "amefika mwisho kabisa"?
Mnataka hadi angekuja hapa na kusema tatizo langu ni A,B,C?
Hujui kuwa kuna matatizo mengine ni private,na hayana jinsi ya kujielezea kwa wengine?
Kwanini mnakosa utu kwa kiwango hicho?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…