Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,554
- 2,717
Ni mawazo tu, misiba itayotokea miaka kumi ijayo haitakuwa huzuni itakuwa ni furaha. Miaka hiyo ndio watakufa hawa walipo sasa ambao hawana jema la kufanya tuhuzunike sisi Gen Z. Ile kauli ya "kufa ndio usemwe vizuri haitakuwepo" Gen Z watafurahi wakisema "bora amekufa alifanya kibaya hiki na kile" Misiba ya miaka hii tunapata huzuni kwa maana wazee wetu walijaribu haya kufanya wema kidogo, ila hawa wa sasa duuuuh 💔