Mishahara serikali mbona kimya mpaka leo?

Mishahara serikali mbona kimya mpaka leo?

Divide and rule at work...unadhani kila mtu yuko tayari kukwambia anafanya kazi wapi? Kaulize azina kama wamelipa mishahara watumishi wote



io ukweli mimi I mtumishi wa Serikali nimeipwa mshahara tangu tarehe 2/2/2013kama ni muugwana taja Taasii, Halmashauri ama wizara ambayohaijalia watuihi wak mpak eo au wewe mshahara wako wote umekatwa kwenye mikopo
 
Divide and rule at work...unadhani kila mtu yuko tayari kukwambia anafanya kazi wapi? Kaulize azina kama wamelipa mishahara watumishi wote

Mkuu,hawa wanaotetea wote ni magamba

Tuna haja gani ya kusema uongo hapa?!

Kibaya zaidi hata hawatoi taarifa tatizo ni nini hasa!
 
Jamani hii serikali imefilisika kiasi cha kushindwa kulipa mishahara ya watumishi wa umma?

Leo tarehe 30/12/2013 hakuna mishahara!

Nini kinaendekea katika hili?

Heh,hujui kwamba waziri mwenye dhamana na koba la fwedha anaumwa? Ukute hajamwachia mtu ufwunguo wa hazina

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
zote nzuri ila ukiwa crdb bank inachelewa kwasababu lazima ipite nmb kwanza! ila kuwa nmb kwa ajili ya hundi au TISS

Naanza kazi february serikalini so Hr wa hio taasisi kaniambia nifungue nmb ndo inawahi lakini kuna watu wa serikali wameniambia sasa hivi crdb ndo poa coz ndo wamechukua tenda ya mishahara. So am very confused.
 

Naanza kazi february serikalini so Hr wa hio taasisi kaniambia nifungue nmb ndo inawahi lakini kuna watu wa serikali wameniambia sasa hivi crdb ndo poa coz ndo wamechukua tenda ya mishahara. So am very confused.
 
Siku hizi ni CRDB ndio mishahara inakoanzia kusambazwa.Hata hivyo CRDB hawana urasimu wa kuchelewesha mishahara ya watu kama ilivyokuwa kwa NMB.

Naanza kazi february serikalini so Hr wa hio taasisi kaniambia nifungue nmb ndo inawahi lakini kuna watu wa serikali wameniambia sasa hivi crdb ndo poa coz ndo wamechukua tenda ya mishahara. So am very confused.
 
Huu ndio ukweli. Taasisi nyingi za umma bado hakijaeleweka.

Jana tu nilimuuliza mhasibu mkuu wa taasis yetuni lini mshahara utatoka. Akanijibu kwa utani kwamba nifanye maombi ili mambo yawe mazuri.

Krismasi njaa, mwaka mpya njaa. Mbona serikali hii majanga!
 
io ukweli mimi I
mtumishi wa Serikali nimeipwa mshahara tangu tarehe 2/2/2013kama ni
muugwana taja Taasii, Halmashauri ama wizara ambayohaijalia watuihi wak
mpak eo au wewe mshahara wako wote umekatwa kwenye mikopo

Wewe naye hujitambui! Umelipwa tar 2/2/2013 mshahara wa mwezi gani? Miezi mingne hujalipwa? Pole sana
 
Huu ndio ukweli. Taasisi nyingi za umma bado hakijaeleweka.

Jana tu nilimuuliza mhasibu mkuu wa taasis yetuni lini mshahara utatoka. Akanijibu kwa utani kwamba nifanye maombi ili mambo yawe mazuri.

Krismasi njaa, mwaka mpya njaa. Mbona serikali hii majanga!

Bora na wewe useme maana mimi naonekanan mzushi!

Ahsante mkuu!
 
Naanza kazi february serikalini so Hr wa hio taasisi kaniambia nifungue nmb ndo inawahi lakini kuna watu wa serikali wameniambia sasa hivi crdb ndo poa coz ndo wamechukua tenda ya mishahara. So am very confused.

Mkuu ukweli ni ndio huo.CRDB sasa hivi ndio wamachukua hiyo tender kwahiyo wanaopata mishahara mapema zaidi ni wale wa CRDB.

Usidanganywe,huu ndio ukweli.
 
Mshahara wa mwezi wa ngapi unaulizia?mbona wa mwezi wa 12 ulishatoka kitambo!
 
TRA bado wanaendelea kukusanya. Zilizopatikana haziyoshi. Wakamata magari ambayo hayajalipia road licence wapo kazini.
 
Mshahara wa mwezi wa ngapi unaulizia?mbona wa mwezi wa 12 ulishatoka kitambo!

We kama umelipwa shukuru,siku hizi tunalipwa kwa mafungu mafungu!

Mpaka jioni hii kwetu hamana aliepata mshahara!
 
Mi hadi leo tarehe 31.12.2013 sasa saa moja na dakika ishirini jioni mshahara wangu haujaingia! Naingia mwaka mpya kwa mkopo!
 
Back
Top Bottom