Mishahara serikali mbona kimya mpaka leo?

Mishahara serikali mbona kimya mpaka leo?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,639
Reaction score
164,779
Jamani hii serikali imefilisika kiasi cha kushindwa kulipa mishahara ya watumishi wa umma?

Leo tarehe 30/12/2013 hakuna mishahara!

Nini kinaendekea katika hili?
 
mkuu unaishi wapi, mishahara ishatoka tangia tarehe 24,December.
 
Mkuu,angalia inawezekana umepigwa SP a.k.a BAN.

Mkuu,taasisi yetu imesambaa nchi nzima na wote hatujalipwa.Hamna cha "stop payment" hapa ila serikali inaonekana kulipa mishahara kwa awamu.
 
Mkuu umejisahau sishangai koz wewe sio wa kwanza.kuna jamaa wangu wa karibu anasema mshahara hautoki tu?wakati umeshatoka kitambo.alipoambiwa na rafiki yake wa karbu kwamba hela zimeshatoka na wamekwenda kudroo 25.12.2013.jamaa ameshangaa na kutoa mimacho tu.chezea maandilizi ya x.mas weweeee!!now new year is coming.sasa majanga.
 
Sorry wadau nna swali. Eti ni benki gani nzuri kutumia kwa ajili ya kuchukulia mshahara ambapo pesa inawahi kuingia kwa watumishi wa umma kati ya NmB na Crdb ?
 
Watumishi wote wa serikali kuu chini ya katibu mkuu bado hadi leo.ila sector nyingine na halmashahri ndo tayar.
 
Back
Top Bottom