Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,639
- 164,779
Jamani hii serikali imefilisika kiasi cha kushindwa kulipa mishahara ya watumishi wa umma?
Leo tarehe 30/12/2013 hakuna mishahara!
Nini kinaendekea katika hili?
Leo tarehe 30/12/2013 hakuna mishahara!
Nini kinaendekea katika hili?