Mishahara serikali mbona kimya mpaka leo?

Jamani hii serikali imefilisika kiasi cha kushindwa kulipa mishahara ya watumishi wa umma?

Leo tarehe 30/12/2013 hakuna mishahara!

Nini kinaendekea katika hili?
​Kama hukujaza OPRAS huna mshahara mwezi huu!! Chezea Kombani weye!
 
Niulizie wapi wakati serikali imefilisika?!

Wewe sema halmashauri yenu ndo hailipa siyo wilaya zote bwana! Wengine tumeutumia tangu kwene sikukuu mpaka tumeanza kuangalia tarehe tena! Acha uzushi mkuu?
 
Back
Top Bottom