McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,388
- 7,551
Mmmmmh mm nshasahau maana toka tar 23 nimepewa pole sn mpwa embu ulizia vzr.
Mmmmmh mm nshasahau maana toka tar 23 nimepewa pole sn mpwa embu ulizia vzr.
Wewe ni mganga njaa hufanyika kazi Serikalini. Unayemdai amekudanganya mishahara imeshatoka.Niulizie wapi wakati serikali imefilisika?!
​Kama hukujaza OPRAS huna mshahara mwezi huu!! Chezea Kombani weye!Jamani hii serikali imefilisika kiasi cha kushindwa kulipa mishahara ya watumishi wa umma?
Leo tarehe 30/12/2013 hakuna mishahara!
Nini kinaendekea katika hili?
Sorry wadau nna swali. Eti ni benki gani nzuri kutumia kwa ajili ya kuchukulia mshahara ambapo pesa inawahi kuingia kwa watumishi wa umma kati ya NmB na Crdb ?
Mwenye shibe hamjui mwenye njaa!Wewe ni mganga njaa hufanyika kazi Serikalini. Unayemdai amekudanganya mishahara imeshatoka.
NMB bank
mh!mimi niko sekta ya afya hakijaeleweka...CRDB !
Kwani aliekutuma kuweka uchafu huu hapa hajakupa pesa?Mwenye shibe hamjui mwenye njaa!
Kwani aliekutuma kuweka uchafu huu hapa hajakupa pesa?
Kwani aliekutuma kuweka uchafu huu hapa hajakupa pesa?
Niulizie wapi wakati serikali imefilisika?!
Wewe ni mganga njaa hufanyika kazi Serikalini. Unayemdai amekudanganya mishahara imeshatoka.