Misamiati maarufu vyuo vikuu

exile- kuwaweka wezako nje ya room alafu wewe unapiga mzigo ndani na demu
dada zake ritz one- mabinti wenye ukimwi au tetesi but now tunawaita kina MWANAHASHA pale ndani ya UDOM

Hao dada zake riz1(Wanaosomeshwa na Mama salma kikwete) wapo kibao wamemwagwa mwalimu nyerere,udom na udsm,gusa tu upate minyenyere.
 
Wa mama salima- wasichana walembo wanaojigonga kwa wavulana hvyo kuhsiwa wana ngoma! SKINERNER'S Box- kuziba kitanda kwa shuka(mfano wa pazia) hukuwa ukiwa na dem/men ndan! Kuwapokea first yea-wenye sapu wanawahi kabla ya chuo kufunguliwa
 
VD = Viwango Duni = Wasichana wanafika Chuoni mapema kabla chuo hakijafunguliwa (Pre-entry) ili kusoma na kufanya mitihani ya A-level kwa lengo la kupata credits za kujiunga na kozi za sayansi!
 
OK!! Hii nzuri sana inasaidia kujua generations za wana JF wengi....

Sie kwetu Ukumbi wa kumfanyia mitihani uliitwa MV Bukoba!
 
1.'Boom'(fedha za kujikimu zitolewazo na Bodi ya Mikopo ya Elimu Ya Juu kwa wanachuo/wanafunzi)
2. 'Kuuza chai'(Kupiga stori hasa za kuchekesha/au sizizo za kweli)
3.'Nyanga'(Supplementary exams)
4.Kutiwa nyavuni/kukamatwa(kufeli somo hivyo kutakiwa kulirudia)
5.Nondo(vitu visivyoruhusiwa mtihanini lakini vinavyoingizwa kimagendo)
6.Exile(kumpisha mwanachumba mwenzako 'atumie' chumba pekeyake kwa muda fulani
7.'Kupiga Dash'(kushinda bila kula kwasababu ya kuishiwa fedha za kujikimu)
8.Kipanga(mwanafunzi anayejiweza darasani kwa kuelewa haraka au kutosahau haraka)
9.Kilaza(mwanafunzi ambaye uelewa wake ni wa mashaka/haelewi mapema na hachelewi kusahau)
10.'Ungwini'(Masomo ambayo hayaambatani na mahesabu)
11.'Kudesa'(kuiga kwa mwanafunzi mwingine au kuandika kitu kama kilivyokutwa mahali fulani au kwa mtu fulani)
12.'Desa'/'Madesa'(Kitabu/Vitabu visivyo rasmi

Wana JF tuendelee...

technical dash
 
mapanki....Fisrt year wa mwaka 2006/2007 udsm huo ndo wakati ule movie ya mfaransa kuhusu mapanki ilikua inaisumbua serikali
 
1.'Boom'(fedha za kujikimu zitolewazo na Bodi ya Mikopo ya Elimu Ya Juu kwa wanachuo/wanafunzi)
2. 'Kuuza chai'(Kupiga stori hasa za kuchekesha/au sizizo za kweli)
3.'Nyanga'(Supplementary exams)
4.Kutiwa nyavuni/kukamatwa(kufeli somo hivyo kutakiwa kulirudia)
5.Nondo(vitu visivyoruhusiwa mtihanini lakini vinavyoingizwa kimagendo)
6.Exile(kumpisha mwanachumba mwenzako 'atumie' chumba pekeyake kwa muda fulani
7.'Kupiga Dash'(kushinda bila kula kwasababu ya kuishiwa fedha za kujikimu)
8.Kipanga(mwanafunzi anayejiweza darasani kwa kuelewa haraka au kutosahau haraka)
9.Kilaza(mwanafunzi ambaye uelewa wake ni wa mashaka/haelewi mapema na hachelewi kusahau)
10.'Ungwini'(Masomo ambayo hayaambatani na mahesabu)
11.'Kudesa'(kuiga kwa mwanafunzi mwingine au kuandika kitu kama kilivyokutwa mahali fulani au kwa mtu fulani)
12.'Desa'/'Madesa'(Kitabu/Vitabu visivyo rasmi

Wana JF tuendelee...

Kwa walio soma Engineering UDSM enzi zile hasa ME-Mnakumbuka VISA kwa kila jtano na Ijumaa? Visa=Homework ya Michoro ya Engineering.
KCC =Mademu wa Mitaani
KUNJI=Mgomo
MZEE PUNCH=:hatari:
WAZEE WA MAKOTI=Engineering
 
Back
Top Bottom