Daffi Jr
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 3,825
- 906
Koz work(makalio)
Hahahaha!umenikumbusha udsm!tehetehe'dada ana course work'=kishuzi kikubwa
Koz work(makalio)
Wireless-desa liloloandikwa kwa kutumia kalamu isiyokuwa na wino kwenye plane, anayejua kilichoandikwa ni aliyeandika tu.
Hapo kwenye nyekundu, umechapia, Nyanga, ni masomo magumu, na ni neno ambalo lilikuwa linatumika sana kwa masomo ya engineering, hasa pale COET & ARDHI1.'Boom'(fedha za kujikimu zitolewazo na Bodi ya Mikopo ya Elimu Ya Juu kwa wanachuo/wanafunzi)
2. 'Kuuza chai'(Kupiga stori hasa za kuchekesha/au sizizo za kweli)
3.'Nyanga'(Supplementary exams)
4.Kutiwa nyavuni/kukamatwa(kufeli somo hivyo kutakiwa kulirudia)
5.Nondo(vitu visivyoruhusiwa mtihanini lakini vinavyoingizwa kimagendo)
6.Exile(kumpisha mwanachumba mwenzako 'atumie' chumba pekeyake kwa muda fulani
7.'Kupiga Dash'(kushinda bila kula kwasababu ya kuishiwa fedha za kujikimu)
8.Kipanga(mwanafunzi anayejiweza darasani kwa kuelewa haraka au kutosahau haraka)
9.Kilaza(mwanafunzi ambaye uelewa wake ni wa mashaka/haelewi mapema na hachelewi kusahau)
10.'Ungwini'(Masomo ambayo hayaambatani na mahesabu)
11.'Kudesa'(kuiga kwa mwanafunzi mwingine au kuandika kitu kama kilivyokutwa mahali fulani au kwa mtu fulani)
12.'Desa'/'Madesa'(Kitabu/Vitabu visivyo rasmi
Wana JF tuendelee...
kimfaacho mtu chake-kuingia na nondo kwenye mtihani
Face book - mbele ya ofisi ya dean of student pale RUCO IRINGA
kitu cha lampard..... unakula asubuhi mchana unapiga desh
Hii pia unaweza kuita technical desh, unakunywa chai kati ya saa tano na saa sita halafu chakula cha usiku kati ya saa 12 na saa moja.