Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,792
- 3,719
mapanki....Fisrt year wa mwaka 2006/2007 udsm huo ndo wakati ule movie ya mfaransa kuhusu mapanki ilikua inaisumbua serikali
yep mapank! Mapank na bodi ya mikopo! Mapank wenye dv2 boy wamenyimwa boom,mapank waliishi maisha ya shida sana kipindi hicho. Akikatiza fst year tu utasikia Pank hilo