Miraji Kikwete: Vurugu za Mbeya CHADEMA isizingiziwe

Miraji Kikwete: Vurugu za Mbeya CHADEMA isizingiziwe

wana JF hebu someni vizuri thread yangu maana naona kama mpo juujuu sana yaani mnarashia rashia
msije siku mkatusainia mikataba feki kwa kusoma mambo kwa harakaharaka bila kuelewa vyema
 
Kikwete anawatoto wengi sana, aliyesema ni nani au ni kamchondo, kale kadogest?

Hebu soma vizuri usiwe unakurupuka bila kusoma. Mbona jamaa kamtaja huyo dogo. Ni Miraji yule 'mtaalamu' wa kompyuta waliokuwa wanamtumia magmba wakati wa kampeni
 
wana JF hebu someni vizuri thread yangu maana naona kama mpo juujuu sana yaani mnarashia rashia
msije siku mkatusainia mikataba feki kwa kusoma mambo kwa harakaharaka bila kuelewa vyema

Hehe nilitaka kuwaambia hivo
 
Safi sanaa kijana (MIRAJI) kwa kuusema ukweli,kwani tumekuwa tukitupa lawama kwa chadema mda wote kwa kila jambo baya,

kama mtoto wa Raisi kauona ukweli basi hata Raisi nadhani atakuwa ameuona ukweli huo

Nakupongeza kwa kuwa mtu wa kwanza kwa upande wa ccm kuweza kusema na kuona ukweli huo
Chanzo?
 
Namfananisha Miraj na yule mtoto mkorofi wa Marehemu Gaddaf. Basi ni raha mbele ingawa haitusaidii chochote kwa sasa labda kwa baadae.
 
Hakuna kitu pale labda kaambiwa aseme hivyo kichwa hakina kitu kile kimejaa picha za akina da.......tu
...Huyu si ndiye yule hata babake alisema kuwa yeye anapenda kuwa DJ? Hana jipya huyo...
 

Chanzo ni Gazeti la Tanzania Daima,
Mtoto wa kikwete aitetea chadema
Asema ni chama cha watanzania kwa ajili ya watanzania.


Mtoto wa rais jk,Miraji jakaya kikwete,amekitetea chama cha CHADEMA akipinga chama hicho kuhusishwa na vurugu mbalimbali zinazotokea nchini,zikiwemo zile za wamachinga zilizotokea jijini mbeya hivi karibuni.

Mtoto huyo wa Rais alionyeshwa kukerwa na watu wenye mtazamo wa kukisingizia chama hicho kikuu cha upinzani kwa kuhusishwa na vurugu wakati hali halisi inaonyesha wazi kuwa wananchi wenyewe awalizishwi na hali ya mambo ilivyo na hivyo kuamua kuwa mstari wa mbele kupigania haki zao.

Miraji aliweka wazi msimamo wake huo kupitia mtandao wa facebook akichangia mjadala mzito uliohoji kwanini chadema kinazingiziwa kuanzisha vurugu.
 
Chanzo ni Gazeti la Tanzania Daima,
Mtoto wa kikwete aitetea chadema
Asema ni chama cha watanzania kwa ajili ya watanzania.


Mtoto wa rais jk,Miraji jakaya kikwete,amekitetea chama cha CHADEMA akipinga chama hicho kuhusishwa na vurugu mbalimbali zinazotokea nchini,zikiwemo zile za wamachinga zilizotokea jijini mbeya hivi karibuni.

Mtoto huyo wa Rais alionyeshwa kukerwa na watu wenye mtazamo wa kukisingizia chama hicho kikuu cha upinzani kwa kuhusishwa na vurugu wakati hali halisi inaonyesha wazi kuwa wananchi wenyewe awalizishwi na hali ya mambo ilivyo na hivyo kuamua kuwa mstari wa mbele kupigania haki zao.

Miraji aliweka wazi msimamo wake huo kupitia mtandao wa facebook akichangia mjadala mzito uliohoji kwanini chadema kinazingiziwa kuanzisha vurugu.

Nashukuru mkuu
maana baadhi ya vijana wamekuwa wavivu sana kutafuta habari,kusoma na kuzielewa habari husika
 
Mimi hata simfahamu.
Au ndio yule mwenyekiti wa Chipukizi.
 
Safi sanaa kijana (MIRAJI) kwa kuusema ukweli,kwani tumekuwa tukitupa lawama kwa chadema mda wote kwa kila jambo baya,

kama mtoto wa Raisi kauona ukweli basi hata Raisi nadhani atakuwa ameuona ukweli huo

Nakupongeza kwa kuwa mtu wa kwanza kwa upande wa ccm kuweza kusema na kuona ukweli huo

Hapo nime bold..umejuaje kuwa yeye ni mwana CCM alikuonyesha kadi yake ya unachama?
 
Chanzo ni Gazeti la Tanzania Daima,
Mtoto wa kikwete aitetea chadema
Asema ni chama cha watanzania kwa ajili ya watanzania.


Mtoto wa rais jk,Miraji jakaya kikwete,amekitetea chama cha CHADEMA akipinga chama hicho kuhusishwa na vurugu mbalimbali zinazotokea nchini,zikiwemo zile za wamachinga zilizotokea jijini mbeya hivi karibuni.

Mtoto huyo wa Rais alionyeshwa kukerwa na watu wenye mtazamo wa kukisingizia chama hicho kikuu cha upinzani kwa kuhusishwa na vurugu wakati hali halisi inaonyesha wazi kuwa wananchi wenyewe awalizishwi na hali ya mambo ilivyo na hivyo kuamua kuwa mstari wa mbele kupigania haki zao.

Miraji aliweka wazi msimamo wake huo kupitia mtandao wa facebook akichangia mjadala mzito uliohoji kwanini chadema kinazingiziwa kuanzisha vurugu.
Poa mkuu.
 
Huna lolote MNAFIKI MKUBWA ww pa1 na huyo BONGO LALA(Miraji),inaonekana unatoa ufagio ili upewe hata ukatibu wilaya ktk chama!
 
Riz1??????????

Mtoto wa raisi ni nani kwenye nchi hii? Hatumfahamu wala hatutasikiliza lolote kutoka kwake. Anasema CDM sio wa kusingiziwa mbona hasemi ni nani wa kulaumiwa?


Waende wakauze sura huko na baba yao.
 
Huyu dogo nae Katpokea wapi anaanza na cheap popularity, anatafuta msamaha wa wananchi baba yake akifukuzwa ikulu, hatuta kubali lazima wote supu ya magereza. Huyu dogo ndo anayemiliki taasis moja inaitwa VIJANA ZAIDI ilikuwa maarufu sana wakati wa kampeni mwakajana sijui bado ipo au ndo imeshakufa kampuni za msimu
 
Kama ni kweli usikute Dingi kamtuma si unajua wana bifu la mbali na yule RC
 
Back
Top Bottom