Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Wewe unaona Hali ikoje? Mataga na wazee wa ligacy mna ujinga Sana vichwani..Ndio inavyotakiwa. Nchi iwe mbele. Najiuliza kama hali halisi iko hivyo
Juzi Waziri kazindua ujenzi wa uwanja wa Dom,angekuwa yule jamaa wa kujimwambafy,nchi yote ingehamia pale , makelele ya kujigamba meeengi utafikiri ni uvumbuzi wa kwanza duniani.
Ushamba ni mzigo mzito