Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,272
Unafanya kazi stationery?! Umejitaidi, lakini work on your English, ni cha Kiswahili!
UPUUZI PELEKA HUKO.Hizi taasisi zote za Africa zna lindana.TUMECHOKA ccm Mmetufikisha PABAYA.RAAUNDI Hii lazima mkatafute kazi nyingine sio kula tu kodi za waTz wachapa Kazi.#ccmMUSTFALL
Source kwenye website yao ya WIW
Nimeishia hapo hapo kuiso a hii barua.”Eti your progress do not make the west happy”..... Mwambie mtunzi akajifunze kingereza aachane na hicho cha class two au kama vp amuone Rasi Simba anatoa mafunzo ya English course.. Stoopid
Wataandika nyingi tuBarua mmeandika wenyewe kama kawaida yenu.
Barua Haina contact address😳😳😳
wanaangaika sana MATAGABarua mmeandika wenyewe kama kawaida yenu.
Barua ya Bashiru hii. Huoni hiki kizungu ni cha kibongo?Barua mmeandika wenyewe kama kawaida yenu.
Kumbe na nyinyi mnawategemea mabeberu kuwapa taarifa ??
Ku google huo utopolo ni kuonyesha una chembembe za kuuamini! Ukiitazama tu hiyo barua kama ni mzoefu wa haya mambo unabaini haraka kuwa ni ya kubumba na hutapoteza tena muda wa kuhangaika nayo!Nimegoogle huyo tunae ambiwa kaandika barua simpati, nimegoogle hiyo WIW nayo siipati: Mawili sijui kutumia hii technology au more likely tunalishwa matango pori-washenzi kazini.
Yaani unataka tuamini risasi 30 kajifanyiza ili apate huruma? Ushindwe na ulegee.