Mipaka ya Chama Tawala na Ukomo wake, Vipi kuhusu kambi kuu ya Upinzani Bungeni

Unfortunately Rais anaruhusiwa kuvunja bunge na wakarudi kwenye uchaguzi. Since hakuna mbunge anaweza risk hilo ina maana watahamia CCM mara baada ya tu ya uchaguzi.

Hata Kenya tuliona hili, Odinga alikua na wabunge wengi ila Ruto alishinda urais. Ikabidi tu wabunge wengi wa odinga waunge mkono juhudi otherwise wangekosa miradi ya kiserikali n.k

Hivyo tunahitimisha kwamba anayeshinda Urais ndio atahodhi bunge hivyo hata upinzani ukishinda wabunge wengi bado hawawezi mchallenge Rais sababu ya katiba iliyompa umungu mtu Rais wetu
Nilikuwa nimeki OverLook hicho kipengele ni baada ya kukisoma tena Ni naomba kuthibitisha kuwa..

KWA KATIBA HII HAKUNA CHAMA CHA UPINZANI CHOCHOTE KITAKACHOCHUKUA NCHI HATA KAMA WAKIWEPO WOTE BUNGENI
Screenshot_20240221_164458_Adobe Acrobat.jpg

Screenshot_20240221_164506_Adobe Acrobat.jpg
 
Kwani Rais ndo anaandaa bajeti?
Bajeti inaandaliwa na wizara kutokea majumuishi ya chini ya kusector
Ni kweli Bajeti zinaandaliwa na wizara husika lakini inapofikia hatua ya kupelekwa bungeni ni Rais anapeleka. Kwa hiyo anayehojiwa na Bunge ni Rais na Bunge likiikataa bajeti ni kwamba limemkatalia Rais na kuonyesha kutokuwa na imani naye. Hivyo Rais analazimika kuvunja Bunge na si hiari.
 
Ni kweli Bajeti zinaandaliwa na wizara husika lakini inapofikia hatua ya kupelekwa bungeni ni Rais anapeleka. Kwa hiyo anayehojiwa na Bunge ni Rais na Bunge likiikataa bajeti ni kwamba limemkatalia Rais na kuonyesha kutokuwa na imani naye. Hivyo Rais analazimika kuvunja Bunge na si hiari.
Soma post #41
 
Mkuu Sikuwa na maanishi Hatari unayoisema wewe ya Vita au yoyote ile iliyofikiriwa..

Hata Hivyo Serkali mseto inakuwa Nzuri pale ambapo Naibu Rais/Makamu wa Rais ndiyo anakuwa Mpinzani ila waziri mkuu akiwa mpinzani Huwa ni kama kuna ugumu sana wa rais kutenda baadhi ya mambo
Ugumu upi? Katika hali kama hiyo ni lazima Rais atambue kuwa raia hawana imani na chama chake kwa hiyo hawezi kutawala kama vile peke yake ndie aliyepewa ridhaa. Lakini kitakachotokea ni kuwa Rais atawahonga uwaziri wabunge wa chama kilichoshinda kwa sababu ingawa ni chama tawala lakini hakitakuwa na nafasi zenye maslahi za kuwahongq wabunge wake nje ya uenyekiti wa kamati. Ndani ya mwezi Waziri Mkuu atajikuta hana watu na mzani umeegemea kwa chama cha Rais!

Amandla...
 
Ugumu upi? Katika hali kama hiyo ni lazima Rais atambue kuwa raia hawana imani na chama chake kwa hiyo hawezi kutawala kama vile peke yake ndie aliyepewa ridhaa. Lakini kitakachotokea ni kuwa Rais atawahonga uwaziri wabunge wa chama kilichoshinda kwa sababu ingawa ni chama tawala lakini hakitakuwa na nafasi zenye maslahi za kuwahongq wabunge wake nje ya uenyekiti wa kamati. Ndani ya mwezi Waziri Mkuu atajikuta hana watu na mzani umeegemea kwa chama cha Rais!

Amandla...
Soma Post No 41 atavunja Bunge lote na Utaitishwa uchaguzi mkuu hapo ndo tunaona Ubovu wa katiba
 
Jambo Zuri Ila , kama ni mtumishi wa serikali Yan (mtumwa) , akaenda upande wa chadema itakula kwako.

Jk alibadilisha Sheria ya Kwamba mtumishi wa serikali AU (mtumwa) hapasi kushiriki siasa.

Jk alirudusha Sheria ya ukoloni ya m UK , ya Kwamba ukiwa mtumishi wa ukoloni hupasi kuwafanya siasa.

Tulivyo upata uhuru nusu, Sheria ikabadilishwa MTU yoyete ana haki ya kushiriki siasa Kwa kufuata Sheria za nchi.

CCM ya jk wakabadilisha wakarudisha ile ya mkoloni, ili kuondoa ushindani kwenye siasa, kumbuka kipindi hicho wasomi wengi walingia kwenye siasa hasa vyama vya upinzani, nakuipa challenges CCM,

Kilichotokea ni Historia , kila MTU Anaye jihusisha na siasa inabidi awe chawa
Wala sijakuelewa..
 
Hili swali hata mimi naomba kuuliza japo nimelikuta mahali.

Naomba kuuliza swali? Kuwa chama tawala kunatokana na kushikilia mhilili wa Serikali, mhimili wa Bunge au vyote viwili?

Mfano;
Chama cha Mapinduzi CCM kikishinda kura za urais na ndio kikaunda serikali..

ila Bungeni CHADEMA ndio ikawa na idadi kubwa zaidi ya wabunge tuchukulie Mfano Chadema ikawa na Wabunge 198 ACT 62 na vyama vingine 20 na Chama cha mapinduzi wakawa ina idadi ya wabunge 110..

kwa maana hiyo Chama cha CCM kitaunda kambi rasmi ya upinzani bungeni?
Au CHADEMA?

Hapo chama tawala ni Chama CHA MAPINDUZI au CHADEMA au CHADEMA na CCM kwa pamoja?

Cred..Thomas Kibwana..
Chama tawala ni kile kilicho shinda urais
 
Kiongozi uje utoe neno hapa tafadhali. Nataka kujifunza zaidi kuhusu hili.
Mdakuzi
Inaenda kuundwa serikali ya mseto, maana chama chenye Wabunge wengi kitaweza kuwa na Spika wa Bunge na Waziri Mkuu.

So ili Rais aweze kufanya kazi ni lazima aungane na chama chenye Wabunge wengi ili serikali iundwe na kufanya wajibu wake.

Ova
 
Back
Top Bottom