Vyama vya upinzani kemeaneni kuhusu suala hili kabla ya Uchanguzi 2024-2025

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,315
12,614
Wabunge na madiwani wa Kambi ya upinzani wakichaguliwa kwa taabu kubwa kisha kuhamia chama tawala wakiwa wabunge na madiwani hivyohovyo na kusababisha kufanyika kwa uchaguzi mdogo kunawauma sana na kuwakatisha tamaa wafuasi wenu waliowapigia kura, kuzihesabu na kuzilinda..

Huku ni sawa na kuwafanya mazuzu wapiga kura wenu. Kwakuwa haifahamiki ni mgombea yupi ataenda kuunga juhudi baada ya kuchaguliwa inaathili wagombea wote wa upinzani, wapiga kura hawana imani na wagombea wa upinzani, maana hawaamini kama wanaenda kuuunga juhudi burebure TU bila kupewa maokoto kwa maslahi yao.

Lazima hiyo iwe ni agenda kwenye vikao vyenu vya Siri na vya bayana. Msululu wa wagombea waliorudi CCM ni ndefu sana kiasi cha kuathili Imani ya wananchi kwa vyama vya upinzani.
 
Wagombea watakaoshinda wapewe angalizo kwamba wakithubutu kuunga juhudi wajiandae kuvuna dhahama kutoka kwa wapiga kura wao kwa usaliti wao.
 
Vyama vya upinzani havina akili ndiyo maana wameshindwa kuunda kanuni bora zenye vispo zenye kuzuia mambo kama hayo kuna vitu walitakiwa kuviandika ili kuzuia huo mwanza hata mishahara ya wabunge wao wangeitungia sheria madhubuti nusu ya pesa iwe mali ya chama ili kuepuka wabunge wao kuwa watu wa anasa wasio jali wananchi kwa kulevywa na fedha na madaraka.

Sheria na viapo vya vyama vya upinzani vilitakiwa kuwa hivi kuwa mtu yoyote kugombea ndani ya vyama vyao uongozi kama ubunge au udiwani na kushinda basi asiruhusiwe kugombea kitu chochote cha siasa ikiwa atajitoa ndani ya chama chao hadi ipite miaka 3 toka kujitoa na icho kiapo wakiweke kimahakama kabisa hivyo mgombea angekuwa kajifunga mwenyewe pia kwenye mishahara ya wabunge wangeweza kudhibiti mambo kama ya kina halima mdee pawe na uwezo wa chama kuzuia mbunge kupokea mshahara.
 
Vyama vya upinzani havina akili ndiyo maana wameshindwa kuunda kanuni bora zenye vispo zenye kuzuia mambo kama hayo kuna vitu walitakiwa kuviandika ili kuzuia huo mwanza hata mishahara ya wabunge wao wangeitungia sheria madhubuti nusu ya pesa iwe mali ya chama ili kuepuka wabunge wao kuwa watu wa anasa wasio jali wananchi kwa kulevywa na fedha na madaraka ...sheria na viapo vya vyama vya upinzani vilitakiwa kuwa hivi kuwa mtu yoyote kugombea ndani ya vyama vyao uongozi kama ubunge au udiwani na kushinda basi asiruhusiwe kugombea kitu chochote cha siasa ikiwa atajitoa ndani ya chama chao hadi ipite miaka 3 toka kujitoa na icho kiapo wakiweke kimahakama kabisa hivyo mgombea angekuwa kajifunga mwenyewe pia kwenye mishahara ya wabunge wangeweza kudhibiti mambo kama ya kina halima mdee pawe na uwezo wa chama kuzuia mbunge kupokea mshahara .
Hivyo viapo havitafanya kazi kama mgombea atahamia Chama tawala au Chama kingine. Wabunge hawa wa upinzani ni kama TU tunawapatia ajira lakini hawakerwi na hali ya mambo. Kelele wanazopiga ni kwaajili ya kuongeza dau lao kwa wanunuzi. Wabunge hawa hawatumii vipato vyao kukikenga Chama hadi matawini bali maisha Yao binafsi kama wabunge wengine tu. Wana mamiradi Yao binafsi na magari makubwa. Wanapiga kelele kwamba serikali inatmia magari ya kifahari lakini hata wao wanayo.
 
Hivyo viapo havitafanya kazi kama mgombea atahamia Chama tawala au Chama kingine. Wabunge hawa wa upinzani ni kama TU tunawapatia ajira lakini hawakerwi na hali ya mambo. Kelele wanazopiga ni kwaajili ya kuongeza dau lao kwa wanunuzi. Wabunge hawa hawatumii vipato vyao kukikenga Chama hadi matawini bali maisha Yao binafsi kama wabunge wengine tu. Wana mamiradi Yao binafsi na magari makubwa. Wanapiga kelele kwamba serikali inatmia magari ya kifahari lakini hata wao wanayo.
Kuna namna ya kuvifanya vifanye kazi ...ndani ya kiapo kunakuwa na pesa
 
Leta mgombea Binafsi..., haya mambo ya genge hili au lile mwisho wa siku wote ni kutetea maslahi ya Chama kwanza na sio Mpiga Kura
 
Leta mgombea Binafsi..., haya mambo ya genge hili au lile mwisho wa siku wote ni kutetea maslahi ya Chama kwanza na sio Mpiga Kura
Vyama hivi havina tofauti na saccos. Wananchi wanapambana na Chama tawala kuwatafutia kazi wahuni. Mtu kama Nasari anatusikitisha sana sisi wapinzani wapiga kura,
 
Wabunge na madiwani wa Kambi ya upinzani wakichaguliwa kwa taabu kubwa kisha kuhamia chama tawala wakiwa wabunge na madiwani hivyohovyo na kusababisha kufanyika kwa uchaguzi mdogo kunawauma sana na kuwakatisha tamaa wafuasi wenu waliowapigia kura, kuzihesabu na kuzilinda..

Huku ni sawa na kuwafanya mazuzu wapiga kura wenu. Kwakuwa haifahamiki ni mgombea yupi ataenda kuunga juhudi baada ya kuchaguliwa inaathili wagombea wote wa upinzani, wapiga kura hawana imani na wagombea wa upinzani, maana hawaamini kama wanaenda kuuunga juhudi burebure TU bila kupewa maokoto kwa maslahi yao.

Lazima hiyo iwe ni agenda kwenye vikao vyenu vya Siri na vya bayana. Msululu wa wagombea waliorudi CCM ni ndefu sana kiasi cha kuathili Imani ya wananchi kwa vyama vya upinzani.
Mkuu kavulata , naunga mkono hoja, hili mimi niliizungumza sana humu kwanza kwa kuliita huu ni ujinga, Kinondoni na Siha, tusikubali ujinga huu! hata Mwl. Nyerere alikataa ujinga wa CCM, 1995 akachagua upinzani!

Pili nikawashauri Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu!

Na tatu nikavishauri vyama CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za msingi. Adui wenu mkuu sio CCM! Lazima mbadilike

na CHADEMA ni sikio la kufa? Iambiwe vipi ili isikie? Masha ana hoja za msingi, zisikilizwe, zizingatiwe, zisipuuzwe!

Na mwisho nikatangaza vita kuhusu kudhaminiwa na chama cha siasa kugombea uongozi
- Sheria ya Uchaguzi ni mbovu! Kuendelea kuitumia sio Ujinga? Kuwabebesha masikini gharama za Uchaguzi sio Dhambi?


P
 
Wabunge na madiwani wa Kambi ya upinzani wakichaguliwa kwa taabu kubwa kisha kuhamia chama tawala wakiwa wabunge na madiwani hivyohovyo na kusababisha kufanyika kwa uchaguzi mdogo kunawauma sana na kuwakatisha tamaa wafuasi wenu waliowapigia kura, kuzihesabu na kuzilinda..

Huku ni sawa na kuwafanya mazuzu wapiga kura wenu. Kwakuwa haifahamiki ni mgombea yupi ataenda kuunga juhudi baada ya kuchaguliwa inaathili wagombea wote wa upinzani, wapiga kura hawana imani na wagombea wa upinzani, maana hawaamini kama wanaenda kuuunga juhudi burebure TU bila kupewa maokoto kwa maslahi yao.

Lazima hiyo iwe ni agenda kwenye vikao vyenu vya Siri na vya bayana. Msululu wa wagombea waliorudi CCM ni ndefu sana kiasi cha kuathili Imani ya wananchi kwa vyama vya upinzani.
Mwasisi wa huu ujinga yuko kuzimu anaokwa kama ndafu
 
Upinzani wako tayari kumpanda shetani Lusfa mgongoni ili kuwapeleka Ikulu, kuwapatia ubunge na udiwani (ajira). Tumeona mara kadhaa wakipanda kwwnye migondo ya wana-CCM kindaki ndaki kama Lyatonga, Sumaye, Lowasa, Slaa, Lamwai, Marando, nk ili wapate ajira ya Ikulu au ubunge au ruzuku.

Wanatumia nguvu na jasho la wananchi masikini na wanaotaka mabadiliko kama mtaji wao. Mtu ni mbunge tayari lakini anahama Chama bila kujali waliomchagua watajisikia vipi, na serikali itapoteza shilingi ngapi kwa kurudia chaguzi. Wanachojali wao ni watapata hela ngapi na kitu gani kwa wao kuhama Chama. Vyama vya upinzani vimejaa wahuni, haviaminiki na hata wagombea hawana hadhi ya kuaminiwa.

Vyama hivi lazima vijisafishe kwanza.
 
Hakuna upinzani wa kweli hakuna siasa za kweli.....ni watu tu wenye njaa wanaotaka kushiba kupitia wananchi
Ni watu wanaotumia fursa vizuri kupata pesa, hawana tofauti na wachungaji wanaotumia fursa ya umaskini na magonjwa ya watu kuanzisha makanisa kujioatia fedha.

Ukivaa miwani mbonyeo utagundua kuwa hakuna upinzani wa kweli kabisa. Upinzani wa kweli hauzi kusimamisha mgombea ambae alikuwa waziri Mkuu kwenye Chama tawala. Waziri Mkuu ni kada kwelikweli na ana ulinzi wa serikali na mshahara wa serikali mpaka kufa, na pengine ni ofisa wa usalama.

Upinzani lazima uandae vijana tangu wakiwa wadogo (vitalu) ili kutumikia vyama vya upinzani badala ya kuzoa watu wanaofukuzana na kunyimana nafasi CCM. Mfano, Slaa ni CCM kindaki ndaki kaja chadema kimkakati TU.
 
Wabunge na madiwani wa Kambi ya upinzani wakichaguliwa kwa taabu kubwa kisha kuhamia chama tawala wakiwa wabunge na madiwani hivyohovyo na kusababisha kufanyika kwa uchaguzi mdogo kunawauma sana na kuwakatisha tamaa wafuasi wenu waliowapigia kura, kuzihesabu na kuzilinda..

Huku ni sawa na kuwafanya mazuzu wapiga kura wenu. Kwakuwa haifahamiki ni mgombea yupi ataenda kuunga juhudi baada ya kuchaguliwa inaathili wagombea wote wa upinzani, wapiga kura hawana imani na wagombea wa upinzani, maana hawaamini kama wanaenda kuuunga juhudi burebure TU bila kupewa maokoto kwa maslahi yao.

Lazima hiyo iwe ni agenda kwenye vikao vyenu vya Siri na vya bayana. Msululu wa wagombea waliorudi CCM ni ndefu sana kiasi cha kuathili Imani ya wananchi kwa vyama vya upinzani.
Hiyo awamu imepita
 
Hiyo awamu imepita
Hiyo ni falsafa ya upinzani wetu hadi wale wote waliowwhi kuwa wanachama wa umoja wa vijana wa CCM na makada wa CCM watakapokwisha ndani ya upinzani, hadi Sasa hakuna upinzani kabisaa. Watu wanazo kadi mbili mifukoni.
 
Hakuna upinzani wa kweli hakuna siasa za kweli.....ni watu tu wenye njaa wanaotaka kushiba kupitia wananchi
wote wanaopiga kelele sana wanazo kadi za kijani pia mifukoni mwao (uraia pacha), likibuma huku wanakimbilia kule na likibuma kule wanakimbilia huku; maokoto.
 
Back
Top Bottom