Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Kwenye msiba wa familia moja iliojikusanya pale Dar na kwenda Hedaru kwa mazishi, palikuwa na watu kibao tangu Alhamisi ya April 17 2008 mpaka mazikoni.
Kama kawaida ya jamii zetu, ndugu jamaa na marafiki hujumuika kwenye shughuli.
Basi wakati wa nasaha, pakatolewa ukumbi na huyu jamaa baada ya kutambulishwa na kupewa fursa ya kuzungumza kutokana na umashuhuri wake akasema
"Bwana Yesu asifiwe.....Mimi ni ...mimi si Fisadi au Mwizi...kama....." EL
Kama kawaida ya jamii zetu, ndugu jamaa na marafiki hujumuika kwenye shughuli.
Basi wakati wa nasaha, pakatolewa ukumbi na huyu jamaa baada ya kutambulishwa na kupewa fursa ya kuzungumza kutokana na umashuhuri wake akasema
"Bwana Yesu asifiwe.....Mimi ni ...mimi si Fisadi au Mwizi...kama....." EL