Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,290
- 4,657
baada ya kukaa na kumtafakali Lowassa nimekuja kukumbuka kuna kamba aliyotaka kutufunga watanzania kipindi fulani yaani kama ingekubali basi watanzania woote tungekuwa wodi ya vichaa bila kupenda.
huyu jamaa alikwenda sijui nchi gani ya asia kisha alivyorudi akaja kutuonyesha picha eti huko alikokuwa kunapatikana "mvua za kupanda" so kama itawezekana tuingie mkataba na jamaa walete mambo yao duuuh.
huyu jamaa alikwenda sijui nchi gani ya asia kisha alivyorudi akaja kutuonyesha picha eti huko alikokuwa kunapatikana "mvua za kupanda" so kama itawezekana tuingie mkataba na jamaa walete mambo yao duuuh.