"Mimi si Fisadi....."

baada ya kukaa na kumtafakali Lowassa nimekuja kukumbuka kuna kamba aliyotaka kutufunga watanzania kipindi fulani yaani kama ingekubali basi watanzania woote tungekuwa wodi ya vichaa bila kupenda.

huyu jamaa alikwenda sijui nchi gani ya asia kisha alivyorudi akaja kutuonyesha picha eti huko alikokuwa kunapatikana "mvua za kupanda" so kama itawezekana tuingie mkataba na jamaa walete mambo yao duuuh.
 
mfa maji huyo,,,amenunua waandishi wamsafishe na wao wameshindwa,,,sasa naona ameamua kujisafisha yeye mwenyewe kupitia vikundi vya watu....Ipo siku tutasikia ameenda hata kwenye Kitchen Party nyie ngojeni tu..damu ya watu iko nyuma yake hadi mauti yamkute...
 
Nimeisikia habari hii; alienda hapo msibani na mchungaji akamtambua na kumpa ukumbi aseme maneno ya rambirambi na Lowassa akihisi anaangaliwa kwa "jicho baya" akaanza kubreak "the ice" kwa kusema kinyume na watu wengi wanavyosikia kuwa yeye ni fisadi kwa kweli yeye si fisadi ni mkristu tu, na akachomekea "Bwana asifiwe sana"... Sina uhakika kama alitoa pole yenyewe...

This man must have gone crazy, msibani unajitetea, majukwa ya kuongelea hana, ngoja haonje joto ya jiwe hapo bado hajashitakiwa akishitakiwa ndo atatembea uchi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom