Mimi nina masters nataka kuoa Darasa la saba

Mimi nina masters nataka kuoa Darasa la saba

Vipi kwani wewe tayari? Mi naona sifa zote unazo sema jamaa anazunguka kwingine tu! kipusy, Mamndenyi umeshaongea naye!? Koh koh koh koh!!

kwani yupo singo? ila naogopa nae atangonoka na bosi wake afisa elimu taaluma wa jiji.... maana huko maofisini ni sheeedaahhh. tuoe wapi sasa? ila huyo wangu wa class seven ni swala tano.
 
Last edited by a moderator:
Huyo wa la saba akikutana na mashangingi ya jiji utalia. Waendesha bodaboda wafyatua tofali wauza bucha wrote wake. Angalia tu mwanamke msomi anayejitambua.

dada mie ni mtumishi wa serikali. wasomi tunao humu maofisini wanagongwa sana na office met wao pia mabosi zao.
 
Oa tu mbaba. Kwa kuwa wataka kuboresha, nataka nikujulishe kwamba huyo wa sasa kwako ni poa b'coz machachari ya uyo educated umeyeona. Wada educated wanapoanza kuchomoza ktk kipato, wanang'ara, afu wanataka kung'ara zaidi...sio vibaya, mbaya kulegeza kwa bawabu beberu ambapo wana amini ni njia ya kutokea. Hakushirikish mume coz ushiriki wako utamzui asilegeze na yy shida yake ni kupa anachotaka tu...ndo tabu inapokuja...kichocheo Sura yake na shape.

Cku zote ni rrraaahisi sana kumuongoza mjinga kuliko mwerevu....na ndio maana hata ktk nchi yetu werevu ni wapiga kelele tu na wajinga ndo wanaongoza nchi...matokeo ndo hayo hwataki kustaafu, na kila mpango hautekelezeki.

UKIMUOA huyo aliye chini kielemu...mpige msasa wa english coz tu...mambo shwari. Muongoze, mpe maelekezo/ makatazo atatii bila hiyana. Atakuwa mnyenyekevu daima na milele. KUWA NA WEW NDO ATAWARINGIA WADADA wenzake ambao wamesoma but hawaolewi. Kuolewa HESHIMA.
 
kwani yupo singo? ila naogopa nae atangonoka na bosi wake afisa elimu taaluma wa jiji.... maana huko maofisini ni sheeedaahhh. tuoe wapi sasa? ila huyo wangu wa class seven ni swala tano.
Yupo single kuna kipindi alikuwa anatafuta, we ongea kiutu uzima tu yawezekana akawa bado hajapata!
Lakini mkuu swala la umalaya halijalishi elimu, cha msingi tafuta mwanamke atakayekufaa mwenye tabia njema, swala la elimu lisiwe guideline yako ya kukutambulisha tabia ya mtu! Good luck my friend!
 
Jamani wanajamvi naombeni Mawazo yenu. Kuhusiana na kichwa cha habari hapo juu, mie ni Muislam, nilioa Mwalimu wa Primary nikaachana nae baada ya kubaini anafanya Ngono na afisa Taaluma wa Jiji.
Nimepata binti aliyeishia Darasa la saba. Nipeni uzoefu haya Maisha yatakuaje kwa gepu hilo kubwa la elimu.

Nawasilisha.


Habari,pole kwa mke wa awali,sina experience hiyo lakini nijuavyo ndoa ni kujitambua na utayari wa jambo lenyewe na sio elimu,hakuna chuo cha ndoa ila kuna cha mambo ya madawa,sheria,biashara n.k. Okay unaweza ukawa unampita katika kufikiri kwa baadhi ya mambo ya kimaisha kwakuwa unaweza ukawa na mawazo ya kina ila katika mambo ya kifamilia sithani kama inaweza ikawa ni tatizo. Mababu zetu hawakusoma and still they were the best! Muombe Mungu akupe mke and that's it. All the best rafiki. I'm also engaged to a girl ambae nimemzidi abt 9 yrs ila ndio amekuwa mshauri wangu ktk mambo mengi na ana hekima sana.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Oa mkuu, huyo ndo atakuwa somo kwa wadada wasomi wasioishi kwa muongozo wa Mwenyezi Mungu.

HESHIMA kwenye ndoa ndo inayotawala. Mtu unamegwa hadi mumeo anajua....huko ni kupindukia kwa dharau. Japo waswahili wanasema kichapiwa ni siri ya ndani....angalau. ILa za mwizi ni moja tu na sio arobaini. Ukibainika mdada sio mwaminifu ktk ndoa...kwishney...huna utetezi duniani na mbinguni. Mifumo ndo imeweka mambo haya wazi ivo.
 
Oa tu mbaba. Kwa kuwa wataka kuboresha, nataka nikujulishe kwamba huyo wa sasa kwako ni poa b'coz machachari ya uyo educated umeyeona. Wada educated wanapoanza kuchomoza ktk kipato, wanang'ara, afu wanataka kung'ara zaidi...sio vibaya, mbaya kulegeza kwa bawabu beberu ambapo wana amini ni njia ya kutokea. Hakushirikish mume coz ushiriki wako utamzui asilegeze na yy shida yake ni kupa anachotaka tu...ndo tabu inapokuja...kichocheo Sura yake na shape.

Cku zote ni rrraaahisi sana kumuongoza mjinga kuliko mwerevu....na ndio maana hata ktk nchi yetu werevu ni wapiga kelele tu na wajinga ndo wanaongoza nchi...matokeo ndo hayo hwataki kustaafu, na kila mpango hautekelezeki.

UKIMUOA huyo aliye chini kielemu...mpige msasa wa english coz tu...mambo shwari. Muongoze, mpe maelekezo/ makatazo atatii bila hiyana. Atakuwa mnyenyekevu daima na milele. KUWA NA WEW NDO ATAWARINGIA WADADA wenzake ambao wamesoma but hawaolewi. Kuolewa HESHIMA.

yeah nimekuelewa mjamaa wangu naoa kamanda. mtoto yuko poa sana. maadili kwa sana. cute ile mbaya. mbaba ntamtunza buchani ntaenda mie mwenyewe.
 
Mke na mume mwema hutoka kwa bwana.Muombe mwenyezi Mungu akusaidie kukupatia chaguo zuri anaweza akawa hata kusoma hajui ila akawa ni mke mwema
 
Kwenye ndoa hakikisha biolojia zenu ni aktivu katika kujamiiana sidhani mkeo anahitaji kutumia fomula za chuo au kozi weki fulani mkilala uchi ili ndio la msingi mengine yanaweza kujengwa kwa kuelekezana sioni uhusiano wa ndoa na elimu ingawa wewe kama kweli una mastazi basi hauna tofauti na alieishia darasa la pili samahani lakini.
 
Hakuna uhusiano kati ya elimu na mapenzi. Wewe Oa tu hakuna shida. muhimu ni tabia na matendo yenu je vinaendana. Ni kuepuka dharau, kejeli, magigambo/majivuno au kusemama kwa kuingiza kigezo cha utofauti wa elimu. Unaweza kuwa na elimu kubwa lakini mapenzi hujui, unaweza kuwa na eimu ndogo lakini mapenzi unajua, kwa hiyo mnatagemeana.
 
unatafuta house wife???
mahausboy na wauza urembo watamaliza sana hapo

la msingi tafuta mke mwema hata kama hajui kusoma wala kuandika hata kama ana Phd kuwa tu na vigezo vyako unavyovitaka pia muombe Mwenyezi Mungu.
 
Brlieve me, mtaishi kama bosi na house girl wake japo mnashea kitanda. Na ikitokea otherwise, akikuzoea atafikia hatua ya kukuona wa kawaida sana na unavyodhani atabehave itabadilika kabisa na utarudi kwenye majuto yaleyale. Lakini kibaya zaidi, na nna uhakika na hili, mtagombana sana hasa kutokana na kupishana kauli. Unaweza kutoa kauli fulani ambayo ni ya kawaida sana lakini kwa sababu ya upeo wake mdogo akaitafsiri tofauti na ikawa issue kubwa au yeye akasema kitu ambacho kwake ni cha kawaida lakini wewe ukaona umedhalilishwa kwa namna fulani. Utatembelewa na marafiki wa hadhi fulani na hatakuwa free kuweza kushare chochote katika maongezi yenu. Simply, gap hilo ni kubwa mno kuweza kuishi kwa amani na furaha kwa pande zote mbili. Mie nimewahi kuishi na wa Darasa la saba pia, mie nina Diploma na yalinikuta hayo. Oa kwa sababu umependa lakini tarajia hayo.
 
Hakuna uhusiano kati ya elimu na mapenzi. Wewe Oa tu hakuna shida. muhimu ni tabia na matendo yenu je vinaendana. Ni kuepuka dharau, kejeli, magigambo/majivuno au kusemama kwa kuingiza kigezo cha utofauti wa elimu. Unaweza kuwa na elimu kubwa lakini mapenzi hujui, unaweza kuwa na eimu ndogo lakini mapenzi unajua, kwa hiyo mnatagemeana.

Hujui unachokinena. Tuulize tuliowahi kujidanganya kama wewe, tutakupa uzoefu. Kama unaongelea mapenzi ya boyfriend na girlfriend basi uko sawa. Lakini kama una maanisha maisha ya commitment kama mume na mke wanaoanzisha familia kuna mahusiano makubwa kati ya elimu (upeo wa kuelewa na kuchambua mambo) na mapenzi. Ukibisha basi jaribu japo ni sawa na kuthibitisha ukali wa sumu kwa kuionja!!
 
Hujui unachokinena. Tuulize tuliowahi kujidanganya kama wewe, tutakupa uzoefu. Kama unaongelea mapenzi ya boyfriend na girlfriend basi uko sawa. Lakini kama una maanisha maisha ya commitment kama mume na mke wanaoanzisha familia kuna mahusiano makubwa kati ya elimu (upeo wa kuelewa na kuchambua mambo) na mapenzi. Ukibisha basi jaribu japo ni sawa na kuthibitisha ukali wa sumu kwa kuionja!!

Ndoa nyingi za siku hizi zinaanzia kwenye uchumba, ndani ya uchumba una muda wa kuchunguza/kufahamu endapo utofauti wenu wa elimu utakuja kuleta madhara. Kudanganywa/kudanganya ni maamuzi ya nafsi yako tu. Ha siku moja kwenye mapenzi yawe ya uchumba au ndoa ukaona tatizo lakina ukasema haina tatizo.
 
Back
Top Bottom