Naongezea tu....Mimi ni mzaliwa na raia wa Tanzania bara nataka kuwa raia wa Zanzibar, je inawezekana? Nifuate taratibu zipi?
Ukiishi kwa kipindi fulani Zanzibar kama mkaazi unakuwa una haki ya kupewa kitambulisho cha Zanzibar mkaazi.Mimi ni mzaliwa na raia wa Tanzania bara nataka kuwa raia wa Zanzibar, je inawezekana? Nifuate taratibu zipi?
Kama raia wa Zanzibar ni raia wa Tanzania bara, kwanini wewe raia wa Tanzania bara usiwe raia wa Zanzibar?Mimi ni mzaliwa na raia wa Tanzania bara nataka kuwa raia wa Zanzibar, je inawezekana? Nifuate taratibu zipi?
Zanzibar Wana sheria zao tofauti na bara,wazanziba ruhusa kumiliko ardh bara ila wabara si ruhusa mpk Kwa kibali maalumKama raia wa Zanzibar ni raia wa Tanzania bara, kwanini wewe raia wa Tanzania bara usiwe raia wa Zanzibar?
Kuna sheria maalum za wao kumiliki ardhi Tanzania bara bila ya kuwa raia?Zanzibar Wana sheria zao tofauti na bara,wazanziba ruhusa kumiliko ardh bara ila wabara si ruhusa mpk Kwa kibali maalum
Kumekucha sheikh.Ngoja kukuche
Vp huwa unatoa jicho kwenye mafanikio?Mimi ni mzaliwa na raia wa Tanzania bara nataka kuwa raia wa Zanzibar, je inawezekana? Nifuate taratibu zipi?
Sijakuelewa.Vp huwa unatoa jicho kwenye mafanikio?
Mimi ni mzaliwa na raia wa Tanzania bara nataka kuwa raia wa Zanzibar, je inawezekana? Nifuate taratibu zipi?
Ukienda Zanzibar leo hii huwezi miliki ardhi. Lakini ukienda sehemu nyingine yoyote tz bara unaweza kumiliki ardhiKama raia wa Zanzibar ni raia wa Tanzania bara, kwanini wewe raia wa Tanzania bara usiwe raia wa Zanzibar?
Huku bara hakuna sheria yoyote inayomkataza mtu wa Zanzibar kumiliki ardhi huku Bara.Kuna sheria maalum za wao kumiliki ardhi Tanzania bara bila ya kuwa raia?
Hili neno mtanganyika popote ninapoliona nafarijika sana.Mtanganyika kwa namna yoyote haruhusiwi kuwa Mzanzibari
Hiyo ni ile “changu ni changu na chako ni chetu”🤦🏾♂️Huku bara hakuna sheria yoyote inayomkataza mtu wa Zanzibar kumiliki ardhi huku Bara.