Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Kwani kuongea kiingereza ndio kumuhitimisha mtoto?
Shule za Academic hamkuziona?
Hebuuuuuu.......

Hahahaaaaa walimu wajiendeleze hata wakiwa kazini, simu za mkononi sio udaku na kushinda JF tu.


Utajuaje kama wengine wapo zaidi ya hizo walipopitia maishani...

Zitto Kabwe kaandika kitu wamerusha uzi re walimu wa sasa.
 
Rafiki yng ni mwl kaniambia siku hizi kesi za wazazi kwenda shule kuomba walimu wawasaidie kuwanyoosha watoto wao zimeongezeka sana.
 
Hapo kwenye red ndio point yangu tangu mwanzo wa topic hii. Nimesema saikolojia ndio inaleta discipline mahali popote, mwanafunzi akishajua nikileta upumbavu narudi nyumbani lazima asome. Sasa hawa wanaojiita walimu humu JF ni chenga tu. Hawajui jinsi ya kutatua matatizo kwenye kazi zao.
Hakuna mwalimu mwenye madaraka ya kumfukuza mwanafunzi wa shule ya serikali. Serikali inapenda takwimu, inataka wanaoanza shule wote wamalize ndo Maana inafuta mitihani ya mchujo na kuweka mazingira magumu sana kumfukuza mwanafunzi asiye na nidhamu.
 
Ngoja nilale, nikusanye nguvu za kuandika kesho, maana wiki hii Frank katutengenezea jina.
Ungerecord ndugu yangu
kipindi na fundisha niliwahi kutana na changamoto moja sito isahau jamani!!!!

kuna watoto wakorofi lakini basi tu!!! kuna mtoto wa kidato cha tatu alimpiga tofali mwalimu la kichwa mpaka leo huwa anapoteza poteza kumbukumbu alafu kisa mwalim kamkamata mtoto ametoroka yuko kwenye PS

chaajabu mwanafunzi aliamishiwa shule ingine!!!!!
 
Kuwa na walimu wavuta bangi kama hawa...ni bora mwanangu nimuozeshe tu....
 
Kuna kesi moja ya bibi alikuwa anaishi na mjukuu wake wa kiume...... Siku moja usiku mjukuu kaja akavunja mlango akamalala bibi yake. .


Bibi yake badala ya kwenda Polisi alienda kushtaki shule...... Na dogo aliitwa na akakiri.

Alipewa kichapo kitakatifu alitubu dhambi zake zote
Kwa mwaka huu mi ningekuwa mwalimu ningemwbia huyo mwanafunzi go and repeat again and again
 
Huyo bibi nae kataka, alikuwa na ugwadu wake.
Unalalaje na mjukuu wako aliye katika balekhe kali?
Yaani unajikuta tu hakimu wa kesi za majumbani
Walimu poleni, kumbe mnakula mahakimu zaidi ya ualimu wenu, ntashauri ligavamenti liwaongezee posho ya uhakimu au waweke ofisi ya mahakama shuleni,
 
Hahahaaaaa walimu wajiendeleze hata wakiwa kazini, simu za mkononi sio udaku na kushinda JF tu.


Utajuaje kama wengine wapo zaidi ya hizo walipopitia maishani...

Zitto Kabwe kaandika kitu wamerusha uzi re walimu wa sasa.
na we usijekuwa kama johnson meki na english yake ya have been !
show us what you got , sio zitto kutoa mawazo yake ndo unaafiki 100% ! na bado unajiita msomi!!

Uwe unachalenji mama ,hata kama msemaji ni Morgan Freeman.

Tanzania tuna safari ndefu sana! Hasa sisi tunaojiita wasomi.
 
Hii ndio ya kuinyoosha vizuri. .


Ila nawashauri kila shule itenge chumba cha kuwaadhibia watoto jeuri na kibr... Hapo kusiwepo na waalim masnicth kama yule dem aliyerokodi.


Hapo mnamfua kimya kimya. Akitoka hapo amenyooka
Yaani unamaanisha Guantanamo ndani ya shule, upo vizuri wewe, ligavament limesikia mawazo yako
 
Kuwa na walimu wavuta bangi kama hawa...ni bora mwanangu nimuozeshe tu....
Na kama baba yake siyo mvuta bhangi we mlete tuu ! mbona hataguswa!!

tatizo litakuja kama siku ya kutungwa mimba kwake ulipiga viroba au bange then shuleni unataka matokeo chanya!!

mwache aolewe tu mkuu hamna namna!
 
Duh nikikumbuka nilipokuwa mwanafunzi ya primary, mwalimu anafundisha sisi tunaangalia jarida kutoka ulaya la kikubwa lile bro wangu alikuwa baharia kaja nayo home nikaliiba. Sasa kama mwl angeniona sijui ingekaaje hii isue, poleni walimu.
 
Wasalaamu wakuu!!

kwanza kabisa napenda kuwa omba mods wasiunganishe huu Uzi licha ya trend tuliyonayo, kwani Mimi ni mwalimu naomba nieleze nilivyo, yes waalimu tulivyo.

Napenda kutoa pole yangu ya dhati kabisa kwa mkuu wa shule kwa yaliyomfika, waalimu waliofikwa na janga na mtoto aliyepatwa.

maisha ya shule yana mengi, nadhani na pia ni hakika kuwa wengi humu tumepita shule ( ndio, hata la saba ni shule), Mimi kama mwalimu na kwa uzoefu wangu niliokaa kazini ningeweza kumwadhibu mtoto kama huyo wa mbeya kwa sababu zifuatazo;
(a) Ameonesha kunigomea mbele ya wanafunzi wenzake.
Kama kawaida hakuna mtu mzima yeyote ambaye anapenda kudhalilishwa mbele ya watoto.
Inatokea mwlm unataka kutoa adhabu kwa mwanafunzi eidha kwa kuwa ana kidemu chake darasani anaamua kuonesha dharau na migomo ya waziwazi. Hapo mi ambacho nafanya ni kupiga kama naua NYOKA ili wenzake wakiona wasijiingize kwenye kosa kama lake kamwe. HII INAITWA HESHIMA KWANZA, KAZI BAADAE.

(b) Mwanafunzi ameletwa Ofisini na Mwalm A ambaye anaonekana mnyonge au mpole hana makuu kwasababu hiyo mwanafunzi anamgomea adhabu eidha ya kupiga magoti au kuchapwa! wanafunzi wa aina hiyo Mimi huwa naomba SUB then naagiza mzigo wa kuni badala ya kupikia nabadili matumizi kwa manufaa ya ofisi.

(c) Nimetoka kwenye ATM nakuta mshahara Wangu umekatwa Tsh 60000 bila maelezo ya msingi, narudi shule nakutana na mtoto aliyeshindikana kwao kajichanganya mbele yangu hapo lazima ni convert tsh 60000 to 60000 sticks of coplar punishment.


Mnaojifanya kutetea humu wengi wenu hii kazi ya ualimu hamuijui au mnadhani kwa vile watoto wenu wanapenda shule, basi mnahisi ni wote dunia nzima.

Hakuna mwalimu kichaa hapa duniani ambaye mtoto hajagomea au kusumbua kupokea adhabu, atapigwa kiasi kile.

wito wngu.

waalimu wenzangu, pesa hatuna bado tunatafutwa kufungwa, unapopiga hakikisha kamera ya simu yako iko ofu.

Mpaka pale wanaotokwa mapovu hapa JF watakapowafunza maadili mema watoto wao na fimbo zitafutika zenyewe.

Kwa ukurya nilionao, ujinga darasani + ukorofi mwanao alionao, ACHUNGE SANA.
Amen
 
Na kama baba yake siyo mvuta bhangi we mlete tuu ! mbona hataguswa!!

tatizo litakuja kama siku ya kutungwa mimba kwake ulipiga viroba au bange then shuleni unataka matokeo chanya!!

mwache aolewe tu mkuu hamna namna!

Sawa mkuu....asante kwa taarifa
 
atoto


Pia hao waalim masinitch nao ni kupambana nao. ..... Hao wanajifanya wanataka urafiki na wanafunzi kumbe ni uoga.

Yule alikuwa boyfriend wake nini mpaka akapiga video.
Tena shwain.
Na mara nyingi mzazi akiongea pumba mbele ya mwanae huwa anampa jeuri
Kuna mzazi alikuja na kifuko cha nyama toka buchani, alikuja kuleta fyokofyoko....mbona nyama alienda kuiosha na sabuni,
Afu sie kwetu tuna umoja balaa.
Akija mzazi, mwalimu wa darasa anatangulia nae ofisini, tunanyanyuka mmoja mmoja.
Huko sasa....atahua kilichomtoa khanga manyoya.
 
Mwanafunzi Akileta ujinga dawa yake siku hizi kumtoa tu class asihudhurie kipindi chako hata usijisumbue kumchapa .
Vp huyo mwanafunzi akikataa kutoka darasani? Imeshawahi kunitokea binti akakataa kutoka darasani. Nikamuachia tabasamu, nikaendelea na kipindi. Mwisho wa siku alirudi sup, nahisi namna nilivyomhandle alipata msongo wa mawazo akajua lazima aingie wavuni.
 
Hii ndio ya kuinyoosha vizuri. .


Ila nawashauri kila shule itenge chumba cha kuwaadhibia watoto jeuri na kibr... Hapo kusiwepo na waalim masnicth kama yule dem aliyerokodi.


Hapo mnamfua kimya kimya. Akitoka hapo amenyooka
Ha ha ha iwe stoo ili akimaliza kupata kichapo viti vibovu vinamalizia kumdondokea kichwani
 
Back
Top Bottom