Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

msituletee tread za ajabu ajabu hapa sawa kukatwa kwako kwa mshahara kuna husiana nini na adhabu kwa mwanafunzi unajaribu kuutetea upande wako ila huna facts za muhimu umeruhusiwa kumpiga mwanafunzi mingumi..? na wewe ukifanya hivyo utaenda kuongea na scorpion mods ikiwezekana futeni hii thread anatia watu hasira tu
HUJAELEWA
 
Walimu naona na lugha ngeni zinawapiga chenga wengine...duh mpunguze basi kuandika majanga humu..kweli hamfahi kufundisha...lazima mnatoaga 0 tu...kama uongo basi tungeona utofauti

Wasioheshimu kazi wanyooshwe tu, imefika kipindi serikali iweke namba ya wazazi na wanafunzi kupiga kushtaki. Hata namba ya mtandaoni watumiwe picha au video.
Duh aliyefanya ujue hivyo ni mwl, ni sawa na kumwambia mdingi mbona hukumkandamiza maza ningezaliwa kidume
 
Huna mtoto bado! Ukipata wa kwako ndo utajua uchungu wake.
Unampiga mtoto wa mwenzio kama mwizi!
Acha kutetea ujinga.
Najua wanafunzi wanakera ndio, lakini si kwa kipigo hicho! Mijanaume mizima imeshiba yote imemvamia mtoto ambae hata maziwa aliyonyonya kwa mama yake bado hayajaisha mwilini!
 
Labda nisimfahamu!!

Na huko jela waninyonge wakiniachia tu !!
Namtrace Google map au Google goggles.
Hujakutana na watu wa Mbeya eenhe! Hao walimu waombee kuadhibiwa tu, la sivyo watakiona cha mtema kuni.
 
Kumbe walimu ni wengi kiasi hiki!

but mwenye uelewa achambue comment zote za walimu alafu ndo atapata taswira halisi ya jinsi walimu wetu walivyo.

yaani wote wana negative perception kwa wanafunzi alafu ndo useme kina frank wameonewa!

Hakika walikosea sana na inapaswa wapewe adhabu kali sana but kwa kuwa bado ni wanafunzi ata hawajajua nn maana ya dissertation ni bora serikali iwaonee huruma waruhusiwe kuendelea na masomo yao huenda wakawa mabalozi wazuri hapo baadae.
lilowapata laweza mpata binadamu yeyote.

Ila na nyie walimu badirikeni jaman
Tubadilike tuwe makondakta au tuweje?
 
Wasalaamu wakuu!!

kwanza kabisa napenda kuwa omba mods wasiunganishe huu Uzi licha ya trend tuliyonayo, kwani Mimi ni mwalimu naomba nieleze nilivyo, yes waalimu tulivyo.

Napenda kutoa pole yangu ya dhati kabisa kwa mkuu wa shule kwa yaliyomfika, waalimu waliofikwa na janga na mtoto aliyepatwa.

maisha ya shule yana mengi, nadhani na pia ni hakika kuwa wengi humu tumepita shule ( ndio, hata la saba ni shule), Mimi kama mwalimu na kwa uzoefu wangu niliokaa kazini ningeweza kumwadhibu mtoto kama huyo wa mbeya kwa sababu zifuatazo;
(a) Ameonesha kunigomea mbele ya wanafunzi wenzake.
Kama kawaida hakuna mtu mzima yeyote ambaye anapenda kudhalilishwa mbele ya watoto.
Inatokea mwlm unataka kutoa adhabu kwa mwanafunzi eidha kwa kuwa ana kidemu chake darasani anaamua kuonesha dharau na migomo ya waziwazi. Hapo mi ambacho nafanya ni kupiga kama naua NYOKA ili wenzake wakiona wasijiingize kwenye kosa kama lake kamwe. HII INAITWA HESHIMA KWANZA, KAZI BAADAE.

(b) Mwanafunzi ameletwa Ofisini na Mwalm A ambaye anaonekana mnyonge au mpole hana makuu kwasababu hiyo mwanafunzi anamgomea adhabu eidha ya kupiga magoti au kuchapwa! wanafunzi wa aina hiyo Mimi huwa naomba SUB then naagiza mzigo wa kuni badala ya kupikia nabadili matumizi kwa manufaa ya ofisi.

(c) Nimetoka kwenye ATM nakuta mshahara Wangu umekatwa Tsh 60000 bila maelezo ya msingi, narudi shule nakutana na mtoto aliyeshindikana kwao kajichanganya mbele yangu hapo lazima ni convert tsh 60000 to 60000 sticks of coplar punishment.


Mnaojifanya kutetea humu wengi wenu hii kazi ya ualimu hamuijui au mnadhani kwa vile watoto wenu wanapenda shule, basi mnahisi ni wote dunia nzima.

Hakuna mwalimu kichaa hapa duniani ambaye mtoto hajagomea au kusumbua kupokea adhabu, atapigwa kiasi kile.

wito wngu.

waalimu wenzangu, pesa hatuna bado tunatafutwa kufungwa, unapopiga hakikisha kamera ya simu yako iko ofu.

Mpaka pale wanaotokwa mapovu hapa JF watakapowafunza maadili mema watoto wao na fimbo zitafutika zenyewe.

Kwa ukurya nilionao, ujinga darasani + ukorofi mwanao alionao, ACHUNGE SANA.
Lkini Huoni kua umeshapoteza hajila yako kwa hasira??,hasirahasara.
 
WALIMU WA BRN WANAFARIJIANA.

nyie mwageni povu tu ila kiama chenu kimefika!

by the way mnafundisha kitu gani nyie,

infact, you deserve being undermined and overshadowed , you truly deserve it.

you get what you sew, .

hakuna mnachofundisha zaid ya kuwajaza wanafunzi matope.

walimu wa BRN bwana.
Duh mhitmu wa BRN wewe lazima utakuwa na mke wa BRN na mitoto ya BRN.
 
Huna mtoto bado! Ukipata wa kwako ndo utajua uchungu wake.
Unampiga mtoto wa mwenzio kama mwizi!
Acha kutetea ujinga.
Najua wanafunzi wanakera ndio, lakini si kwa kipigo hicho! Mijanaume mizima imeshiba yote imemvamia mtoto ambae hata maziwa aliyonyonya kwa mama yake bado hayajaisha mwilini!
I have got two beautiful kids !! by the help of Holy Ghost, am doing my best to shape them!!

But waki-misbehave kwa kiwango cha lami, I will let them face their denstiny !!!
 
Huna mtoto bado! Ukipata wa kwako ndo utajua uchungu wake.
Unampiga mtoto wa mwenzio kama mwizi!
Acha kutetea ujinga.
Najua wanafunzi wanakera ndio, lakini si kwa kipigo hicho! Mijanaume mizima imeshiba yote imemvamia mtoto ambae hata maziwa aliyonyonya kwa mama yake bado hayajaisha mwilini!
eti kipigo,kipigo?unajua kipigo wewe.toto limepapaswa tu makele nchi nzima
 
msituletee tread za ajabu ajabu hapa sawa kukatwa kwako kwa mshahara kuna husiana nini na adhabu kwa mwanafunzi unajaribu kuutetea upande wako ila huna facts za muhimu umeruhusiwa kumpiga mwanafunzi mingumi..? na wewe ukifanya hivyo utaenda kuongea na scorpion mods ikiwezekana futeni hii thread anatia watu hasira tu
Kwani mwanafunz karuhusiwa kumpiga mwalimu ngumi? Ukitaka kutetea jambo kwanza,lichukulie ktk upande wako..
 
I have got two beautiful kids !! by the help of Holy Ghost, am doing my best to shape them!!

But waki-misbehave kwa kiwango cha lami, I will let them face their denstiny !!!
If you have children of your own then this thread was a joke! You just wanted people to comment!
 
If you have children of your own then this thread was a joke! You just wanted people to comment!
Umeelewa mnilivyomalizia lakini !!? " i will let them face their.... " if and only if they undergo highest mischief !!

YES I WILL LET THEM BE!!!!!
 
Hahahaaaaa walimu wajiendeleze hata wakiwa kazini, simu za mkononi sio udaku na kushinda JF tu.


Utajuaje kama wengine wapo zaidi ya hizo walipopitia maishani...

Zitto Kabwe kaandika kitu wamerusha uzi re walimu wa sasa.
Kwani kushinda jf inahusu nini???
We ni nani hadi upangie wapi nini cha kufanya, umejiendeleza hadi elimu gani hapo ulipo?
 
Back
Top Bottom