Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,104
- 165,319
Ha ha ha ha haWe mlee tu vyema, ila akiwa kichwa maji kama wewe yeye ndio atakukata hizo pumbu kabla hata hujamkaribia mwalimu.
Ha ha ha ha haWe mlee tu vyema, ila akiwa kichwa maji kama wewe yeye ndio atakukata hizo pumbu kabla hata hujamkaribia mwalimu.
"Kwanini mliishia kuwa walimu?????"walimu nyie!
ninawachukiaga sana, unakuta kosa halihitaji ata adhabu bali ni kumshauri tu mwanafunzi ila mnakimbilia kumchapa. ndo maana wengi wenu mnaishia kulalamika tu. Na kama mnamachungu na elimu sa kwanini mliishia kuwa walimu!
Katika watu ambao hawajuagi kuandika humu lady YOU ARE AMONG na ni kiswahili tu kinakupiga chenga, hizo lugha za kigeni unazojua wewe ni zipi?Walimu naona na lugha ngeni zinawapiga chenga wengine...duh mpunguze basi kuandika majanga humu..kweli hamfahi kufundisha...lazima mnatoaga 0 tu...kama uongo basi tungeona utofauti
Wasioheshimu kazi wanyooshwe tu, imefika kipindi serikali iweke namba ya wazazi na wanafunzi kupiga kushtaki. Hata namba ya mtandaoni watumiwe picha au video.
Mzazi tu unaandika xana imagine mtoto wako atakuajeMbona waonekana kama una jazba xana vip?hatukatai wanafunz kupewa adhabu lakin ziwe adhabu zenye kiwango na co kumpiga mwanafunzi ngumi au mateke,hili lililotokea mbeya halikubaliki hata kidogo.
.
we ni mtoto mdogo sana hii battle huiwezi ! na wewe kuwa benki tella basi usijione umemaliza kazi !!"Kwanini mliishia kuwa walimu?????"
Hivi mwenye elimu anapaswa afanye kazi gani eti?? Naomba nijuzwe hili.
Jiongeze. Unanijibu mimi au huyo niliyemquote? Au hujasoma vzuri na kujua maana yangu?we ni mtoto mdogo sana hii battle huiwezi ! na wewe kuwa benki tella basi usijione umemaliza kazi !!
show me what you got mama!
Njoo pm nikwambie kituNdofaida yaku ingilia yaso kuhusu
na we usijekuwa kama johnson meki na english yake ya have been !
show us what you got , sio zitto kutoa mawazo yake ndo unaafiki 100% ! na bado unajiita msomi!!
Uwe unachalenji mama ,hata kama msemaji ni Morgan Freeman.
Tanzania tuna safari ndefu sana! Hasa sisi tunaojiita wasomi.
Duh aliyefanya ujue hivyo ni mwl, ni sawa na kumwambia mdingi mbona hukumkandamiza maza ningezaliwa kidume![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mwalimu naona una mambo mengi yanayokusibu hata kabla hujingia darasani. Mara umekatwa elfu 60, mara ukurya ulionao..Wasalaamu wakuu!!
kwanza kabisa napenda kuwa omba mods wasiunganishe huu Uzi licha ya trend tuliyonayo, kwani Mimi ni mwalimu naomba nieleze nilivyo, yes waalimu tulivyo.
Napenda kutoa pole yangu ya dhati kabisa kwa mkuu wa shule kwa yaliyomfika, waalimu waliofikwa na janga na mtoto aliyepatwa.
maisha ya shule yana mengi, nadhani na pia ni hakika kuwa wengi humu tumepita shule ( ndio, hata la saba ni shule), Mimi kama mwalimu na kwa uzoefu wangu niliokaa kazini ningeweza kumwadhibu mtoto kama huyo wa mbeya kwa sababu zifuatazo;
(a) Ameonesha kunigomea mbele ya wanafunzi wenzake.
Kama kawaida hakuna mtu mzima yeyote ambaye anapenda kudhalilishwa mbele ya watoto.
Inatokea mwlm unataka kutoa adhabu kwa mwanafunzi eidha kwa kuwa ana kidemu chake darasani anaamua kuonesha dharau na migomo ya waziwazi. Hapo mi ambacho nafanya ni kupiga kama naua NYOKA ili wenzake wakiona wasijiingize kwenye kosa kama lake kamwe. HII INAITWA HESHIMA KWANZA, KAZI BAADAE.
(b) Mwanafunzi ameletwa Ofisini na Mwalm A ambaye anaonekana mnyonge au mpole hana makuu kwasababu hiyo mwanafunzi anamgomea adhabu eidha ya kupiga magoti au kuchapwa! wanafunzi wa aina hiyo Mimi huwa naomba SUB then naagiza mzigo wa kuni badala ya kupikia nabadili matumizi kwa manufaa ya ofisi.
(c) Nimetoka kwenye ATM nakuta mshahara Wangu umekatwa Tsh 60000 bila maelezo ya msingi, narudi shule nakutana na mtoto aliyeshindikana kwao kajichanganya mbele yangu hapo lazima ni convert tsh 60000 to 60000 sticks of coplar punishment.
Mnaojifanya kutetea humu wengi wenu hii kazi ya ualimu hamuijui au mnadhani kwa vile watoto wenu wanapenda shule, basi mnahisi ni wote dunia nzima.
Hakuna mwalimu kichaa hapa duniani ambaye mtoto hajagomea au kusumbua kupokea adhabu, atapigwa kiasi kile.
wito wngu.
waalimu wenzangu, pesa hatuna bado tunatafutwa kufungwa, unapopiga hakikisha kamera ya simu yako iko ofu.
Mpaka pale wanaotokwa mapovu hapa JF watakapowafunza maadili mema watoto wao na fimbo zitafutika zenyewe.
Kwa ukurya nilionao, ujinga darasani + ukorofi mwanao alionao, ACHUNGE SANA.
hebu njoo na comment ya lugha ngeni then twendelee mzurimie wanajamvi watakuwa marefa !!! nimempata johnson meki mwingine naona.
sio kila jukwaa jf was meant for anyone !! nenda huko MMU basi !! waweza onekana wa maana !!Heheheeeeee kituko cha mwaka, usinipangie nini na wakati gani niandike unayotaka kuyasoma.
Yaandike wewe usomwe...pita huko..
Unahasira na maisha yako wewe kuanza kuniandikia upupwu wote huo mie tu.
Haya uliyesoma wewe hongera jipigie vigelegele.
kwa hiyo we uko FEZAMwalimu naona una mambo mengi yanayokusibu hata kabla hujingia darasani. Mara umekatwa elfu 60, mara ukurya ulionao..
nakushauri nenda kaombe kazi feza international wakulipe kwa dola. Walahi hutakumbuka hata kushika fimbo. utakuwa unasomaga tu humu JF kwamba kuna kumpiga mwanafunzi mangumi na mateke.
Maadili yapi tuwenayo ambayo sasa hayapo?muwe walimu walio na maadili.
Tena mtafutie mume mapemaa nunda kama yeye wakatoshane.Kuwa na walimu wavuta bangi kama hawa...ni bora mwanangu nimuozeshe tu....