Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

walimu nyie!
ninawachukiaga sana, unakuta kosa halihitaji ata adhabu bali ni kumshauri tu mwanafunzi ila mnakimbilia kumchapa. ndo maana wengi wenu mnaishia kulalamika tu. Na kama mnamachungu na elimu sa kwanini mliishia kuwa walimu!
"Kwanini mliishia kuwa walimu?????"
Hivi mwenye elimu anapaswa afanye kazi gani eti?? Naomba nijuzwe hili.
 
Walimu naona na lugha ngeni zinawapiga chenga wengine...duh mpunguze basi kuandika majanga humu..kweli hamfahi kufundisha...lazima mnatoaga 0 tu...kama uongo basi tungeona utofauti

Wasioheshimu kazi wanyooshwe tu, imefika kipindi serikali iweke namba ya wazazi na wanafunzi kupiga kushtaki. Hata namba ya mtandaoni watumiwe picha au video.
Katika watu ambao hawajuagi kuandika humu lady YOU ARE AMONG na ni kiswahili tu kinakupiga chenga, hizo lugha za kigeni unazojua wewe ni zipi?
 
Mbona waonekana kama una jazba xana vip?hatukatai wanafunz kupewa adhabu lakin ziwe adhabu zenye kiwango na co kumpiga mwanafunzi ngumi au mateke,hili lililotokea mbeya halikubaliki hata kidogo.
.
Mzazi tu unaandika xana imagine mtoto wako atakuaje
 
"Kwanini mliishia kuwa walimu?????"
Hivi mwenye elimu anapaswa afanye kazi gani eti?? Naomba nijuzwe hili.
we ni mtoto mdogo sana hii battle huiwezi ! na wewe kuwa benki tella basi usijione umemaliza kazi !!
show me what you got mama!
 
we ni mtoto mdogo sana hii battle huiwezi ! na wewe kuwa benki tella basi usijione umemaliza kazi !!
show me what you got mama!
Jiongeze. Unanijibu mimi au huyo niliyemquote? Au hujasoma vzuri na kujua maana yangu?
 
Daah nimekumbuka enzi hizo nikisoma STD 6, mwalimu wa hesabu alikuwa anachapa fimbo kulingana na idadi ya maswali uliyokosa. Kuna mtoto alikosea maswali yote 30, alimchapa fimbo thelathini. Kudaadadeki.. binti aliacha na shule yenyewe.
Halafu ticha mwenyewe naye hesabu zilikuwa zinamsumbua vilevile, mikwara kibao. Basi kuelewa ilikuwa kazi kweli kweli.
 
Nashkuru kusoma kipindi cha mwinyi na mkapa......mambo hayo yalikuwa adimu sana.....
 
na we usijekuwa kama johnson meki na english yake ya have been !
show us what you got , sio zitto kutoa mawazo yake ndo unaafiki 100% ! na bado unajiita msomi!!

Uwe unachalenji mama ,hata kama msemaji ni Morgan Freeman.

Tanzania tuna safari ndefu sana! Hasa sisi tunaojiita wasomi.


Heheheeeeee kituko cha mwaka, usinipangie nini na wakati gani niandike unayotaka kuyasoma.

Yaandike wewe usomwe...pita huko..

Unahasira na maisha yako wewe kuanza kuniandikia upupwu wote huo mie tu.

Haya uliyesoma wewe hongera jipigie vigelegele.
 
Duh aliyefanya ujue hivyo ni mwl, ni sawa na kumwambia mdingi mbona hukumkandamiza maza ningezaliwa kidume

Walimu wangu walikuwa wanafikiria kuona wanafunzi wanawapaisha na sio wao kufunda kutafuta sifa kwa walimu wenzao.
 
Wasalaamu wakuu!!

kwanza kabisa napenda kuwa omba mods wasiunganishe huu Uzi licha ya trend tuliyonayo, kwani Mimi ni mwalimu naomba nieleze nilivyo, yes waalimu tulivyo.

Napenda kutoa pole yangu ya dhati kabisa kwa mkuu wa shule kwa yaliyomfika, waalimu waliofikwa na janga na mtoto aliyepatwa.

maisha ya shule yana mengi, nadhani na pia ni hakika kuwa wengi humu tumepita shule ( ndio, hata la saba ni shule), Mimi kama mwalimu na kwa uzoefu wangu niliokaa kazini ningeweza kumwadhibu mtoto kama huyo wa mbeya kwa sababu zifuatazo;
(a) Ameonesha kunigomea mbele ya wanafunzi wenzake.
Kama kawaida hakuna mtu mzima yeyote ambaye anapenda kudhalilishwa mbele ya watoto.
Inatokea mwlm unataka kutoa adhabu kwa mwanafunzi eidha kwa kuwa ana kidemu chake darasani anaamua kuonesha dharau na migomo ya waziwazi. Hapo mi ambacho nafanya ni kupiga kama naua NYOKA ili wenzake wakiona wasijiingize kwenye kosa kama lake kamwe. HII INAITWA HESHIMA KWANZA, KAZI BAADAE.

(b) Mwanafunzi ameletwa Ofisini na Mwalm A ambaye anaonekana mnyonge au mpole hana makuu kwasababu hiyo mwanafunzi anamgomea adhabu eidha ya kupiga magoti au kuchapwa! wanafunzi wa aina hiyo Mimi huwa naomba SUB then naagiza mzigo wa kuni badala ya kupikia nabadili matumizi kwa manufaa ya ofisi.

(c) Nimetoka kwenye ATM nakuta mshahara Wangu umekatwa Tsh 60000 bila maelezo ya msingi, narudi shule nakutana na mtoto aliyeshindikana kwao kajichanganya mbele yangu hapo lazima ni convert tsh 60000 to 60000 sticks of coplar punishment.


Mnaojifanya kutetea humu wengi wenu hii kazi ya ualimu hamuijui au mnadhani kwa vile watoto wenu wanapenda shule, basi mnahisi ni wote dunia nzima.

Hakuna mwalimu kichaa hapa duniani ambaye mtoto hajagomea au kusumbua kupokea adhabu, atapigwa kiasi kile.

wito wngu.

waalimu wenzangu, pesa hatuna bado tunatafutwa kufungwa, unapopiga hakikisha kamera ya simu yako iko ofu.

Mpaka pale wanaotokwa mapovu hapa JF watakapowafunza maadili mema watoto wao na fimbo zitafutika zenyewe.

Kwa ukurya nilionao, ujinga darasani + ukorofi mwanao alionao, ACHUNGE SANA.
Mwalimu naona una mambo mengi yanayokusibu hata kabla hujingia darasani. Mara umekatwa elfu 60, mara ukurya ulionao..
nakushauri nenda kaombe kazi feza international wakulipe kwa dola. Walahi hutakumbuka hata kushika fimbo. utakuwa unasomaga tu humu JF kwamba kuna kumpiga mwanafunzi mangumi na mateke.
 
Heheheeeeee kituko cha mwaka, usinipangie nini na wakati gani niandike unayotaka kuyasoma.

Yaandike wewe usomwe...pita huko..

Unahasira na maisha yako wewe kuanza kuniandikia upupwu wote huo mie tu.

Haya uliyesoma wewe hongera jipigie vigelegele.
sio kila jukwaa jf was meant for anyone !! nenda huko MMU basi !! waweza onekana wa maana !!
 
Mwalimu naona una mambo mengi yanayokusibu hata kabla hujingia darasani. Mara umekatwa elfu 60, mara ukurya ulionao..
nakushauri nenda kaombe kazi feza international wakulipe kwa dola. Walahi hutakumbuka hata kushika fimbo. utakuwa unasomaga tu humu JF kwamba kuna kumpiga mwanafunzi mangumi na mateke.
kwa hiyo we uko FEZA
 
Back
Top Bottom