Wanaoona faida zetu ni wachache wanaojielewa kama ninyi.Sikusomea ualimu maana nilihis ningeua mm nimesumbua sana walimu siamin kama nilifka chuo had nilikutana na mwalimu akaniambia flan unadegree nilijibu ila nafs nilikuwa najiona nilivokuwa. Kwakweli tusiwabeze walimu Kuna watu humu wanatakiwa waseme asante., skuwahi fanya mtihan wataifa nkiwa shulen. Suspension zangu zilikuwa aje kipind cha mtihan. Kuna sku baba aliitwa shule nkiwa form six hapo ndo niliumia maana alipiga goti kuwaomba walimu wamsaidie angekuwa mwanao wangefanyaje hata yeye hapendi niwe hivo na ukiangalia wazaz walijitahd kulea ila nilikuwa ka chz. Nilishamjibu mwalimu nahs aliingiwa na utu maana angeniua Ile siku. Walimu walimu jaman mm sishangai huyo kupigwa hivo mm nshapigwa mateke mangumi nabado kibur kipo. Mm nilikuwa nawaza nisifeli tu baba akahangaika kunipeleka private na hela ngumu. Ila nilimshuhudia baba akiwaomba walimu nibak shule Walimu waliishia kusema aje kipind cha mtihan. Kuanzia siku hiyo nilitaman nirudi secondary niwaheshim walimu ila ndo ikawa ninamaliza. Ila bado nilikuwa na altitude ya kwamba mwalimu Ni adui wa Kwanzaa hivo mm mwalimu namskiliza darasan akitoka sihusk nae. Chuo nilikuja onana na supervisor wa research tu had Kwanzaa ananiuliza mwaka wapili wewe. Ila Kila nkikaa najiskia ninamakosa maana nimewasumbua. Na ningesomea education nahisi Kuna mwanafunzi angekuwa mtukutu ningemuumiza
. Tuwasamehe na kuwaheshim walimu. Mwalimu hakupigi hivo kama hujashindkana. Nawashukuru walimu maana nimekuwa sa hv nakumbuka ushaur wao sana na unanisaidia
Hakuna kinachofundishwa lakini kila mwaka vyumba vinajaa wanafunzi...... Hapa juzi Magufuli alikuwa anapambana na madawati ili wanafunzi wapate pakukaa wafundishwe.....WALIMU WA BRN WANAFARIJIANA.
nyie mwageni povu tu ila kiama chenu kimefika!
by the way mnafundisha kitu gani nyie,
infact, you deserve being demolished and overshadowed , you truly deserve it.
you get what you sew, .
hakuna mnachofundisha zaid ya kuwajaza wanafunzi matope.
walimu wa BRN bwana.
hatuwezi kuvumilia upigaji wa kinyama kwa wanafunzi.Hakuna kinachofundishwa lakini kila mwaka vyumba vinajaa wanafunzi...... Hapa juzi Magufuli alikuwa anapambana na madawati ili wanafunzi wapate pakukaa wafundishwe.....
******** ni yule anayefanya tofauti na anachokiamini. .
Kwanza huu uandishi wako ni ishara kuwa wewe ni Kiazi mbatata
Poor you. Hicho unachojivunia umekipata kwa mwalimu awe alifeli Au laa ila ulifundishwa na ulielewa. Ndo walewale machichidodo kiswahili kizuri waviringishamavi wanachukia kitu na huku wanaishi kutokana na Hicho kitu. Kiviringisha mav kinasogeza mavi kinyume kanakwamba hakiyataki na huku kimeishi na kinategemea hayo. Sasa Ndo wewe. Mwalimu kakufundisha na bado mwanao atafundishwa na walimu. Afu unambeza. Ona aibu.i have been in schools, been tought there all that time...
these morons version of mediocres called teachers are nothing but failures who accidentally found themselvelves at schools teaching our kids.
all they can is to walk arround with bunch of sticks canning and abusing kids.
hawana knowledge yenye tangible effect kwa wanafunzi zaidi ya kuwatisha na kuwanyanyasa.
nidhamu kwa mwanafunzi ni jambo msingi, lakini adhabu zilizozidi kipimo hazivumiliki.
kama hamuwezi kuhandle wanafunzi acheni kazi.
Hivi tunamtukana nani, mi nimetukana tu...Manina
That yellow puss oozing and sprashing out of your forsaken hole, has nothing to do with us!!i have been in schools, been tought there all that time...
these morons version of mediocres called teachers are nothing but failures who accidentally found themselvelves at schools teaching our kids.
all they can is to walk arround with bunch of sticks canning and abusing kids.
hawana knowledge yenye tangible effect kwa wanafunzi zaidi ya kuwatisha na kuwanyanyasa.
nidhamu kwa mwanafunzi ni jambo msingi, lakini adhabu zilizozidi kipimo hazivumiliki.
kama hamuwezi kuhandle wanafunzi acheni kazi.
unatumia present perfect continous ???? so you still a student???i have been in schools, been tought there all that time...
these morons version of mediocres called teachers are nothing but failures who accidentally found themselvelves at schools teaching our kids.
all they can is to walk arround with bunch of sticks canning and abusing kids.
hawana knowledge yenye tangible effect kwa wanafunzi zaidi ya kuwatisha na kuwanyanyasa.
nidhamu kwa mwanafunzi ni jambo msingi, lakini adhabu zilizozidi kipimo hazivumiliki.
kama hamuwezi kuhandle wanafunzi acheni kazi.
huo wenyewe ndio wanaona uzungu, yaani mtoto anatawala nyumbaWazazi wameshindwa kulea watoto ....... Baba hawezi kumkemea mtoto.... Ukifika nyumbani unashindwa kutofautisha mtoto na mzazi...
Hii mitoto ikifika shule inaleta ujinga ule ile wa nyumbani kwao. .... Hapo ni kumtwanga kichwa kimoja cha pua amwage kisusio.
johnson meki" i have been in school...." una uhakika hapo uko sawa... bado unatuita sisi wa BRN.
go back to school and differentiate btn have and had. popo wewe
brother usibishane na mwl,ulisoma shule nzuri sn na ilikua inawezekana kumtimua mtoto,unataarifa siku hizi mtoto hafukuzwi?!! na headmaster akijiroga tu katumbuliwa,mbali zaidi unajua watoto wakifeli sn anatumbuliwa mkuu,na ikiwezekana mwl aliefelisha sn somo lake anakua na hatihati?!!Ni kweli, zama za kulazimishana kusoma zilipitaga enzi za nyerere. Mimi pia nilisoma na watukutu waliojipindia vibaya, lakini wakikanyaga eneo la shule ni discipline kwenda mbele, kwasababu ilikuwa ukileta ujinga Headmaster anampigia simu babaako aje kukuchukua usiwapotezee watu muda. Swala la academy ndio usiulize, muhula ukianza mwalimu anatoa syllabus na anakwambia vitabu gani usome. Hakukuwa na haja ya kupigana vibao kwasababu hukufanya homework, utajijua mwenyewe kwasababu end of the year ukiwa bellow 50% inabidi utafute shule nyingine. Kusoma ni hiyari, vijana wanatakiwa waeleweshwe umuhimu wake, sio kupigwa.
Nchi ya kusadikika iliyojaa maajabu na vioja.mpaka kieleweke !!
make naona Msako wa Mwl Frank ni mkubwa Kuliko LUGUMI
Hiyo piccolo iko wapi nigudhurie na mwanangu?Mtoto mzuri ni yule anayepata malezi ya pande zote.
Kwa walimu na kwa wazazi.
Ila sio wazazi wa sasa hivi, mwalimu ndio mbebaji wa kila kitu.
Mzazi anaona shida kukaa hata siku moja na mwanae, kweli?
Kuna Mother and Child gala pale Piccolo tarehe 22, wazazi waende wakafundishwe jinsi ya kuishi na jamii pamoja na watoto wao.
Wataalamu wanasema, tabia aliyonayo mtoto, jua kairithi kwa mzazi.
Labda wakienda wataelimika
Wewe unaeijua si umfundishe, zero anapata kwakuwa akili karithi kwa mzazi wake kama wewe.
We mlee mwanao katika maadili yanayofaa uone kama utatafuta namba ya kupiga.
Lea nunda kama wewe basi ujue mzoga wako huo, usidhani sifa.