Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Tena shwain.
Na mara nyingi mzazi akiongea pumba mbele ya mwanae huwa anampa jeuri
Kuna mzazi alikuja na kifuko cha nyama toka buchani, alikuja kuleta fyokofyoko....mbona nyama alienda kuiosha na sabuni,
Afu sie kwetu tuna umoja balaa.
Akija mzazi, mwalimu wa darasa anatangulia nae ofisini, tunanyanyuka mmoja mmoja.
Huko sasa....atahua kilichomtoa khanga manyoya.
Safi kabisa, anakuja wa motoooo anarudi kaloa.
 
Wale jamaa walikosea kumfua eneo la wazi kiasi kile .....


Na huyo madame aliyerekodi natamani ningekutana naye ..maaaaninaaaa zake

Wala hayuko mbali, huyu hapa
IMG-20161008-WA0002.jpg
 
Watoto wengine wanapatikana wakati mayai yameshakuwa viza........ Mzazi ni kiazi na mtoto ni kaazi.

Lazima huyu mtoto apigwe vizuri ili huo ukiazi umtoke...


Kina scorpion walifikia hapo kutokana na jamii kulea Lea ujinga
....ila watanyooshwa hata ukubwani
 
atoto


Pia hao waalim masinitch nao ni kupambana nao. ..... Hao wanajifanya wanataka urafiki na wanafunzi kumbe ni uoga.

Kuna mmoja alijitia kijana akawa na urafiki nao ikawa hata kuwakemea hawezi, ana kazi ya kusnitch tu walimu wenzie. Tukamuacha maana tulijua it wont take long, akiwa zamu wanafunzi wakawa wanapiga kelele asemble akawaamuru wapige magoti, mmoja ambae ni rafiki yake sana(alafu nunda) akaamua kuondoka asemble, akamuita bt hakugeuka, wanafunzi wote wakacheka,huku chini chini wakimuita jina lake la utani.

Akaja staff anatweta kwa hasira, tukamwambia hilo lako maana ulilikoroga mwenyewe ujue jinsi ya kulinywa, hakuamini, mbona alikuja kuomba msamaha.
 
Watoto wengine wanapatikana wakati mayai yameshakuwa viza........ Mzazi ni kiazi na mtoto ni kaazi.

Lazima huyu mtoto apigwe vizuri ili huo ukiazi umtoke...


Kina scorpion walifikia hapo kutokana na jamii kulea Lea ujinga
Eti yai lishakuwa viza!!! Haki umenichekesha usiku wote huu!!
 
Hapo ndipo huwa nashindwa kuwaelewa wazazi wengine, yaani anaona bora mwanae akae na mwalimu kuliko akae nae, ukifuatilia utakuta ndio hawa hawa wanazaa alafu watoto wanatupwa kwa bibi,shangazi,mjomba, nk hajazoea kubeba mizigo yake, muda wote anatafuta pa kuupeleka.

Mliwazaa wa nini kama hamtaki kuwalea?? Ndio maana watoto wanakuwa manunda, maana hajapata upendo wa wazazi wake anahisi tu kawa abandoned muda wote.
Mtoto mzuri ni yule anayepata malezi ya pande zote.
Kwa walimu na kwa wazazi.
Ila sio wazazi wa sasa hivi, mwalimu ndio mbebaji wa kila kitu.
Mzazi anaona shida kukaa hata siku moja na mwanae, kweli?
Kuna Mother and Child gala pale Piccolo tarehe 22, wazazi waende wakafundishwe jinsi ya kuishi na jamii pamoja na watoto wao.
Wataalamu wanasema, tabia aliyonayo mtoto, jua kairithi kwa mzazi.
Labda wakienda wataelimika
 
Walimu naona na lugha ngeni zinawapiga chenga wengine...duh mpunguze basi kuandika majanga humu..kweli hamfahi kufundisha...lazima mnatoaga 0 tu...kama uongo basi tungeona utofauti

Wasioheshimu kazi wanyooshwe tu, imefika kipindi serikali iweke namba ya wazazi na wanafunzi kupiga kushtaki. Hata namba ya mtandaoni watumiwe picha au video.
Wewe unaeijua si umfundishe, zero anapata kwakuwa akili karithi kwa mzazi wake kama wewe.
We mlee mwanao katika maadili yanayofaa uone kama utatafuta namba ya kupiga.

Lea nunda kama wewe basi ujue mzoga wako huo, usidhani sifa.
 
Mbona waonekana kama una jazba xana vip?hatukatai wanafunz kupewa adhabu lakin ziwe adhabu zenye kiwango na co kumpiga mwanafunzi ngumi au mateke,hili lililotokea mbeya halikubaliki hata kidogo.
.
 
Mtoto mzuri ni yule anayepata malezi ya pande zote.
Kwa walimu na kwa wazazi.
Ila sio wazazi wa sasa hivi, mwalimu ndio mbebaji wa kila kitu.
Mzazi anaona shida kukaa hata siku moja na mwanae, kweli?
Kuna Mother and Child gala pale Piccolo tarehe 22, wazazi waende wakafundishwe jinsi ya kuishi na jamii pamoja na watoto wao.
Wataalamu wanasema, tabia aliyonayo mtoto, jua kairithi kwa mzazi.
Labda wakienda wataelimika
Tena wabebane kwa nguvu kama nguvu walioitumia kutupiga mawe ya maneno.
 
Wewe unaeijua si umfundishe, zero anapata kwakuwa akili karithi kwa mzazi wake kama wewe.
We mlee mwanao katika maadili yanayofaa uone kama utatafuta namba ya kupiga.

Lea nunda kama wewe basi ujue mzoga wako huo, usidhani sifa.
Kunywa bia kreti moja, nakuja kulipa.

Hivi kwa mfano, watu kama hawa, Frank angekuwa ndugu yao....wangeongea pumbalization kama wanazoongea hapa?
Afu nimeipenda sana conclusion yako aisee.
Sifa nyingine za kijinga na kingese tu
 
Walimu naona na lugha ngeni zinawapiga chenga wengine...duh mpunguze basi kuandika majanga humu..kweli hamfahi kufundisha...lazima mnatoaga 0 tu...kama uongo basi tungeona utofauti

Wasioheshimu kazi wanyooshwe tu, imefika kipindi serikali iweke namba ya wazazi na wanafunzi kupiga kushtaki. Hata namba ya mtandaoni watumiwe picha au video.
Kwani kuongea kiingereza ndio kumuhitimisha mtoto?
Shule za Academic hamkuziona?
Hebuuuuuu.......
 
Kunywa bia kreti moja, nakuja kulipa.

Hivi kwa mfano, watu kama hawa, Frank angekuwa ndugu yao....wangeongea pumbalization kama wanazoongea hapa?
Afu nimeipenda sana conclusion yako aisee.
Sifa nyingine za kijinga na kingese tu
Hayajawakuta acha wajifurahishe, anajitia ujuaji wakati kiswahili tu kuandika kwa ufasaha kashindwa.
 
Na hapo watu wakiambiwa waandamane kwa kisa hiko utashangaa Tz nzima inakutana Mbeya kuandamana Hakika hii hasara ni yetu sote
Nacheka huku niko usingizini mjue.
Tz tunapenda sana ligi jamani.
Khaaa!!!!
 
Sikusomea ualimu maana nilihis ningeua mm nimesumbua sana walimu siamin kama nilifka chuo had nilikutana na mwalimu akaniambia flan unadegree nilijibu ila nafs nilikuwa najiona nilivokuwa. Kwakweli tusiwabeze walimu Kuna watu humu wanatakiwa waseme asante., skuwahi fanya mtihan wataifa nkiwa shulen. Suspension zangu zilikuwa aje kipind cha mtihan. Kuna sku baba aliitwa shule nkiwa form six hapo ndo niliumia maana alipiga goti kuwaomba walimu wamsaidie angekuwa mwanao wangefanyaje hata yeye hapendi niwe hivo na ukiangalia wazaz walijitahd kulea ila nilikuwa ka chz. Nilishamjibu mwalimu nahs aliingiwa na utu maana angeniua Ile siku. Walimu walimu jaman mm sishangai huyo kupigwa hivo mm nshapigwa mateke mangumi nabado kibur kipo. Mm nilikuwa nawaza nisifeli tu baba akahangaika kunipeleka private na hela ngumu. Ila nilimshuhudia baba akiwaomba walimu nibak shule Walimu waliishia kusema aje kipind cha mtihan. Kuanzia siku hiyo nilitaman nirudi secondary niwaheshim walimu ila ndo ikawa ninamaliza. Ila bado nilikuwa na altitude ya kwamba mwalimu Ni adui wa Kwanzaa hivo mm mwalimu namskiliza darasan akitoka sihusk nae. Chuo nilikuja onana na supervisor wa research tu had Kwanzaa ananiuliza mwaka wapili wewe. Ila Kila nkikaa najiskia ninamakosa maana nimewasumbua. Na ningesomea education nahisi Kuna mwanafunzi angekuwa mtukutu ningemuumiza
. Tuwasamehe na kuwaheshim walimu. Mwalimu hakupigi hivo kama hujashindkana. Nawashukuru walimu maana nimekuwa sa hv nakumbuka ushaur wao sana na unanisaidia
 
Hayajawakuta acha wajifurahishe, anajitia ujuaji wakati kiswahili tu kuandika kwa ufasaha kashindwa.
Akajambe mbele.
Au hajui kama Kiswahili kimepitishwa kuwa kuwa lugha rasmi kwa nchi za A.Mashariki?
Au ndo wako Jf tangu uchao mpaka uchwao?
 
Back
Top Bottom