Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Kumpiga mtoto sio ndio mwisho wa dharau zake, wangapi tumesoma nao mpaka leo vichwa ngumu na walipigwa ipasavyo. Ndo maana mnaambiwa muwe na mahusiano mazuri na wazazi mambo kama hayo unamuita mzazi shule muone namna ya kumnyoosha dogo.

Huyo Mwl Frank kapata nini sasa? Shule ndo hiyo kakosa na kila mtu anamuangalia kama mualifu... Useless respect...

[HASHTAG]#niwazotu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#usitoepovu[/HASHTAG]
 
Kumpiga mtoto sio ndio mwisho wa dharau zake, wangapi tumesoma nao mpaka leo vichwa ngumu na walipigwa ipasavyo. Ndo maana mnaambiwa muwe na mahusiano mazuri na wazazi mambo kama hayo unamuita mzazi shule muone namna ya kumnyoosha dogo.

Huyo Mwl Frank kapata nini sasa? Shule ndo hiyo kakosa na kila mtu anamuangalia kama mualifu... Useless respect...

[HASHTAG]#niwazotu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#usitoepovu[/HASHTAG]
Mbona unawasiwasi sana [HASHTAG]#hashtag[/HASHTAG] ya nini
 
Nikutoe tu mashaka na Akili uliyo jiwekea Make uh just putting yourself in troubles

Naweza sema kitu kimoja Ambacho ukielewe ..kwanza cjui kama kweli wew ni Mwalimu.. pili walimu ni wito hakuna aliye kulazimisha. na kwatafsir tuliyonayo hapa tanzania juu ya walimu ni Watu walio kosa option Katika elimu zao na kuangukia kwenye tasnia ya Elimu...ila sio kwa wote wenye mawazo ayo.

tatu... either umeona mtu ame post kwenye magroup na wew ukaona ufanye copy and past i dont know make aya nihusu

Point yangu ni kwamba.. Wew ni mwalimu Let say mm ni mwanafunzi wako unapotaka kuni Adhibu kwa sheria na taratibu za shele hakuna mwanafunzi Atakaye kaidi hiyo ni kwa 95% make hata sis tu wai kua wanafunz

Ninapo kosea na unataka uni Adhibu nitakuba lakin Eti Kisa Wew kuna mwalimu wakike unamfukuzia au unampenda / unamahusiano na unataka uoneshe uana ume wako kupitia mim badala ya mkiwa falagha...

Mm nacho weza kusema Mtanifukuza shule hasira za mishahara sijui makato Au familia uwezi kuniletea Mm I swear to God badala Ya mwalimu kutafuta nita tafutwa mim...

HATA shule niliyo kuwa na Somea Walimu walinitambua vizuri Nitakapo simamia haki yangu Aiseeee Ni bora ukamuita mzazi kuliko kutumia nguvu... make nitakupasua Afu nanyie amkurupukagi mnaangaliaga kwanza background ya mwanafunz eti kisa mpole.... Mim second master mwenyewe alileta ujuaji zaidi kuliko sheria na kusimamia haki alijuta kwann alitenda vile mbele ya pared

Samahani mkuu unaandika kama bata

Ila nimegundua kama ulikuwa mkaidi shule
 
Samahani mkuu unaandika kama bata

Ila nimegundua kama ulikuwa mkaidi shule
Unfortunately bata hajawahi kuandika huo ni upumbavu ulionao siwez kukushangaaa Mungu akuepushe na Wanafunzi kama mim Ungelijuta kwann umekua mwalimu wa namna hiyo

nitaendelea kuwaheshim walimu wenye nidhamu na sio wapuuz kama wew
 
Unfortunately bata hajawahi kuandika huo ni upumbavu ulionao siwez kukushangaaa Mungu akuepushe na Wanafunzi kama mim Ungelijuta kwann umekua mwalimu wa namna hiyo

nitaendelea kuwaheshim walimu wenye nidhamu na sio wapuuz kama wew

Hapo ndo nazid kupata mashaka kumbe hata elimu ya picha huna.

Bahati mbaya sio mwalimu ila hata katika kad yangu huwa sitaki ujinga ujinga

Unatuletea story za second master wako yule goi goi mm ningekupa kisago mpaka ukashtaki kanisani

Hyo avatar yako ina reflect akili zako hiv makonda alikuacha kumbe
 
Asante, mafunzo nayo ni lini?
Screenshot_2016-10-15-10-23-35-1.png
contagious ....🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom